Habari Mpya
-
02
May
2025ABIRIA ZAIDI YA MILIONI 2.3 WASAFIRI NA SGR; MAKUSANYO YAFIKIA BILIONI 66.8
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania - TRC ndugu Masanja Kungu Kadogosa amesema kuwa TRC imeweza kusafirisha zaidi ya abiria milioni 2.3 Soma zaidi
-
02
April
2025WANANCHI WILAYANI UYUI,URAMBO WAASWA KUWAJIBIKA KULINDA MIUNDOMBINU YA RELI
Wananchi wa wilaya ya Uyui na Urambo Mkoani Tabora wameaswa kuwajibika kulinda miundombinu ya reli kwenye kipande cha sita cha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) Tabora - Kigoma. Soma zaidi
-
23
March
2025MRADI WA SGR KUWA CHANZO CHA UKUAJI WA UCHUMI MKOANI TABORA
Serikali Wilaya ya Tabora Mjini, imempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuuendeleza mradi wa SGR kipande cha sita Tabora - Kigoma Soma zaidi
-
22
March
2025SERIKALI YAENDELEA KUUPIGA MWINGI SEKTA YA RELI NCHINI
Tarehe 22 Machi 2025, Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania - TRC Ndugu Masanja Kungu Kadogosa amefanya mkutano na waandishi wa habari kwaajili ya kutoa taarifa ya mafanikio Soma zaidi
-
18
March
2025UJENZI WA SGR UVINZA - MALAGARASI - MUSONGATI KUIBUA FURSA ZA AJIRA NA BIASHARA KIGOMA
-
16
March
2025FINAL RAP REPORT UVINZA KIGADYE
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) ikiambatana na menejimenti ya Shirika La Reli Tanzania - TRC Soma zaidi