Habari Mpya
-
17
February
2025ZAIDI YA ASILIMIA 77 YA WANANCHI WALIPWA FIDIA KUPISHA MRADI WA SGR TABORA HADI MWANZA
Shirika la Reli Tanzania - TRC limelipa fidia zaidi asilimia 77 ya wananchi ambao maeneo yao yalitwaliwa ili kupisha Ujenzi wa mradi wa SGR Kipande cha nne Tabora - Isaka na kipande cha tano Isaka - Mwanza hivi karibuni Februari, 2025 Soma zaidi
-
-
11
February
2025MKURUGENZI MKUU TRC ATAKA WATUMISHI KUWAJIBIKA NA KUFANYA KAZI KWA BIDII
-
07
February
2025WANANCHI MKOANI SHINYANGA, SIMIYU, MWANZA WAIPA HEKO SERIKALI
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi wa Mkoa wa Tabora, Shinyanga, Simiyu na Mwanza, waliotwaliwa ardhi ili kupisha Mradi wa Ujenzi wa reli itumiayo nishati ya umeme - SGR Kipande cha tano kutoka Isaka hadi Mwanza hivi karibuni. Soma zaidi
-
04
February
2025WANANCHI WAENDELEA KUPOKEA STAHIKI ZAO MRADI WA SGR
Shirika la reli Tanzania - TRC linafanya zoezi la ulipaji wa fidia katika kipande cha tano cha ujenzi wa mradi wa SGR kutoka Isaka hadi Mwanza Soma zaidi
-
29
January
2025SGR KUUNGANISHA TANZANIA NA BURUNDI
Shirika la Reli la Tanzania - TRC, Januari 29, 2025 limesaini mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha 7 na 8 kutoka Uvinza nchini Soma zaidi