Habari Mpya
-
22
July
2024SIMBA KUTUA NA SGR MOROGORO
Kilabu ya Mpira wa Miguu ya Simba imeingia makubaliano na Shirika la Reli Tanzania – TRC kwaajili ya kutumia usafiri wa treni ya reli Soma zaidi
-
21
July
2024MACHIFU WAIPA HEKO SERIKALI KUANZA SAFARI ZA TRENI YENYE KIWANGO CHA KIMATAIFA
Shirika la Reli Tanzania - TRC limepokea ugeni wa Machifu wa makabila mbalimbali Tanzania katika stesheni kuu ya SGR ya Dodoma Julai 20, 2024. Soma zaidi
-
03
July
2024PROF. MBARAWA ARIDHISHWA NA UTAYARI KUELEKEA KUANZA KWA HUDUMA ZA SGR DAR ES SALAAM - DODOMA
Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa amefanya ziara kukagua huduma za usafiri katika mradi wa ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa - SGR Dar es Salaam - Morogoro na kuona Soma zaidi
-
01
July
2024WANANCHI WA MANISPAA TABORA NA IGALULA WILAYANI UYUI WANUFAIKA NA FIDIA KUTOKA TRC
Shirika la Reli Tanzania - TRC limefanya malipo ya fidia Tabora Manispaa na Igalula wilaya ya Uyui mkoani Tabora kwa wananchi waliofanyiwa uthamini wa ardhi kwa ajili ya kupisha ujenzi wa njia kuu ya reli (Right of Way) Soma zaidi
-
22
June
2024RAIS WA GUINEA - BISSAU ATEMBELEA TRC NA KUJIONEA SHUGHULI ZA USAFIRISHAJI WA TRENI ZA SGR