Habari Mpya
-
23
June
2023KASI YA UJENZI SGR YAENDA SAMBAMBA NA UTWAAJI ARDHI
Shirika la Reli Tanzania – TRC linaendelea na shughuli za ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa – SGR awamu ya kwanza na ya pili sambamba na utwaaji ardh katika maeneo mbalimbali nchini ili kupisha mradi ikiwemo mkoani Singida na Tabora, Juni 2023. Soma zaidi
-
-
09
June
2023MABEHEWA SITA YA GHOROFA YA TRENI YA KISASA YAPOKELEWA
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Atupele Mwakibete apokea mabehewa sita (6) ya ghorofa yatakayotumika katika uendeshaji wa treni ya kisasa ya reli ya kiwango cha kimataifa - SGR, kwenye hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya bandari jijini Dar es Salaam Juni 9, 2023. Soma zaidi
-
09
June
2023TRC YALIPA FIDIA MKOANI DODOMA KUWEZESHA UJENZI WA VIVUKO SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea na zoezi la ulipaji fidia Dodoma Jiji, Bahi, Chamwino na Mpwapwa katika kipande cha pili cha ujenzi wa reli ya kisasa Morogoro - Makutupora, Juni 2023. Soma zaidi
-
04
June
2023MAENEO YAENDELEA KUTWALIWA MANYONI MKOANI SINGIDA
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa Soma zaidi
-
01
June
2023FAFANUA KUHUSU KUCHELEWA KUANZA UTOAJI HUDUMA KWA KUTUMIA TRENI YA UMEME (SGR) -MSEMAJI MKUU WA SERIKALI
Ufafanuzi kuhusu kuchelewa kuanza utoaji huduma kwa kutumia treni ya umeme ya SGR Soma zaidi