Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • MKURUGENZI MKUU TRC ATAKA WATUMISHI KUWAJIBIKA NA KUFANYA KAZI KWA BIDII
    11
    February
    2025

    MKURUGENZI MKUU TRC ATAKA WATUMISHI KUWAJIBIKA NA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    . Soma zaidi

  • ​WANANCHI MKOANI SHINYANGA, SIMIYU, MWANZA WAIPA HEKO SERIKALI
    07
    February
    2025

    ​WANANCHI MKOANI SHINYANGA, SIMIYU, MWANZA WAIPA HEKO SERIKALI

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi wa Mkoa wa Tabora, Shinyanga, Simiyu na Mwanza, waliotwaliwa ardhi ili kupisha Mradi wa Ujenzi wa reli itumiayo nishati ya umeme - SGR Kipande cha tano kutoka Isaka hadi Mwanza hivi karibuni. Soma zaidi

  • ​WANANCHI WAENDELEA KUPOKEA STAHIKI ZAO MRADI WA SGR
    04
    February
    2025

    ​WANANCHI WAENDELEA KUPOKEA STAHIKI ZAO MRADI WA SGR

    ​Shirika la reli Tanzania - TRC linafanya zoezi la ulipaji wa fidia katika kipande cha tano cha ujenzi wa mradi wa SGR kutoka Isaka hadi Mwanza Soma zaidi

  • ​SGR KUUNGANISHA TANZANIA NA BURUNDI
    29
    January
    2025

    ​SGR KUUNGANISHA TANZANIA NA BURUNDI

    ​Shirika la Reli la Tanzania - TRC, Januari 29, 2025 limesaini mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha 7 na 8 kutoka Uvinza nchini Soma zaidi

  • ​MAMA MONGELA, WAKONGWE WA TABORA GIRLS WAPANDA MCHONGOKO KUUONA MJI WA SERIKALI MTUMBA
    23
    January
    2025

    ​MAMA MONGELA, WAKONGWE WA TABORA GIRLS WAPANDA MCHONGOKO KUUONA MJI WA SERIKALI MTUMBA

    Jumla ya wanawake 50 waliosoma shule ya sekondari ya Wasichana Tabora mwaka wakiongozwa na Getrude Mongela wametembelea mradi wa reli ya kisasa ya SGR Soma zaidi

  • ​TRC YASISITIZA KILA MWANANCHI ANA WAJIBU WA KUILINDA MIUNDOMBINU YA RELI
    12
    December
    2024

    ​TRC YASISITIZA KILA MWANANCHI ANA WAJIBU WA KUILINDA MIUNDOMBINU YA RELI

    ​Kitengo cha Habari kwa kushirikiana na maafisa wa TRC kutoka vitengo vya Ulinzi na Usalama wa Reli, Ishara na Mawasiliano, Polisi Reli, Masuala ya Jamii wamehitimisha kampeni ya uelewa kwa wananchi juu ya Soma zaidi