Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • WANANCHI MKOANI MWANZA WAPATA ELIMU KUHUSU USALAMA WA MRADI WA SGR
    05
    March
    2026

    WANANCHI MKOANI MWANZA WAPATA ELIMU KUHUSU USALAMA WA MRADI WA SGR

    ​​Shirika la Reli Tanzania (TRC) linaendelea na kampeni ya kuhimiza wananchi waishio karibu na mradi wa Standard Gauge Railway (SGR) kipande cha tano Isaka - Mwanza Soma zaidi

  • ​TRC YAANZA RASMI USAFIRISHAJI WA MIZIGO KWA KUTUMIA CONTAINER CARRIERS SGR
    17
    February
    2026

    ​TRC YAANZA RASMI USAFIRISHAJI WA MIZIGO KWA KUTUMIA CONTAINER CARRIERS SGR

    ​Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeanza rasmi usafirishaji wa makasha kwa kutumia reli ya Standard Gauge, hatua inayolenga kupanua wigo wa biashara, kupunguza msongamano wa mizigo bandarini na kurahisisha usafirishaji wa mizigo kwenda mikoa ya kati ya nchi. Soma zaidi

  • ​TRC YAUNGANA NA RAIS SAMIA UPANDAJI WA MITI JAN. 27
    27
    January
    2026

    ​TRC YAUNGANA NA RAIS SAMIA UPANDAJI WA MITI JAN. 27

    Shirika la Reli Tanzania (TRC) likishirikiana na wadau mbalimbali, limepanda jumla ya miti 150 katika stesheni ya abiria ya SGR na stesheni ya mizigo Januari 27, 2026 Soma zaidi

  • ​MRADI WA TIRP II KUONGEZA UFANISI WA RELI YA ZAMANI
    18
    January
    2026

    ​MRADI WA TIRP II KUONGEZA UFANISI WA RELI YA ZAMANI

    Shirika la Reli Tanzania linaendelea na awamu ya pili ya mradi wa ukarabati na uboreshaji wa miundombinu ya reli ya zamani ( Tanzania Intermodal Rail Development Project Phase II - TIRP II) Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA YA ZOEZI LA UTWAAJI ARDHI MRADI WA SGR TABORA - KIGOMA
    23
    December
    2025

    ​TRC YAENDELEA YA ZOEZI LA UTWAAJI ARDHI MRADI WA SGR TABORA - KIGOMA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi kupisha mradi wa ujenzi wa reli yenye kiwango cha kimataifa - SGR Soma zaidi

  • ​MIUNDOMBINU YA SGR IKO SALAMA - RC CHALAMILA
    12
    December
    2025

    ​MIUNDOMBINU YA SGR IKO SALAMA - RC CHALAMILA

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila, amewahakikishia wananchi na raia wa kigeni kuwa miundombinu ya SGR iko salama kwa upande wa Dar es Salaam na kipande chote cha reli mpaka Dodoma na Soma zaidi