Habari Mpya
-
29
May
2025DIASPORA KUTOKA UINGEREZA WAISIFIA SGR
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema Serikali kupitia Shirika hilo imetekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi kufuatia kuanza kwa operesheni kwenye mradi mkubwa wa kimkakati wa reli ya umeme (SGR) ambapo hadi Soma zaidi
-
26
May
2025TANZANIA YAWAFUNDA WAZAMBIA KUHUSU SGR
Kamati ya Bunge ya Utawala wa Mitaa, Makazi na Masuala ya Machifu kutoka nchini Zambia, imelitembelea Shirika la Reli Tanzania hususani Stesheni ya Magufuli Jijini Dar es Salaam Soma zaidi
-
06
May
2025RASILIMALI WATU; BIASHARA INAYOWEZESHA
Kurugenzi ya Utawala na Rasilimali watu ya Shirika la Reli Tanzania (TRC), imesema Rasilimali watu ni biashara inayowezesha kwa kuleta mfumo wa kushirikiana na idara nyingine katika kila jambo. Soma zaidi
-
02
May
2025ABIRIA ZAIDI YA MILIONI 2.3 WASAFIRI NA SGR; MAKUSANYO YAFIKIA BILIONI 66.8
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania - TRC ndugu Masanja Kungu Kadogosa amesema kuwa TRC imeweza kusafirisha zaidi ya abiria milioni 2.3 Soma zaidi
-
02
April
2025WANANCHI WILAYANI UYUI,URAMBO WAASWA KUWAJIBIKA KULINDA MIUNDOMBINU YA RELI
Wananchi wa wilaya ya Uyui na Urambo Mkoani Tabora wameaswa kuwajibika kulinda miundombinu ya reli kwenye kipande cha sita cha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) Tabora - Kigoma. Soma zaidi
-
23
March
2025MRADI WA SGR KUWA CHANZO CHA UKUAJI WA UCHUMI MKOANI TABORA
Serikali Wilaya ya Tabora Mjini, imempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuuendeleza mradi wa SGR kipande cha sita Tabora - Kigoma Soma zaidi

