Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​DIASPORA KUTOKA UINGEREZA WAISIFIA SGR
    29
    May
    2025

    ​DIASPORA KUTOKA UINGEREZA WAISIFIA SGR

    Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema Serikali kupitia Shirika hilo imetekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi kufuatia kuanza kwa operesheni kwenye mradi mkubwa wa kimkakati wa reli ya umeme (SGR) ambapo hadi Soma zaidi

  • ​TANZANIA YAWAFUNDA WAZAMBIA KUHUSU SGR
    26
    May
    2025

    ​TANZANIA YAWAFUNDA WAZAMBIA KUHUSU SGR

    Kamati ya Bunge ya Utawala wa Mitaa, Makazi na Masuala ya Machifu kutoka nchini Zambia, imelitembelea Shirika la Reli Tanzania hususani Stesheni ya Magufuli Jijini Dar es Salaam Soma zaidi

  • ​RASILIMALI WATU; BIASHARA INAYOWEZESHA
    06
    May
    2025

    ​RASILIMALI WATU; BIASHARA INAYOWEZESHA

    Kurugenzi ya Utawala na Rasilimali watu ya Shirika la Reli Tanzania (TRC), imesema Rasilimali watu ni biashara inayowezesha kwa kuleta mfumo wa kushirikiana na idara nyingine katika kila jambo. Soma zaidi

  • ABIRIA ZAIDI YA MILIONI 2.3 WASAFIRI NA SGR; MAKUSANYO YAFIKIA BILIONI 66.8
    02
    May
    2025

    ABIRIA ZAIDI YA MILIONI 2.3 WASAFIRI NA SGR; MAKUSANYO YAFIKIA BILIONI 66.8

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania - TRC ndugu Masanja Kungu Kadogosa amesema kuwa TRC imeweza kusafirisha zaidi ya abiria milioni 2.3 Soma zaidi

  • ​WANANCHI WILAYANI UYUI,URAMBO WAASWA KUWAJIBIKA KULINDA MIUNDOMBINU YA RELI
    02
    April
    2025

    ​WANANCHI WILAYANI UYUI,URAMBO WAASWA KUWAJIBIKA KULINDA MIUNDOMBINU YA RELI

    Wananchi wa wilaya ya Uyui na Urambo Mkoani Tabora wameaswa kuwajibika kulinda miundombinu ya reli kwenye kipande cha sita cha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) Tabora - Kigoma. Soma zaidi

  • ​MRADI WA SGR KUWA CHANZO CHA UKUAJI WA UCHUMI MKOANI TABORA
    23
    March
    2025

    ​MRADI WA SGR KUWA CHANZO CHA UKUAJI WA UCHUMI MKOANI TABORA

    Serikali Wilaya ya Tabora Mjini, imempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuuendeleza mradi wa SGR kipande cha sita Tabora - Kigoma Soma zaidi