Shirika la Reli Tanzania (TRC) likishirikiana na wadau mbalimbali, limepanda jumla ya miti 150 katika stesheni ya abiria ya SGR na stesheni ya mizigo Januari 27, 2026
Shirika la Reli Tanzania linaendelea na awamu ya pili ya mradi wa ukarabati na uboreshaji wa miundombinu ya reli ya zamani ( Tanzania Intermodal Rail Development Project Phase II - TIRP II)