Habari Mpya
-
11
May
2024RELI YA SGR KUKUZA UCHUMI WA AFRIKA
Tume ya Umoja wa Afrika chini ya Idara ya miundombinu na nishati wametembelea mradi wa kimkakati wa reli ya kiwango cha kimataifa - SGR kipande cha kwanza Dar es Salaam - Morogoro Mei 10, 2024. Soma zaidi
-
10
May
2024TRC YASHIRIKISHA KAMATI ZA ULINZI NA USALAMA ZA WILAYA KUWA MABALOZI WA ULINZI NA USALAMA WA RELI
-
10
May
2024TRC KUWEKA MAGETI KWENYE UZIO WA RELI YA SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la kutoa uhamasishaji kwa viongozi wa mitaa kwenye maeneo mbalimbali yaliyopitiwa na mradi Soma zaidi
-
04
May
2024WABUNGE WASHIRIKI SEMINA YA UELEWA KUHUSU MRADI WA SGR
Wizara ya Uchukuzi kupitia Shirka la Reli Tanzania – TRC limefanya semina elekezi kwa Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu Soma zaidi
-
25
April
2024TRC YASHIRIKI MAONESHO YA MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA MUUNGANO
Shirika la Reli Tanzania - TRC limeshiriki maonesho ya Muungano katika kuadhimisha miaka 60 ya Muungano wa Jamhuri ya Tanzania Soma zaidi
-
22
April
2024WAZIRI MKUU MHE.KASSIM MAJALIWA ASHUHUDIA MAJARIBIO YA KWANZA TRENI YA SGR KUTOKA DAR ES SALAAM- DODOMA
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa ashuhudia majaribio ya Kwanza ya treni ya SGR kutoka Dar Es Salaam- Dodoma , Aprili 21, 2024 Soma zaidi

