Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​TRC YAHITIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA
    13
    October
    2024

    ​TRC YAHITIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

    Shirika la Reli Tanzania – TRC limehitimisha wiki ya huduma kwa wateja katika mikoa ya Dar es Salaam, Morogoro, Dodoma, Tabora, Kigoma na Kilimanjaro iliyoadhimishwa kuanzia tarehe 7 hadi 11 Oktoba 2024. Soma zaidi

  • ​TRC, TIGO WAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA
    09
    October
    2024

    ​TRC, TIGO WAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC kwa kushirikiana na kampuni ya mitandao ya simu ya TIGO wamefanya hafla fupi ya kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja katika jengo la stesheni ya SGR jijini Dar es Salaam Oktoba 9, 2024. Soma zaidi

  • WAKULIMA KUFAIDIKA KUPITIA MKAKATI MPYA WA UPATIKANAJI MIZIGO
    02
    October
    2024

    WAKULIMA KUFAIDIKA KUPITIA MKAKATI MPYA WA UPATIKANAJI MIZIGO

    . Soma zaidi

  • ​TRC KUNYAKUA TUZO KWA UBORA WA KUHABARISHA UMMA
    23
    September
    2024

    ​TRC KUNYAKUA TUZO KWA UBORA WA KUHABARISHA UMMA

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC kupitia kitengo cha Habari na Uhusiano kwa Umma imeibuka kidedea kwa kunyakua tuzo katika tuzo za Uandishi Wenye Tija (Stories of Change) za mwaka 2024 Soma zaidi

  • ​DKT. SAMIA AANDIKA HISTORIA UZINDUZI WA SGR NCHINI
    02
    August
    2024

    ​DKT. SAMIA AANDIKA HISTORIA UZINDUZI WA SGR NCHINI

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi huduma za safari za treni za abiria katika reli ya kiwango cha kimataifa - SGR, Soma zaidi

  • ​SIMBA KUTUA NA SGR MOROGORO
    22
    July
    2024

    ​SIMBA KUTUA NA SGR MOROGORO

    ​Kilabu ya Mpira wa Miguu ya Simba imeingia makubaliano na Shirika la Reli Tanzania – TRC kwaajili ya kutumia usafiri wa treni ya reli Soma zaidi