Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​DKT. MPANGO AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA SGR TABORA - ISAKA
    19
    January
    2023

    ​DKT. MPANGO AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA SGR TABORA - ISAKA

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa reli ya kisasa – SGR Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA KUTWAA ARDHI KUPISHA UJENZI WA SGR NYAMAGANA MAGHARIBI - MWANZA
    06
    January
    2023

    ​TRC YAENDELEA KUTWAA ARDHI KUPISHA UJENZI WA SGR NYAMAGANA MAGHARIBI - MWANZA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi kupisha ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha tano Isaka - Mwanza linalofanyika katika mtaa wa Nyamagana Magharibi jijini Mwanza hivi karibuni Januari, 2023. Soma zaidi

  • ​HEKO TRC KUSIMAMIA VYEMA MRADI WA KIMKAKATI WA SGR; WANANCHI MWANZA
    30
    December
    2022

    ​HEKO TRC KUSIMAMIA VYEMA MRADI WA KIMKAKATI WA SGR; WANANCHI MWANZA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi kupisha ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha tano Isaka - Mwanza linalofanyika mtaa wa Mkuyuni Sokoni wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza Disemba, 2022. Soma zaidi

  • WANANCHI WA DODOMA WASISITIZWA KULINDA MIUNDOMBINU YA SGR
    29
    December
    2022

    WANANCHI WA DODOMA WASISITIZWA KULINDA MIUNDOMBINU YA SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC likiendelea na kampeni ya uelewa kwa jamii kuhusu usalama na ulinzi wa miundombinu ya reli ya kisasa – SGR limekutana na jamii ya wafugaji na wakulima Dodoma vijijini Soma zaidi

  • ​MRADI WA SGR KIPANDE CHA TANO ISAKA – MWANZA, TRC YAENDELEA KUTWAA ARDHI
    24
    December
    2022

    ​MRADI WA SGR KIPANDE CHA TANO ISAKA – MWANZA, TRC YAENDELEA KUTWAA ARDHI

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi kupisha ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha tano Isaka - Mwanza Soma zaidi

  • ​RAIS DKT. SAMIA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MKATABA WA UJENZI WA SGR TABORA - KIGOMA
    22
    December
    2022

    ​RAIS DKT. SAMIA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MKATABA WA UJENZI WA SGR TABORA - KIGOMA

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ashuhudia utiaji saini mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR awamu ya pili, kipande cha kwanza Tabora - Kigoma Ikulu jijini Dar es Salaam, Disemba 20, 2022. Soma zaidi