Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​MIAKA 3 MFULULIZO SHULE YA MSINGI ITIGI RELI YAWA KINARA KITAALUMA
    09
    October
    2022

    ​MIAKA 3 MFULULIZO SHULE YA MSINGI ITIGI RELI YAWA KINARA KITAALUMA

    Shule ya Msingi Itigi Reli inayosimamiwa na Shirika la Reli Tanzania – TRC iliyopo wilaya ya Manyoni mkoa wa Singida imefanya mahafali ya 28 Soma zaidi

  • ​TRC YAZINDUA MAFUNZO KWA WATENDAJI WATAKAOSIMAMIA UENDESHAJI WA SGR
    28
    September
    2022

    ​TRC YAZINDUA MAFUNZO KWA WATENDAJI WATAKAOSIMAMIA UENDESHAJI WA SGR

    Shirika la reli Tanzania - TRC limezindua mafunzo kwa vitendo kwa watendaji wa TRC yatakayotolewa na wataalamu kumi na watano (15) kutoka Shirika la Reli la Korea – KORAIL Soma zaidi

  • ​KAMATI ZA BUNGE ZASAFIRI KWA SGR DODOMA HADI DAR ES SALAAM
    27
    September
    2022

    ​KAMATI ZA BUNGE ZASAFIRI KWA SGR DODOMA HADI DAR ES SALAAM

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu na Kamati ya Uwekezaji Mitaji ya Umma zimefanya ziara ya kutembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi

  • ​WATAALAMU MAMLAKA ZA HALI YA HEWA BARANI AFRIKA NA ULAYA WAZURU SGR
    16
    September
    2022

    ​WATAALAMU MAMLAKA ZA HALI YA HEWA BARANI AFRIKA NA ULAYA WAZURU SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limepokea wajumbe takribani 150 kutoka Mamlaka za Hali ya Hewa Barani Afrika na Mashirika ya Satelite Barani Ulaya kutembelea ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR Septemba 15, 2022. Soma zaidi

  • WANANCHI MKOANI SHINYANGA NA MWANZA WAPOKEA HUNDI ZA MALIPO YA FIDIA
    15
    September
    2022

    WANANCHI MKOANI SHINYANGA NA MWANZA WAPOKEA HUNDI ZA MALIPO YA FIDIA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea na zoezi la kukabidhi hundi za malipo ya fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo yao mkoani Shinyanga na Mwanza, Septemba 2022 Soma zaidi

  • ​TRC YATWAA ARDHI SHINYANGA MANISPAA KUENDELEZA UJENZI WA SGR KIPANDE CHA TANO ISAKA - MWANZA
    15
    September
    2022

    ​TRC YATWAA ARDHI SHINYANGA MANISPAA KUENDELEZA UJENZI WA SGR KIPANDE CHA TANO ISAKA - MWANZA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea kutwaa ardhi katika manispaa ya Shinyanga kupisha mradi wa reli ya kisasa katika kipande cha Tano ambacho ni Isaka - Mwanza, Septemba 2022. Soma zaidi