Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​UTWAAJI ARDHI WAENDELEA WILAYANI NZEGA
    28
    September
    2023

    ​UTWAAJI ARDHI WAENDELEA WILAYANI NZEGA

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa- SGR kipande cha nne Soma zaidi

  • ​BODI YA WAKURUGENZI TRC YAMALIZA ZIARA KUKAGUA MRADI WA SGR
    19
    September
    2023

    ​BODI YA WAKURUGENZI TRC YAMALIZA ZIARA KUKAGUA MRADI WA SGR

    ​Bodi ya Wakurugenzi Shirika la Reli Tanzania – TRC yamaliza ziara kukagua mradi wa ujenzi wa reli yenye kiwango cha kimataifa kuanzia Soma zaidi

  • ​BODI MPYA YA WAKURUGENZI TRC YAANZA KAZI RASMI
    16
    September
    2023

    ​BODI MPYA YA WAKURUGENZI TRC YAANZA KAZI RASMI

    Bodi mpya ya Wakurugenzi ya Shirika la Reli Tanzania - TRC imeanza kazi rasmi kwa kukagua mradi wa ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa - SGR Soma zaidi

  • ​NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI ATEMBELEA TRC
    13
    September
    2023

    ​NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI ATEMBELEA TRC

    Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Mwakiposa Kihenzile atembelea Shirika la Reli Tanzania - TRC na kufanya kikao kifupi na menejimenti ya TRC Soma zaidi

  • ​MBARAWA AZINDUA BODI MPYA YA WAKURUGENZI TRC
    12
    September
    2023

    ​MBARAWA AZINDUA BODI MPYA YA WAKURUGENZI TRC

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC imefanya hafla fupi ya uzinduzi wa Bodi mpya ya wakurugenzi iliyo ongozwa na mgeni rasmi Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa iliyofanyika katika jengo la stesheni ya SGR Soma zaidi

  • ​TRC YAPOKEA MAKASHA YA UBARIDI KUTOKA WFP
    11
    September
    2023

    ​TRC YAPOKEA MAKASHA YA UBARIDI KUTOKA WFP

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limepokea makasha matano ya ubaridi kwaajili ya kusafirisha matunda na mbogamboga kwa kutumia usafiri wa treni kutoka Shirika la Mpango wa Chakula Duniani Soma zaidi