Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • WANANCHI WA KIGOMA WAHAMASISHWA KUUPOKEA MRADI UJENZI WA SGR
    15
    March
    2025

    WANANCHI WA KIGOMA WAHAMASISHWA KUUPOKEA MRADI UJENZI WA SGR

    . Soma zaidi

  • ​WANANCHI NCHINI BURUNDI WAKO TAYARI KWA SGR
    23
    February
    2025

    ​WANANCHI NCHINI BURUNDI WAKO TAYARI KWA SGR

    Shirika la Reli Tanzania (TRC), limefanya ziara ya nchini Burundi na kukutana na wadau mbalimbali kufuatia kutiwa saini utekelezaji wa Mradi wa SGR awamu ya Soma zaidi

  • ​Prof. MBARAWA AKAGUA UJENZI WA SGR KIPANDE CHA MWANZA - ISAKA
    21
    February
    2025

    ​Prof. MBARAWA AKAGUA UJENZI WA SGR KIPANDE CHA MWANZA - ISAKA

    Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa Februari 20, 2025, ametembelea na kukagua maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Reli ya kiwango cha kimataifa SGR, kipande cha Mwanza – Isaka katika eneo la Malampaka Mkoani simiyu. Soma zaidi

  • ​SGR KUCHOCHEA UKUAJI WA UCHUMI NA BIASHARA TANZANIA NA BURUNDI
    19
    February
    2025

    ​SGR KUCHOCHEA UKUAJI WA UCHUMI NA BIASHARA TANZANIA NA BURUNDI

    Shirika la Reli Tanzania (TRC), linaendelea na ziara ya kukutana na wadau wa taasisi mbalimbali kutoka nchi za Tanzania na Burundi, kufuatia mradi wa ujenzi wa reli yenye kiwango cha kimataifa Soma zaidi

  • ​ZAIDI YA ASILIMIA 77 YA WANANCHI WALIPWA FIDIA KUPISHA MRADI WA SGR TABORA HADI MWANZA
    17
    February
    2025

    ​ZAIDI YA ASILIMIA 77 YA WANANCHI WALIPWA FIDIA KUPISHA MRADI WA SGR TABORA HADI MWANZA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limelipa fidia zaidi asilimia 77 ya wananchi ambao maeneo yao yalitwaliwa ili kupisha Ujenzi wa mradi wa SGR Kipande cha nne Tabora - Isaka na kipande cha tano Isaka - Mwanza hivi karibuni Februari, 2025 Soma zaidi

  • PROFESA MBARAWA AWATAKA WAWEKEZAJI KUWEKEZA TRC
    11
    February
    2025

    PROFESA MBARAWA AWATAKA WAWEKEZAJI KUWEKEZA TRC

    . Soma zaidi