Habari Mpya
-
28
September
2023UTWAAJI ARDHI WAENDELEA WILAYANI NZEGA
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa- SGR kipande cha nne Soma zaidi
-
19
September
2023BODI YA WAKURUGENZI TRC YAMALIZA ZIARA KUKAGUA MRADI WA SGR
Bodi ya Wakurugenzi Shirika la Reli Tanzania – TRC yamaliza ziara kukagua mradi wa ujenzi wa reli yenye kiwango cha kimataifa kuanzia Soma zaidi
-
16
September
2023BODI MPYA YA WAKURUGENZI TRC YAANZA KAZI RASMI
Bodi mpya ya Wakurugenzi ya Shirika la Reli Tanzania - TRC imeanza kazi rasmi kwa kukagua mradi wa ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa - SGR Soma zaidi
-
13
September
2023NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI ATEMBELEA TRC
Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Mwakiposa Kihenzile atembelea Shirika la Reli Tanzania - TRC na kufanya kikao kifupi na menejimenti ya TRC Soma zaidi
-
12
September
2023MBARAWA AZINDUA BODI MPYA YA WAKURUGENZI TRC
Shirika la Reli Tanzania - TRC imefanya hafla fupi ya uzinduzi wa Bodi mpya ya wakurugenzi iliyo ongozwa na mgeni rasmi Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa iliyofanyika katika jengo la stesheni ya SGR Soma zaidi
-
11
September
2023TRC YAPOKEA MAKASHA YA UBARIDI KUTOKA WFP
Shirika la Reli Tanzania - TRC limepokea makasha matano ya ubaridi kwaajili ya kusafirisha matunda na mbogamboga kwa kutumia usafiri wa treni kutoka Shirika la Mpango wa Chakula Duniani Soma zaidi