Habari Mpya
-
24
May
2024WAZIRI WA UCHUKUZI AKAGUA UJENZI WA VIVUKO VYA SGR
Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amefanya ziara Shirika la reli Tanzania – TRC kuanzia Stesheni ya reli ya kiwango cha kimataifa – SGR ya Tanzanite hadi Banana jijini Dar es Salaam mnamo Mei 24, 2024. Soma zaidi
-
-
11
May
2024RELI YA SGR KUKUZA UCHUMI WA AFRIKA
Tume ya Umoja wa Afrika chini ya Idara ya miundombinu na nishati wametembelea mradi wa kimkakati wa reli ya kiwango cha kimataifa - SGR kipande cha kwanza Dar es Salaam - Morogoro Mei 10, 2024. Soma zaidi
-
10
May
2024TRC YASHIRIKISHA KAMATI ZA ULINZI NA USALAMA ZA WILAYA KUWA MABALOZI WA ULINZI NA USALAMA WA RELI
-
10
May
2024TRC KUWEKA MAGETI KWENYE UZIO WA RELI YA SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la kutoa uhamasishaji kwa viongozi wa mitaa kwenye maeneo mbalimbali yaliyopitiwa na mradi Soma zaidi
-
04
May
2024WABUNGE WASHIRIKI SEMINA YA UELEWA KUHUSU MRADI WA SGR
Wizara ya Uchukuzi kupitia Shirka la Reli Tanzania – TRC limefanya semina elekezi kwa Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu Soma zaidi