Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​WANANCHI WILAYANI UYUI,URAMBO WAASWA KUWAJIBIKA KULINDA MIUNDOMBINU YA RELI
    02
    April
    2025

    ​WANANCHI WILAYANI UYUI,URAMBO WAASWA KUWAJIBIKA KULINDA MIUNDOMBINU YA RELI

    Wananchi wa wilaya ya Uyui na Urambo Mkoani Tabora wameaswa kuwajibika kulinda miundombinu ya reli kwenye kipande cha sita cha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) Tabora - Kigoma. Soma zaidi

  • ​MRADI WA SGR KUWA CHANZO CHA UKUAJI WA UCHUMI MKOANI TABORA
    23
    March
    2025

    ​MRADI WA SGR KUWA CHANZO CHA UKUAJI WA UCHUMI MKOANI TABORA

    Serikali Wilaya ya Tabora Mjini, imempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuuendeleza mradi wa SGR kipande cha sita Tabora - Kigoma Soma zaidi

  • ​SERIKALI YAENDELEA KUUPIGA MWINGI SEKTA YA RELI NCHINI
    22
    March
    2025

    ​SERIKALI YAENDELEA KUUPIGA MWINGI SEKTA YA RELI NCHINI

    Tarehe 22 Machi 2025, Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania - TRC Ndugu Masanja Kungu Kadogosa amefanya mkutano na waandishi wa habari kwaajili ya kutoa taarifa ya mafanikio Soma zaidi

  • UJENZI WA SGR UVINZA - MALAGARASI - MUSONGATI KUIBUA FURSA ZA AJIRA NA BIASHARA KIGOMA
    18
    March
    2025

    UJENZI WA SGR UVINZA - MALAGARASI - MUSONGATI KUIBUA FURSA ZA AJIRA NA BIASHARA KIGOMA

    . Soma zaidi

  • FINAL RAP REPORT UVINZA KIGADYE
    16
    March
    2025

    FINAL RAP REPORT UVINZA KIGADYE

    ​Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) ikiambatana na menejimenti ya Shirika La Reli Tanzania - TRC Soma zaidi

  • ​KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATOA HEKO KWA TRC KUSIMAMIA VYEMA MIUNDOMBINU YA RELI
    15
    March
    2025

    ​KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATOA HEKO KWA TRC KUSIMAMIA VYEMA MIUNDOMBINU YA RELI

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imelipongeza Shirika la Reli Tanzania (TRC), kwa kusimamia vyema miundombinu ya reli ya SGR na MGR walipotembelea stesheni ya Tanga kwenye reli ya Kaskazini Machi 14, 2025 Soma zaidi