Habari Mpya
-
19
January
2023DKT. MPANGO AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA SGR TABORA - ISAKA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa reli ya kisasa – SGR Soma zaidi
-
06
January
2023TRC YAENDELEA KUTWAA ARDHI KUPISHA UJENZI WA SGR NYAMAGANA MAGHARIBI - MWANZA
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi kupisha ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha tano Isaka - Mwanza linalofanyika katika mtaa wa Nyamagana Magharibi jijini Mwanza hivi karibuni Januari, 2023. Soma zaidi
-
30
December
2022HEKO TRC KUSIMAMIA VYEMA MRADI WA KIMKAKATI WA SGR; WANANCHI MWANZA
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi kupisha ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha tano Isaka - Mwanza linalofanyika mtaa wa Mkuyuni Sokoni wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza Disemba, 2022. Soma zaidi
-
29
December
2022WANANCHI WA DODOMA WASISITIZWA KULINDA MIUNDOMBINU YA SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC likiendelea na kampeni ya uelewa kwa jamii kuhusu usalama na ulinzi wa miundombinu ya reli ya kisasa – SGR limekutana na jamii ya wafugaji na wakulima Dodoma vijijini Soma zaidi
-
24
December
2022MRADI WA SGR KIPANDE CHA TANO ISAKA – MWANZA, TRC YAENDELEA KUTWAA ARDHI
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi kupisha ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha tano Isaka - Mwanza Soma zaidi
-
22
December
2022RAIS DKT. SAMIA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MKATABA WA UJENZI WA SGR TABORA - KIGOMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ashuhudia utiaji saini mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR awamu ya pili, kipande cha kwanza Tabora - Kigoma Ikulu jijini Dar es Salaam, Disemba 20, 2022. Soma zaidi