Habari Mpya
-
16
March
2025FINAL RAP REPORT UVINZA KIGADYE
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) ikiambatana na menejimenti ya Shirika La Reli Tanzania - TRC Soma zaidi
-
15
March
2025KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATOA HEKO KWA TRC KUSIMAMIA VYEMA MIUNDOMBINU YA RELI
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imelipongeza Shirika la Reli Tanzania (TRC), kwa kusimamia vyema miundombinu ya reli ya SGR na MGR walipotembelea stesheni ya Tanga kwenye reli ya Kaskazini Machi 14, 2025 Soma zaidi
-
-
23
February
2025WANANCHI NCHINI BURUNDI WAKO TAYARI KWA SGR
Shirika la Reli Tanzania (TRC), limefanya ziara ya nchini Burundi na kukutana na wadau mbalimbali kufuatia kutiwa saini utekelezaji wa Mradi wa SGR awamu ya Soma zaidi
-
21
February
2025Prof. MBARAWA AKAGUA UJENZI WA SGR KIPANDE CHA MWANZA - ISAKA
Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa Februari 20, 2025, ametembelea na kukagua maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Reli ya kiwango cha kimataifa SGR, kipande cha Mwanza – Isaka katika eneo la Malampaka Mkoani simiyu. Soma zaidi
-
19
February
2025SGR KUCHOCHEA UKUAJI WA UCHUMI NA BIASHARA TANZANIA NA BURUNDI
Shirika la Reli Tanzania (TRC), linaendelea na ziara ya kukutana na wadau wa taasisi mbalimbali kutoka nchi za Tanzania na Burundi, kufuatia mradi wa ujenzi wa reli yenye kiwango cha kimataifa Soma zaidi