Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Shirika la Reli Tanzania – TRC Prof. John Wajanga Kondoro amefanya ziara ya ukaguzi kuona maendeleo ya mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR
Shirika la Reli Tanzania – TRC kukamilisha ukarabati wa miundombinu ya reli katika eneo la Godegode Mpwapwa jijini Dodoma kutokana na uharibifu wa miundombinu ya reli katika eneo hilo kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo tofauti ya nchi, hivi karibuni Januari 2021.