Shirika la Reli Tanzania (TRC), limekabidhiwa eneo la Isaka, Mkoani Shinyanga, kwaajili ya kupokea na kushushia mizigo kutoka Bandari ya Dsm na kisha kusafirishwa ndani na nje ya nchi
Shirika la Reli Tanzania (TRC) linaendelea na kampeni ya kuhimiza wananchi waishio karibu na mradi wa Standard Gauge Railway (SGR) kipande cha tano Isaka - Mwanza