Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​UTWAAJI WA ARDHI KIPANDE CHA TATU MBIONI KUKAMILIKA
    20
    March
    2023

    ​UTWAAJI WA ARDHI KIPANDE CHA TATU MBIONI KUKAMILIKA

    ​Zoezi la uhamishaji makaburi kwaajili ya kutwaa ardhi ambayo inahitajika katika matumizi ya ujenzi wa reli ya kisasa – SGR Soma zaidi

  • ​KAMATI YA BUNGE YA UWEKEZAJI WA MITAJI YA UMMA YATEMBELEA KARAKANA NA CHUO CHA RELI TABORA
    18
    March
    2023

    ​KAMATI YA BUNGE YA UWEKEZAJI WA MITAJI YA UMMA YATEMBELEA KARAKANA NA CHUO CHA RELI TABORA

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma ikiongozwa na Mwenyekiti Mhe. Jerry Silaa imefanya ziara katika karakana ya vichwa vya treni na mabehewa na Chuo cha Reli Tabora (TIRTEC), Machi 17, 2023. Soma zaidi

  • ​KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA NA MAENDELEA YA MRADI WA SGR, WIZARA, TRC WAPONGEZWA
    16
    March
    2023

    ​KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA NA MAENDELEA YA MRADI WA SGR, WIZARA, TRC WAPONGEZWA

    Kamati ya Bunge ya kudumu ya Miundombinu yaridhishwa na maendeleao ya mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR baada ya kukamilisha ziara kukagua mradi kutoka Dodoma hadi Dar es Salaam Soma zaidi

  • ​KAMATI YA BUNGE YAITAKA TRC KUWASIMAMIA WAKANDARASI WAWEZE KUMALIZA MIRADI KWA WAKATI
    14
    March
    2023

    ​KAMATI YA BUNGE YAITAKA TRC KUWASIMAMIA WAKANDARASI WAWEZE KUMALIZA MIRADI KWA WAKATI

    ​Kamati ya Bunge ya Miundombinu yalitaka Shirika la Reli Tanzania - TRC kuhakikisha wakandarasi wanakamilisha miradi kulingana na muda uliopangwa kimkataba, Soma zaidi

  • ​ZOEZI LA UTWAAJI ARDHI KUPISHA UJENZI WA SGR MKOANI TABORA LAENDELEA
    11
    March
    2023

    ​ZOEZI LA UTWAAJI ARDHI KUPISHA UJENZI WA SGR MKOANI TABORA LAENDELEA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na utekelezaji wa utwaaji ardhi kwa matumizi ya ujenzi wa reli ya kisasa – SGR Soma zaidi

  • WANAWAKE WA TRC WASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
    08
    March
    2023

    WANAWAKE WA TRC WASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

    Wanawake wa Shirika la Reli Tanzania waungana na wanawake wengine kote nchini kusherehekea sikukuu ya wanawake Duniani iliyoadhimishwa kitaifa katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar ss Salaam, Machi 08, 2023. Soma zaidi