Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​TRC YAADHIMISHA KILELE CHA WIKI YA USALAMA WA RELI
    13
    October
    2022

    ​TRC YAADHIMISHA KILELE CHA WIKI YA USALAMA WA RELI

    Shirika la Reli Tanzania – TRC kwa kushirikiana na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, Mamlaka ya Reli Tanzania na Zambia – TAZARA, Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini – LATRA, Soma zaidi

  • W​ANANCHI WATWALIWA MAENEO YAO KWAAJILI YA KUCHIMBA VIFUSI MRADI WA SGR
    12
    October
    2022

    W​ANANCHI WATWALIWA MAENEO YAO KWAAJILI YA KUCHIMBA VIFUSI MRADI WA SGR

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la malipo ya fidia kwa wananchi ili kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha pili Morogoro- Makutupora Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA NA UTOAJI ELIMU KATIKA WIKI YA USALAMA WA RELI
    11
    October
    2022

    ​TRC YAENDELEA NA UTOAJI ELIMU KATIKA WIKI YA USALAMA WA RELI

    ​Shirika la Reli Tanzania linaendelea na kampeni ya uelewa kuhusu ulinzi na usalama wa reli katika maeneo ya ushoroba wa reli jijini Dar es Salaam Oktoba 11, 2022. Soma zaidi

  • ​TRC NA WFP KUSHIRIKIANA KUSAFIRISHA BIDHAA ZA MAZAO YA MATUNDA NA MBOGAMBOGA
    11
    October
    2022

    ​TRC NA WFP KUSHIRIKIANA KUSAFIRISHA BIDHAA ZA MAZAO YA MATUNDA NA MBOGAMBOGA

    Shirika Reli Tanzania – TRC na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani - WFP wamezindua mpango wa makubaliano ya kutoa huduma ya usafirishaji wa bidhaa za mbogamboga na matunda, makao makuu WFP Jijini Dar es Salaam, Oktoba 10, 2022 Soma zaidi

  • ​TRC YAFUNGUA WIKI YA USALAMA WA RELI TANZANIA
    11
    October
    2022

    ​TRC YAFUNGUA WIKI YA USALAMA WA RELI TANZANIA

    Shirika la Reli Tanzania – TRC yafungua wiki ya usalama wa reli ambayo huadhimishwa kila mwaka kuanzia tarehe 10 hadi 13 mwezi Oktoba Soma zaidi

  • ​AWAMU YA PILI YA KAMPENI YA UELEWA KWA JAMII KUHUSU SGR
    10
    October
    2022

    ​AWAMU YA PILI YA KAMPENI YA UELEWA KWA JAMII KUHUSU SGR

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na awamu ya pili ya Kampeni ya Uelewa kwa jamii kuhusu ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR kipande cha Mwanza – Isaka katika mkoa wa Shinyanga na baadaye kuifikia mikoa ya Mwanza na Simiyu, Oktoba 2022. Soma zaidi