Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​KASI YA UJENZI SGR YAENDA SAMBAMBA NA UTWAAJI ARDHI
    23
    June
    2023

    ​KASI YA UJENZI SGR YAENDA SAMBAMBA NA UTWAAJI ARDHI

    ​Shirika la Reli Tanzania – TRC linaendelea na shughuli za ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa – SGR awamu ya kwanza na ya pili sambamba na utwaaji ardh katika maeneo mbalimbali nchini ili kupisha mradi ikiwemo mkoani Singida na Tabora, Juni 2023. Soma zaidi

  • MAAFISA HABARI, MAWASILIANO NA UHUSIANO KUTOKA ZANZIBAR WATEMBELEA TRC.
    22
    June
    2023

    MAAFISA HABARI, MAWASILIANO NA UHUSIANO KUTOKA ZANZIBAR WATEMBELEA TRC.

    . Soma zaidi

  • ​MABEHEWA SITA YA GHOROFA YA TRENI YA KISASA YAPOKELEWA
    09
    June
    2023

    ​MABEHEWA SITA YA GHOROFA YA TRENI YA KISASA YAPOKELEWA

    Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Atupele Mwakibete apokea mabehewa sita (6) ya ghorofa yatakayotumika katika uendeshaji wa treni ya kisasa ya reli ya kiwango cha kimataifa - SGR, kwenye hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya bandari jijini Dar es Salaam Juni 9, 2023. Soma zaidi

  • ​TRC YALIPA FIDIA MKOANI DODOMA KUWEZESHA UJENZI WA VIVUKO SGR
    09
    June
    2023

    ​TRC YALIPA FIDIA MKOANI DODOMA KUWEZESHA UJENZI WA VIVUKO SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea na zoezi la ulipaji fidia Dodoma Jiji, Bahi, Chamwino na Mpwapwa katika kipande cha pili cha ujenzi wa reli ya kisasa Morogoro - Makutupora, Juni 2023. Soma zaidi

  • ​MAENEO YAENDELEA KUTWALIWA MANYONI MKOANI SINGIDA
    04
    June
    2023

    ​MAENEO YAENDELEA KUTWALIWA MANYONI MKOANI SINGIDA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa Soma zaidi

  • FAFANUA KUHUSU KUCHELEWA KUANZA UTOAJI HUDUMA KWA KUTUMIA TRENI YA UMEME (SGR) -MSEMAJI MKUU WA SERIKALI
    01
    June
    2023

    FAFANUA KUHUSU KUCHELEWA KUANZA UTOAJI HUDUMA KWA KUTUMIA TRENI YA UMEME (SGR) -MSEMAJI MKUU WA SERIKALI

    Ufafanuzi kuhusu kuchelewa kuanza utoaji huduma kwa kutumia treni ya umeme ya SGR Soma zaidi