Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​MABEHEWA MAPYA YA METER GAUGE YAANZA SAFARI RASMI KUELEKEA KIGOMA
    15
    December
    2022

    ​MABEHEWA MAPYA YA METER GAUGE YAANZA SAFARI RASMI KUELEKEA KIGOMA

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania – TRC Masanja Kadogosa ameruhusu treni ya abiria yenye mabehewa mapya 21 Soma zaidi

  • ​141 WAHITIMU CHUO CHA RELI, TRC YAANIKA MIPANGO UPANUZI WA CHUO
    13
    December
    2022

    ​141 WAHITIMU CHUO CHA RELI, TRC YAANIKA MIPANGO UPANUZI WA CHUO

    Chuo cha Teknolojia ya Reli Tanzania, TIRTEC kimefanya mahafali yake ya pili ambapo jumla ya wahitimu 141 wametunukiwa vyeti, astashahada ya awali na astashahada katika taaluma mbalimbali za sekta ya usafirishaji kwa njia ya reli, Disemba 10, 2022 mkoani Tabora. Soma zaidi

  • WAJUMBE HALMASHAURI KUU CCM WARIDHISHWA MAENDELEO YA MRADI WA SGR
    06
    December
    2022

    WAJUMBE HALMASHAURI KUU CCM WARIDHISHWA MAENDELEO YA MRADI WA SGR

    Wenyeviti pamoja na wajumbe kutoka visiwani Zanzibar na Bara wa Halmashauri kuu ya Taifa Chama Cha Mapinduzi - CCM watembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi

  • ​WAZIRI WA MIUNDOMBINU WA BURUNDI ATEMBELEA MRADI WA SGR
    29
    November
    2022

    ​WAZIRI WA MIUNDOMBINU WA BURUNDI ATEMBELEA MRADI WA SGR

    Shirika la Reli Tanzania – TRC limepokea ugeni wa Waziri wa Miundombinu kutoka nchini Burundi Mhe. Dieudonne Dukundane kutembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha kwanza Dar es Salaam – Morogoro katika stesheni kuu ya SGR jijini Dar es Salaam hivi karibuni Novemba, 2022. Soma zaidi

  • ​WAFANYAKAZI 14 WA TRC KWENDA KOREA KUSINI KWA MAFUNZO YA SGR KWA VITENDO
    26
    November
    2022

    ​WAFANYAKAZI 14 WA TRC KWENDA KOREA KUSINI KWA MAFUNZO YA SGR KWA VITENDO

    Shirika la reli Tanzani - TRC kupeleka wafanyakazi kumi na wanne (14) nchini Korea Kusini kwaajili ya mafunzo kwa vitendo kuhusu uendeshaji wa reli ya kisasa – SGR, Novemba 2022. Soma zaidi

  • TRC YAPOKEA BEHEWA 14 MPYA ZA SGR KWAAJILI YA ABIRIA
    25
    November
    2022

    TRC YAPOKEA BEHEWA 14 MPYA ZA SGR KWAAJILI YA ABIRIA

    Shirika la Reli Tanzania – TRC limepokea behewa 14 mpya za reli ya kisasa - SGR zilizonunuliwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwaajili ya uendeshaji wa reli ya kisasa nchini Soma zaidi