Habari Mpya
-
13
October
2022TRC YAADHIMISHA KILELE CHA WIKI YA USALAMA WA RELI
Shirika la Reli Tanzania – TRC kwa kushirikiana na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, Mamlaka ya Reli Tanzania na Zambia – TAZARA, Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini – LATRA, Soma zaidi
-
12
October
2022WANANCHI WATWALIWA MAENEO YAO KWAAJILI YA KUCHIMBA VIFUSI MRADI WA SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la malipo ya fidia kwa wananchi ili kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha pili Morogoro- Makutupora Soma zaidi
-
11
October
2022TRC YAENDELEA NA UTOAJI ELIMU KATIKA WIKI YA USALAMA WA RELI
Shirika la Reli Tanzania linaendelea na kampeni ya uelewa kuhusu ulinzi na usalama wa reli katika maeneo ya ushoroba wa reli jijini Dar es Salaam Oktoba 11, 2022. Soma zaidi
-
11
October
2022TRC NA WFP KUSHIRIKIANA KUSAFIRISHA BIDHAA ZA MAZAO YA MATUNDA NA MBOGAMBOGA
Shirika Reli Tanzania – TRC na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani - WFP wamezindua mpango wa makubaliano ya kutoa huduma ya usafirishaji wa bidhaa za mbogamboga na matunda, makao makuu WFP Jijini Dar es Salaam, Oktoba 10, 2022 Soma zaidi
-
11
October
2022TRC YAFUNGUA WIKI YA USALAMA WA RELI TANZANIA
Shirika la Reli Tanzania – TRC yafungua wiki ya usalama wa reli ambayo huadhimishwa kila mwaka kuanzia tarehe 10 hadi 13 mwezi Oktoba Soma zaidi
-
10
October
2022AWAMU YA PILI YA KAMPENI YA UELEWA KWA JAMII KUHUSU SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na awamu ya pili ya Kampeni ya Uelewa kwa jamii kuhusu ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR kipande cha Mwanza – Isaka katika mkoa wa Shinyanga na baadaye kuifikia mikoa ya Mwanza na Simiyu, Oktoba 2022. Soma zaidi