Habari Mpya
-
17
February
2026TRC YAANZA RASMI USAFIRISHAJI WA MIZIGO KWA KUTUMIA CONTAINER CARRIERS SGR
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeanza rasmi usafirishaji wa makasha kwa kutumia reli ya Standard Gauge, hatua inayolenga kupanua wigo wa biashara, kupunguza msongamano wa mizigo bandarini na kurahisisha usafirishaji wa mizigo kwenda mikoa ya kati ya nchi. Soma zaidi
-
27
January
2026TRC YAUNGANA NA RAIS SAMIA UPANDAJI WA MITI JAN. 27
Shirika la Reli Tanzania (TRC) likishirikiana na wadau mbalimbali, limepanda jumla ya miti 150 katika stesheni ya abiria ya SGR na stesheni ya mizigo Januari 27, 2026 Soma zaidi
-
18
January
2026MRADI WA TIRP II KUONGEZA UFANISI WA RELI YA ZAMANI
Shirika la Reli Tanzania linaendelea na awamu ya pili ya mradi wa ukarabati na uboreshaji wa miundombinu ya reli ya zamani ( Tanzania Intermodal Rail Development Project Phase II - TIRP II) Soma zaidi
-
23
December
2025TRC YAENDELEA YA ZOEZI LA UTWAAJI ARDHI MRADI WA SGR TABORA - KIGOMA
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi kupisha mradi wa ujenzi wa reli yenye kiwango cha kimataifa - SGR Soma zaidi
-
12
December
2025MIUNDOMBINU YA SGR IKO SALAMA - RC CHALAMILA
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila, amewahakikishia wananchi na raia wa kigeni kuwa miundombinu ya SGR iko salama kwa upande wa Dar es Salaam na kipande chote cha reli mpaka Dodoma na Soma zaidi
-
10
October
2025TRC, TCB WAZINDUA KADI YA MALIPO YA TIKETI USAFIRI WA SGR
Shirika la Reli Tanzania (TRC) kwa ushirikiano na Benki ya Biashara Tanzania (TCB) limezindua rasmi kadi ya malipo ya tiketi ya SGR iitwayo TRC Prepaid Card katika Soma zaidi

