Habari Mpya
-
-
15
March
2024KAMATI YA MIUNDOMBINU YATOA HEKO KWA TRC USIMAMIZI BORA MRADI WA SGR
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu yalipongeza Shirika la Reli Tanzania - TRC kwa usimamizi bora wa mradi wa ujenzi wa Reli yenye kiwango cha kimataifa - SGR Soma zaidi
-
05
March
2024KONGAMANO LA BIASHARA NA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA RELI LAFUNGULIWA
Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Mwakiposa Kihenzile amefungua kongamano la Biashara na Uwekezaji katika sekta ya reli linalofanyika kwa muda wa siku mbili katika ukumbi uliopo Hoteli wa Soma zaidi
-
23
February
2024BENKI YA MAENDELEO AFRIKA KUTOA SHILINGI BILIONI 231.3 KUFADHILI UJENZI WA SGR KUUNGANISHA BURUNDI NA DRC
Serikali imesaini mkataba wa mkopo wa ufadhili wa mradi wa ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa SGR Soma zaidi
-
17
February
2024SGR NA MGR KUTEGEMEANA KATIKA USAFIRISHAJI WA MIZIGO DAR – KIGOMA
Bodi ya wakurugenzi ya Shirika la Reli Tanzania TRC imekagua karakana kuu ya ukarabati wa vichwa vya treni mkoani Morogoro, Februari 16, 2024 Soma zaidi
-
16
February
2024SGR KUA MFANO KATIKA KONGAMANO LA KUKUZA MUSTAKABADHI ENDELEVU WA KUHIFADHI MAZINGIRA
Shirika la Reli Tanzania – TRC limeshiriki katika kongamano na mradi wa ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) kuwa mfano bora katika kukuza mustakabadhi Soma zaidi