Habari Mpya
-
09
May
2018MKATABA WA UJENZI WA RELI YA KISASA AWAMU YA PILI KUTOKA MOROGORO HADI MAKUTUPORA WASAINIWA
Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli imeingia mkataba na Kampuni ya Yapi Merkezi kujenga kipande cha pili cha reli ya kisasa(SGR) kutoka Morogoro hadi Makutopora yenye urefu wa kilomita 336 za njia kuu na kilomita 86 za njia za kupishana treni na maeneo ya kupangia mabehewa jumla kilomita 422.. Soma zaidi