Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • TRC YASISITIZA KUWEPO KWA MPANGO WA USIMAMIZI WA WAFANYAKAZI KATIKA MRADI WA SGR
    08
    June
    2025

    TRC YASISITIZA KUWEPO KWA MPANGO WA USIMAMIZI WA WAFANYAKAZI KATIKA MRADI WA SGR

    Maafisa kutoka Idara ya Rasilimali watu na Utawala, Kitengo cha Jamii na Kitengo cha Habari na Uhusiano cha Shirika la Reli Tanzania (TRC) Soma zaidi

  • TRC YAIBUKA KIDEDEA TUZO UTUNZAJI MAZINGIRA
    05
    June
    2025

    TRC YAIBUKA KIDEDEA TUZO UTUNZAJI MAZINGIRA

    . Soma zaidi

  • ​TAASISI ZA UCHUKUZI ZA PANDA MITI STESHENI YA SAMIA DODOMA
    04
    June
    2025

    ​TAASISI ZA UCHUKUZI ZA PANDA MITI STESHENI YA SAMIA DODOMA

    Shirika la Reli Tanzania (TRC), limeungana na taasisi 14 nyingine zilizo chini ya Wizara ya Uchukuzi kupanda miti takribani 50 katika Stesheni Kuu ya Samia Suluhu SGR) Jijini Dodoma, kuadhimisha wiki ya mazingira Duniani Soma zaidi

  • ​TRC YAFANYA USAFI UWANJA WA NDEGE DODOMA.
    03
    June
    2025

    ​TRC YAFANYA USAFI UWANJA WA NDEGE DODOMA.

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limeungana na Taasisi zingine kutoka Wizara ya Uchukuzi kufanya usafi katika kiwanja cha Ndege cha Dodoma ikiwa ni sehemu yamaadhimisho ya Wiki ya Mazingira Duniani Soma zaidi

  • ​DIASPORA KUTOKA UINGEREZA WAISIFIA SGR
    29
    May
    2025

    ​DIASPORA KUTOKA UINGEREZA WAISIFIA SGR

    Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema Serikali kupitia Shirika hilo imetekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi kufuatia kuanza kwa operesheni kwenye mradi mkubwa wa kimkakati wa reli ya umeme (SGR) ambapo hadi Soma zaidi

  • ​TANZANIA YAWAFUNDA WAZAMBIA KUHUSU SGR
    26
    May
    2025

    ​TANZANIA YAWAFUNDA WAZAMBIA KUHUSU SGR

    Kamati ya Bunge ya Utawala wa Mitaa, Makazi na Masuala ya Machifu kutoka nchini Zambia, imelitembelea Shirika la Reli Tanzania hususani Stesheni ya Magufuli Jijini Dar es Salaam Soma zaidi