Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • TRC NA WFP IMEPOKEA TAARIFA YA UTAFITI  WA USAFIRISHAJI WA MAZAO YA MBOGAMBOGA NA MATUNDA
    03
    March
    2023

    TRC NA WFP IMEPOKEA TAARIFA YA UTAFITI WA USAFIRISHAJI WA MAZAO YA MBOGAMBOGA NA MATUNDA

    .. Soma zaidi

  • ​WADAU WA VIPINDI VYA ELIMU KWA UMMA WATEMBELEA MRADI WA SGR
    23
    February
    2023

    ​WADAU WA VIPINDI VYA ELIMU KWA UMMA WATEMBELEA MRADI WA SGR

    Washiriki wa mkutano wa 107 wa waandaaji wa vipindi vya elimu kwa umma wakiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania – TBC Dkt. Ayub Rioba Chacha Soma zaidi

  • ​PROF. KONDORO ATAMBULISHA WAJUMBE WAPYA BODI YA WAKURUGENZI TRC
    17
    February
    2023

    ​PROF. KONDORO ATAMBULISHA WAJUMBE WAPYA BODI YA WAKURUGENZI TRC

    ​Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Shirika la Reli Tanzania – TRC Prof. John Wajanga Kondoro ametambulisha wajumbe wapya wa bodi ya wakurugenzi TRC Soma zaidi

  • WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI WATEMBELEA MRADI WA SGR
    16
    February
    2023

    WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI WATEMBELEA MRADI WA SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limepokea ugeni wa Wahariri wa vyombo vya habari nchini kutembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi

  • WASHIRIKI KOZI FUPI YA UTEKELEZAJI WA SERA NA MIPANGO WATEMBELEA SGR
    14
    February
    2023

    WASHIRIKI KOZI FUPI YA UTEKELEZAJI WA SERA NA MIPANGO WATEMBELEA SGR

    .Washiriki wa kozi fupi ya utekelezaji wa sera na mipango kwa viongozi kutoka chuo cha Taifa cha Ulinzi wametembelea Shirika la Reli Tanzania Soma zaidi

  • ​KATIBU MKUU CCM: SGR MWAROBAINI WA ADHA YA MTO MKONDOA
    31
    January
    2023

    ​KATIBU MKUU CCM: SGR MWAROBAINI WA ADHA YA MTO MKONDOA

    Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo ametembelea Stesheni ya Reli ya kisasa, Kilosa mkoani Morogoro iliyopo katika kipande cha pili cha mradi wa ujenzi wa Reli ya kisasa SGR, Morogoro – Makutupora, Januari 30,2023. Soma zaidi