Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​WAZIRI MKUU MAJALIWA ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA RELI YA KISASA MOROGORO – MAKUTUPORA
    24
    November
    2022

    ​WAZIRI MKUU MAJALIWA ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA RELI YA KISASA MOROGORO – MAKUTUPORA

    ​Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amekagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR Morogoro – Makutupora katika jengo la stesheni kuu ya SGR jijini Dodoma, Novemba 24, 2022. Soma zaidi

  • ​WANANCHI WAENDELEA KUUNGA MKONO UJENZI WA MRADI WA SGR
    19
    November
    2022

    ​WANANCHI WAENDELEA KUUNGA MKONO UJENZI WA MRADI WA SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea kufanya zoezi la utwaaji ardhi kwa wananchi ili kupisha ujenzi wa njia ya umeme katika ujenzi mradi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi

  • WANANCHI WALIPWA FIDIA KUPISHA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA UMEME SGR MKOANI MOROGORO
    15
    November
    2022

    WANANCHI WALIPWA FIDIA KUPISHA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA UMEME SGR MKOANI MOROGORO

    ​Shirika la Reli Tanzania limelipa fidia kwa wananchi wa kijiji cha Lukobe Juu mkoani Morogoro katika kipande cha pili Morogoro - Makutupora, Novemba 2022. Soma zaidi

  • WAZIRI WA MIUNDOMBINU WA JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA KONGO ATEMBELEA MRADI WA SGR
    10
    November
    2022

    WAZIRI WA MIUNDOMBINU WA JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA KONGO ATEMBELEA MRADI WA SGR

    Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Tanzania Prof. Makame Mbarawa akiongozana na Waziri wa Miundombinu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - DRC Alexis Gusaro pamoja na viongozi wengine kutoka DRC Soma zaidi

  • ​​TRC IMESAINI MKATABA WA UNUNUZI WA MASHINE NA MITAMBO YA MATENGENEZO YA NJIA YA SGR
    08
    November
    2022

    ​​TRC IMESAINI MKATABA WA UNUNUZI WA MASHINE NA MITAMBO YA MATENGENEZO YA NJIA YA SGR

    Shirika la Reli Tanzania – TRC na Kampuni ya Sung Shin Rolling Stock Technology (SSRST) kutoka nchini Korea Kusini wamesaini mkataba wa ununuzi wa mashine na mitambo ya matengenezo ya njia ya reli ya kisasa – SGR Soma zaidi

  • ​WANANCHI WAENDELEA KUTOA MAENEO KUPISHA NJIA YA UMEME MRADI WA SGR
    03
    November
    2022

    ​WANANCHI WAENDELEA KUTOA MAENEO KUPISHA NJIA YA UMEME MRADI WA SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi ili kupisha njia ya umeme ya ujenzi wa mradi wa Reli ya Kisasa - SGR Soma zaidi