Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​RASILIMALI WATU; BIASHARA INAYOWEZESHA
    06
    May
    2025

    ​RASILIMALI WATU; BIASHARA INAYOWEZESHA

    Kurugenzi ya Utawala na Rasilimali watu ya Shirika la Reli Tanzania (TRC), imesema Rasilimali watu ni biashara inayowezesha kwa kuleta mfumo wa kushirikiana na idara nyingine katika kila jambo. Soma zaidi

  • ABIRIA ZAIDI YA MILIONI 2.3 WASAFIRI NA SGR; MAKUSANYO YAFIKIA BILIONI 66.8
    02
    May
    2025

    ABIRIA ZAIDI YA MILIONI 2.3 WASAFIRI NA SGR; MAKUSANYO YAFIKIA BILIONI 66.8

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania - TRC ndugu Masanja Kungu Kadogosa amesema kuwa TRC imeweza kusafirisha zaidi ya abiria milioni 2.3 Soma zaidi

  • ​WANANCHI WILAYANI UYUI,URAMBO WAASWA KUWAJIBIKA KULINDA MIUNDOMBINU YA RELI
    02
    April
    2025

    ​WANANCHI WILAYANI UYUI,URAMBO WAASWA KUWAJIBIKA KULINDA MIUNDOMBINU YA RELI

    Wananchi wa wilaya ya Uyui na Urambo Mkoani Tabora wameaswa kuwajibika kulinda miundombinu ya reli kwenye kipande cha sita cha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) Tabora - Kigoma. Soma zaidi

  • ​MRADI WA SGR KUWA CHANZO CHA UKUAJI WA UCHUMI MKOANI TABORA
    23
    March
    2025

    ​MRADI WA SGR KUWA CHANZO CHA UKUAJI WA UCHUMI MKOANI TABORA

    Serikali Wilaya ya Tabora Mjini, imempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuuendeleza mradi wa SGR kipande cha sita Tabora - Kigoma Soma zaidi

  • ​SERIKALI YAENDELEA KUUPIGA MWINGI SEKTA YA RELI NCHINI
    22
    March
    2025

    ​SERIKALI YAENDELEA KUUPIGA MWINGI SEKTA YA RELI NCHINI

    Tarehe 22 Machi 2025, Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania - TRC Ndugu Masanja Kungu Kadogosa amefanya mkutano na waandishi wa habari kwaajili ya kutoa taarifa ya mafanikio Soma zaidi

  • UJENZI WA SGR UVINZA - MALAGARASI - MUSONGATI KUIBUA FURSA ZA AJIRA NA BIASHARA KIGOMA
    18
    March
    2025

    UJENZI WA SGR UVINZA - MALAGARASI - MUSONGATI KUIBUA FURSA ZA AJIRA NA BIASHARA KIGOMA

    . Soma zaidi