Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​KAMATI YA BUNGE YA PIC YARIDHISHWA KUANZA SAFARI ZA SGR
    27
    March
    2024

    ​KAMATI YA BUNGE YA PIC YARIDHISHWA KUANZA SAFARI ZA SGR

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC limepokea ugeni kutoka kamati ya kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma - PIC Soma zaidi

  • ​MAPINDUZI MAKUBWA KATIKA SEKTA MIUNDOMBINU YA RELI NCHINI
    25
    March
    2024

    ​MAPINDUZI MAKUBWA KATIKA SEKTA MIUNDOMBINU YA RELI NCHINI

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limefanya mkutano na wahariri pamoja na waandishi wa habari katika jengo la stesheni ya SGR lililopo jijini Dar es Salaam Machi 25, 2024 Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA KUTOA ELIMU YA ULINZI WA MIUNDOMBINU YA RELI (SGR) DODOMA
    22
    March
    2024

    ​TRC YAENDELEA KUTOA ELIMU YA ULINZI WA MIUNDOMBINU YA RELI (SGR) DODOMA

    ​Maafisa kutoka TRC kwa kushirikiana na viongozi wa Serikali wameanza zoezi la kutoa elimu kwa wananchi mkoani Dodoma kuhusu zoezi la uwashaji wa umeme katika mradi wa reli ya Soma zaidi

  • MAJARIBIO AWAMU YA PILI TRENI ZA SGR YAFANA, MABEHEWA 14 YAFUNGWA
    18
    March
    2024

    MAJARIBIO AWAMU YA PILI TRENI ZA SGR YAFANA, MABEHEWA 14 YAFUNGWA

    . Soma zaidi

  • ​KAMATI YA MIUNDOMBINU YATOA HEKO KWA TRC USIMAMIZI BORA MRADI WA SGR
    15
    March
    2024

    ​KAMATI YA MIUNDOMBINU YATOA HEKO KWA TRC USIMAMIZI BORA MRADI WA SGR

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu yalipongeza Shirika la Reli Tanzania - TRC kwa usimamizi bora wa mradi wa ujenzi wa Reli yenye kiwango cha kimataifa - SGR Soma zaidi

  • ​KONGAMANO LA BIASHARA NA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA RELI LAFUNGULIWA
    05
    March
    2024

    ​KONGAMANO LA BIASHARA NA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA RELI LAFUNGULIWA

    ​Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Mwakiposa Kihenzile amefungua kongamano la Biashara na Uwekezaji katika sekta ya reli linalofanyika kwa muda wa siku mbili katika ukumbi uliopo Hoteli wa Soma zaidi