Habari Mpya
-
19
February
2025SGR KUCHOCHEA UKUAJI WA UCHUMI NA BIASHARA TANZANIA NA BURUNDI
Shirika la Reli Tanzania (TRC), linaendelea na ziara ya kukutana na wadau wa taasisi mbalimbali kutoka nchi za Tanzania na Burundi, kufuatia mradi wa ujenzi wa reli yenye kiwango cha kimataifa Soma zaidi
-
17
February
2025ZAIDI YA ASILIMIA 77 YA WANANCHI WALIPWA FIDIA KUPISHA MRADI WA SGR TABORA HADI MWANZA
Shirika la Reli Tanzania - TRC limelipa fidia zaidi asilimia 77 ya wananchi ambao maeneo yao yalitwaliwa ili kupisha Ujenzi wa mradi wa SGR Kipande cha nne Tabora - Isaka na kipande cha tano Isaka - Mwanza hivi karibuni Februari, 2025 Soma zaidi
-
-
11
February
2025MKURUGENZI MKUU TRC ATAKA WATUMISHI KUWAJIBIKA NA KUFANYA KAZI KWA BIDII
-
07
February
2025WANANCHI MKOANI SHINYANGA, SIMIYU, MWANZA WAIPA HEKO SERIKALI
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi wa Mkoa wa Tabora, Shinyanga, Simiyu na Mwanza, waliotwaliwa ardhi ili kupisha Mradi wa Ujenzi wa reli itumiayo nishati ya umeme - SGR Kipande cha tano kutoka Isaka hadi Mwanza hivi karibuni. Soma zaidi
-
04
February
2025WANANCHI WAENDELEA KUPOKEA STAHIKI ZAO MRADI WA SGR
Shirika la reli Tanzania - TRC linafanya zoezi la ulipaji wa fidia katika kipande cha tano cha ujenzi wa mradi wa SGR kutoka Isaka hadi Mwanza Soma zaidi

