Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​SIMBA KUTUA NA SGR MOROGORO
    22
    July
    2024

    ​SIMBA KUTUA NA SGR MOROGORO

    ​Kilabu ya Mpira wa Miguu ya Simba imeingia makubaliano na Shirika la Reli Tanzania – TRC kwaajili ya kutumia usafiri wa treni ya reli Soma zaidi

  • ​MACHIFU WAIPA HEKO SERIKALI KUANZA SAFARI ZA TRENI YENYE KIWANGO CHA KIMATAIFA
    21
    July
    2024

    ​MACHIFU WAIPA HEKO SERIKALI KUANZA SAFARI ZA TRENI YENYE KIWANGO CHA KIMATAIFA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limepokea ugeni wa Machifu wa makabila mbalimbali Tanzania katika stesheni kuu ya SGR ya Dodoma Julai 20, 2024. Soma zaidi

  • UVCCM WAASA VIJANA NA WATANZANIA KUILINDA RELI YA SGR
    04
    July
    2024

    UVCCM WAASA VIJANA NA WATANZANIA KUILINDA RELI YA SGR

    . Soma zaidi

  • ​PROF. MBARAWA ARIDHISHWA NA UTAYARI KUELEKEA KUANZA KWA HUDUMA ZA SGR DAR ES SALAAM - DODOMA
    03
    July
    2024

    ​PROF. MBARAWA ARIDHISHWA NA UTAYARI KUELEKEA KUANZA KWA HUDUMA ZA SGR DAR ES SALAAM - DODOMA

    Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa amefanya ziara kukagua huduma za usafiri katika mradi wa ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa - SGR Dar es Salaam - Morogoro na kuona Soma zaidi

  • ​WANANCHI WA MANISPAA TABORA NA IGALULA WILAYANI UYUI WANUFAIKA NA FIDIA KUTOKA TRC
    01
    July
    2024

    ​WANANCHI WA MANISPAA TABORA NA IGALULA WILAYANI UYUI WANUFAIKA NA FIDIA KUTOKA TRC

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limefanya malipo ya fidia Tabora Manispaa na Igalula wilaya ya Uyui mkoani Tabora kwa wananchi waliofanyiwa uthamini wa ardhi kwa ajili ya kupisha ujenzi wa njia kuu ya reli (Right of Way) Soma zaidi

  • RAIS WA GUINEA - BISSAU ATEMBELEA TRC NA KUJIONEA SHUGHULI ZA USAFIRISHAJI WA TRENI ZA SGR
    22
    June
    2024

    RAIS WA GUINEA - BISSAU ATEMBELEA TRC NA KUJIONEA SHUGHULI ZA USAFIRISHAJI WA TRENI ZA SGR

    . Soma zaidi