Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

Habari Mpya

  • ​WAZIRI MKUU ASHUHUDIA RELI ILIYOTANDIKWA, MRADI WA SGR MWANZA – ISAKA WAFIKA 28%

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ameshuhudia reli iliyoanza kutandikwa katika mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR Mwanza – Isaka akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Simiyu Machi 26, 2023.

    March 27, 2023 Soma zaidi
  • ​KAMPENI YA UELEWA KUHUSU MRADI WA SGR KIPANDE CHA NNE TABORA –ISAKA YAANZA

    Shirika la Reli Tanzania limeanza utoaji wa elimu kwa wananchi wa mkoa wa Tabora kuhusu mradi wa SGR kipande cha nne Tabora – Isaka chenye jumla ya kilomita 165, Machi 2023.

    March 26, 2023 Soma zaidi
  • Soma Habari zaidi

Njia zetu

Angalia Zaidi