Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​TRC KUNYAKUA TUZO KWA UBORA WA KUHABARISHA UMMA
    23
    September
    2024

    ​TRC KUNYAKUA TUZO KWA UBORA WA KUHABARISHA UMMA

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC kupitia kitengo cha Habari na Uhusiano kwa Umma imeibuka kidedea kwa kunyakua tuzo katika tuzo za Uandishi Wenye Tija (Stories of Change) za mwaka 2024 Soma zaidi

  • ​DKT. SAMIA AANDIKA HISTORIA UZINDUZI WA SGR NCHINI
    02
    August
    2024

    ​DKT. SAMIA AANDIKA HISTORIA UZINDUZI WA SGR NCHINI

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi huduma za safari za treni za abiria katika reli ya kiwango cha kimataifa - SGR, Soma zaidi

  • ​SIMBA KUTUA NA SGR MOROGORO
    22
    July
    2024

    ​SIMBA KUTUA NA SGR MOROGORO

    ​Kilabu ya Mpira wa Miguu ya Simba imeingia makubaliano na Shirika la Reli Tanzania – TRC kwaajili ya kutumia usafiri wa treni ya reli Soma zaidi

  • ​MACHIFU WAIPA HEKO SERIKALI KUANZA SAFARI ZA TRENI YENYE KIWANGO CHA KIMATAIFA
    21
    July
    2024

    ​MACHIFU WAIPA HEKO SERIKALI KUANZA SAFARI ZA TRENI YENYE KIWANGO CHA KIMATAIFA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limepokea ugeni wa Machifu wa makabila mbalimbali Tanzania katika stesheni kuu ya SGR ya Dodoma Julai 20, 2024. Soma zaidi

  • UVCCM WAASA VIJANA NA WATANZANIA KUILINDA RELI YA SGR
    04
    July
    2024

    UVCCM WAASA VIJANA NA WATANZANIA KUILINDA RELI YA SGR

    . Soma zaidi

  • ​PROF. MBARAWA ARIDHISHWA NA UTAYARI KUELEKEA KUANZA KWA HUDUMA ZA SGR DAR ES SALAAM - DODOMA
    03
    July
    2024

    ​PROF. MBARAWA ARIDHISHWA NA UTAYARI KUELEKEA KUANZA KWA HUDUMA ZA SGR DAR ES SALAAM - DODOMA

    Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa amefanya ziara kukagua huduma za usafiri katika mradi wa ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa - SGR Dar es Salaam - Morogoro na kuona Soma zaidi