Habari Mpya
-
10
September
2022TRC, TANAPA KUSHIRIKIANA KUKUZA UTALII WA NDANI
Shirika la Reli Tanzania - TRC yashirikiana na Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania - TANAPA kukuza utalii wa ndani baada ya kutembelea kituo cha stesheni ya Mvave Soma zaidi
-
10
September
2022WAKUFUNZI KUTOKA KORAIL WAFANYA ZIARA KATIKA MRADI WA SGR DAR - MORO
Wafanyakazi zaidi ya 30 wa Shirika la Reli Tanzania - TRC wakiambatana na wataalamu 15 kutoka Shrika la Reli la Korea - KORAIL na wafanya ziara ya siku mbili kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro Septemba 2022. Soma zaidi
-
05
September
2022TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA UTWAAJI ARDHI MKOANI SHINYANGA
TRC imefanya zoezi la uhamishaji makaburi katika vijiji vya Didia, Sumbigu, Ishololo, Puni, Nyashimbi, Zobogo, Bunonga na Sumbigu Wilaya ya Shinyanga vijijini Septemba 2022 Soma zaidi
-
27
August
2022TCB KUJIONEA FURSA ZILIZOPO KATIKA MRADI WA SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea kufanya ziara na menejimenti kutoka benki ya TCB kutembelea mradi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha kwanza Dar es Salaam - Morogoro Soma zaidi
-
25
August
2022WANANCHI WALIOPISHA UJENZI WA SGR MWANZA – ISAKA WAENDELEA KULIPWA STAHIKI ZAO
Zoezi la malipo ya fidia kupisha mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR linaendelea kufanyika kwa wananchi wa mkoa wa Mwanza na Shinyanga Soma zaidi
-
24
August
2022BENKI YA TCB YARIDHISHWA MAENDELEO YA MRADI WA SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC limepokea ugeni wa menejimenti kutoka benki ya TCB na kutembelea mradi wa Reli ya Kisasa – SGR Soma zaidi