Habari Mpya
-
11
March
2023ZOEZI LA UTWAAJI ARDHI KUPISHA UJENZI WA SGR MKOANI TABORA LAENDELEA
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na utekelezaji wa utwaaji ardhi kwa matumizi ya ujenzi wa reli ya kisasa – SGR Soma zaidi
-
08
March
2023WANAWAKE WA TRC WASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
Wanawake wa Shirika la Reli Tanzania waungana na wanawake wengine kote nchini kusherehekea sikukuu ya wanawake Duniani iliyoadhimishwa kitaifa katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar ss Salaam, Machi 08, 2023. Soma zaidi
-
03
March
2023TRC NA WFP IMEPOKEA TAARIFA YA UTAFITI WA USAFIRISHAJI WA MAZAO YA MBOGAMBOGA NA MATUNDA
.. Soma zaidi
-
23
February
2023WADAU WA VIPINDI VYA ELIMU KWA UMMA WATEMBELEA MRADI WA SGR
Washiriki wa mkutano wa 107 wa waandaaji wa vipindi vya elimu kwa umma wakiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania – TBC Dkt. Ayub Rioba Chacha Soma zaidi
-
17
February
2023PROF. KONDORO ATAMBULISHA WAJUMBE WAPYA BODI YA WAKURUGENZI TRC
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Shirika la Reli Tanzania – TRC Prof. John Wajanga Kondoro ametambulisha wajumbe wapya wa bodi ya wakurugenzi TRC Soma zaidi
-
16
February
2023WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI WATEMBELEA MRADI WA SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC limepokea ugeni wa Wahariri wa vyombo vya habari nchini kutembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi