Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​ZAIDI YA ASILIMIA 77 YA WANANCHI WALIPWA FIDIA KUPISHA MRADI WA SGR TABORA HADI MWANZA
    17
    February
    2025

    ​ZAIDI YA ASILIMIA 77 YA WANANCHI WALIPWA FIDIA KUPISHA MRADI WA SGR TABORA HADI MWANZA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limelipa fidia zaidi asilimia 77 ya wananchi ambao maeneo yao yalitwaliwa ili kupisha Ujenzi wa mradi wa SGR Kipande cha nne Tabora - Isaka na kipande cha tano Isaka - Mwanza hivi karibuni Februari, 2025 Soma zaidi

  • PROFESA MBARAWA AWATAKA WAWEKEZAJI KUWEKEZA TRC
    11
    February
    2025

    PROFESA MBARAWA AWATAKA WAWEKEZAJI KUWEKEZA TRC

    . Soma zaidi

  • MKURUGENZI MKUU TRC ATAKA WATUMISHI KUWAJIBIKA NA KUFANYA KAZI KWA BIDII
    11
    February
    2025

    MKURUGENZI MKUU TRC ATAKA WATUMISHI KUWAJIBIKA NA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    . Soma zaidi

  • ​WANANCHI MKOANI SHINYANGA, SIMIYU, MWANZA WAIPA HEKO SERIKALI
    07
    February
    2025

    ​WANANCHI MKOANI SHINYANGA, SIMIYU, MWANZA WAIPA HEKO SERIKALI

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi wa Mkoa wa Tabora, Shinyanga, Simiyu na Mwanza, waliotwaliwa ardhi ili kupisha Mradi wa Ujenzi wa reli itumiayo nishati ya umeme - SGR Kipande cha tano kutoka Isaka hadi Mwanza hivi karibuni. Soma zaidi

  • ​WANANCHI WAENDELEA KUPOKEA STAHIKI ZAO MRADI WA SGR
    04
    February
    2025

    ​WANANCHI WAENDELEA KUPOKEA STAHIKI ZAO MRADI WA SGR

    ​Shirika la reli Tanzania - TRC linafanya zoezi la ulipaji wa fidia katika kipande cha tano cha ujenzi wa mradi wa SGR kutoka Isaka hadi Mwanza Soma zaidi

  • ​SGR KUUNGANISHA TANZANIA NA BURUNDI
    29
    January
    2025

    ​SGR KUUNGANISHA TANZANIA NA BURUNDI

    ​Shirika la Reli la Tanzania - TRC, Januari 29, 2025 limesaini mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha 7 na 8 kutoka Uvinza nchini Soma zaidi