Habari Mpya
-
04
February
2025WANANCHI WAENDELEA KUPOKEA STAHIKI ZAO MRADI WA SGR
Shirika la reli Tanzania - TRC linafanya zoezi la ulipaji wa fidia katika kipande cha tano cha ujenzi wa mradi wa SGR kutoka Isaka hadi Mwanza Soma zaidi
-
29
January
2025SGR KUUNGANISHA TANZANIA NA BURUNDI
Shirika la Reli la Tanzania - TRC, Januari 29, 2025 limesaini mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha 7 na 8 kutoka Uvinza nchini Soma zaidi
-
23
January
2025MAMA MONGELA, WAKONGWE WA TABORA GIRLS WAPANDA MCHONGOKO KUUONA MJI WA SERIKALI MTUMBA
Jumla ya wanawake 50 waliosoma shule ya sekondari ya Wasichana Tabora mwaka wakiongozwa na Getrude Mongela wametembelea mradi wa reli ya kisasa ya SGR Soma zaidi
-
12
December
2024TRC YASISITIZA KILA MWANANCHI ANA WAJIBU WA KUILINDA MIUNDOMBINU YA RELI
Kitengo cha Habari kwa kushirikiana na maafisa wa TRC kutoka vitengo vya Ulinzi na Usalama wa Reli, Ishara na Mawasiliano, Polisi Reli, Masuala ya Jamii wamehitimisha kampeni ya uelewa kwa wananchi juu ya Soma zaidi
-
09
December
2024MAGINDU NA KWALA MKOANI PWANI WAPOKEA ELIMU YA ULINZI WA MIUNDOMBINU YA RELI SGR NA MGR
Maafisa kutoka Shirika la Reli Tanzania - TRC kwa kushirikiana na viongozi wa vijiji wa mkoa wa Pwani wakiwemo maafisa watendaji, wenyeviti Soma zaidi
-
05
December
2024TRC YAENDELEA KUSISITIZA WANANCHI KUHUSU UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU YA RELI
Shirika la Reli Tanzania - TRC kupitia kitengo cha Habari na Uhusiano kwa kushirikiana na watalaamu mbalimbali kutoka TRC pamoja na viongozi wa serikali za mtaa Soma zaidi

