Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​ZOEZI LA UTWAAJI ARDHI KUPISHA UJENZI WA SGR MKOANI TABORA LAENDELEA
    11
    March
    2023

    ​ZOEZI LA UTWAAJI ARDHI KUPISHA UJENZI WA SGR MKOANI TABORA LAENDELEA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na utekelezaji wa utwaaji ardhi kwa matumizi ya ujenzi wa reli ya kisasa – SGR Soma zaidi

  • WANAWAKE WA TRC WASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
    08
    March
    2023

    WANAWAKE WA TRC WASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

    Wanawake wa Shirika la Reli Tanzania waungana na wanawake wengine kote nchini kusherehekea sikukuu ya wanawake Duniani iliyoadhimishwa kitaifa katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar ss Salaam, Machi 08, 2023. Soma zaidi

  • TRC NA WFP IMEPOKEA TAARIFA YA UTAFITI  WA USAFIRISHAJI WA MAZAO YA MBOGAMBOGA NA MATUNDA
    03
    March
    2023

    TRC NA WFP IMEPOKEA TAARIFA YA UTAFITI WA USAFIRISHAJI WA MAZAO YA MBOGAMBOGA NA MATUNDA

    .. Soma zaidi

  • ​WADAU WA VIPINDI VYA ELIMU KWA UMMA WATEMBELEA MRADI WA SGR
    23
    February
    2023

    ​WADAU WA VIPINDI VYA ELIMU KWA UMMA WATEMBELEA MRADI WA SGR

    Washiriki wa mkutano wa 107 wa waandaaji wa vipindi vya elimu kwa umma wakiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania – TBC Dkt. Ayub Rioba Chacha Soma zaidi

  • ​PROF. KONDORO ATAMBULISHA WAJUMBE WAPYA BODI YA WAKURUGENZI TRC
    17
    February
    2023

    ​PROF. KONDORO ATAMBULISHA WAJUMBE WAPYA BODI YA WAKURUGENZI TRC

    ​Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Shirika la Reli Tanzania – TRC Prof. John Wajanga Kondoro ametambulisha wajumbe wapya wa bodi ya wakurugenzi TRC Soma zaidi

  • WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI WATEMBELEA MRADI WA SGR
    16
    February
    2023

    WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI WATEMBELEA MRADI WA SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limepokea ugeni wa Wahariri wa vyombo vya habari nchini kutembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi