Habari Mpya
-
16
February
2024SGR KUA MFANO KATIKA KONGAMANO LA KUKUZA MUSTAKABADHI ENDELEVU WA KUHIFADHI MAZINGIRA
Shirika la Reli Tanzania – TRC limeshiriki katika kongamano na mradi wa ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) kuwa mfano bora katika kukuza mustakabadhi Soma zaidi
-
04
February
2024NAIBU WAZIRI UCHUKUZI APONGEZA TRC KWA KASI YA UKARABATI WA MIUNDOMBINU YA RELI
Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile ametembelea TRC kukagua reli ya kati kutoka Lukobe Morogoro hadi Gulwe Mkoani Dodoma Soma zaidi
-
02
February
2024BODI YA WAKURUGENZI LATRA YAPONGEZA MAANDALIZI YA SGR
Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini - LATRA imetembelea Shirika la Reli Tanzania - TRC katika ofisi za makao makuu TRC Soma zaidi
-
11
January
2024DKT. MWINYI AFUNGUA MAONESHO YA BIASHARA ZANZIBAR, TRC YASHIRIKI
Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Dkt. Hussein Ally Mwinyi amefungua rasmi maonesho ya 10 ya kimataifa ya Biashara Zanzibar Soma zaidi
-
-
04
January
2024MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AFURAHISHWA NA MAANDALIZ YA TRC KUELEKEA KUANZA KUTOA HUDUMA KUTUMIA TRENI ZA SGR