Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ULIPAJI FIDIA WAENDELEA - ZAIDI YA MILIONI 28 ZALIPWA WANANCHI WAFURAHISHWA NA UONGOZI WA RAIS JPM
    18
    May
    2020

    ULIPAJI FIDIA WAENDELEA - ZAIDI YA MILIONI 28 ZALIPWA WANANCHI WAFURAHISHWA NA UONGOZI WA RAIS JPM

    Shirika la Reli Tanzania - TRC laendelea kulipa fidia kwa wananchi ambao maeneo yao yamepitiwa na Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR mkoani Singida Mei 16, 2020. Soma zaidi

  • WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI  WA UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR
    14
    May
    2020

    WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR

    Waziri mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kasim Majaliwa ameridhishwa na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR alipotembelea awamu ya kwanza ya ujenzi kipande cha Dar es Salaam hadi Kilosa- Morogoro 14 Mei, 2020. Soma zaidi

  • WANANCHI ZAIDI YA ELFU MOJA NA MIA TATU WAMEPOKEA HUNDI KATIKA ZOEZI LA FIDIA IHUMWA - DODOMA
    09
    May
    2020

    WANANCHI ZAIDI YA ELFU MOJA NA MIA TATU WAMEPOKEA HUNDI KATIKA ZOEZI LA FIDIA IHUMWA - DODOMA

    Wananchi zaidi ya 1,300 wamepokea hundi katika zoezi la malipo ya fidia Ihumwa jijini Dodoma , ikiwa ni zoezi endelevu linalofanyika katika mtaa wa Ihumwa ili kuhakikisha wananchi wote waliopitiwa na mradi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha Morogoro - Makutupora Soma zaidi

  • WANANCHI DODOMA WAMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUPATA FIDIA KUPISHA UJENZI WA SGR
    08
    May
    2020

    WANANCHI DODOMA WAMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUPATA FIDIA KUPISHA UJENZI WA SGR

    Wananchi jijini Dodoma wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa kupata fidia Soma zaidi

  • ​TRENI YA KWANZA YA MIZIGO YAWASILI KATIKA BANDARI KAVU YA KWALA.
    04
    May
    2020

    ​TRENI YA KWANZA YA MIZIGO YAWASILI KATIKA BANDARI KAVU YA KWALA.

    Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Mhandisi Atashasta Nditiye amezindua rasmi bandari kavu ya Kwala ambapo Treni ya Kwanza iliyobeba Behewa za mizigo kutoka Bandari ya Dar es Salaam imewasili katika Bandari hiyo iliyopo Kibaha mkoani Pwani hivi karibuni Mei, 2020. Soma zaidi

  • SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA MKOANI DODOMA
    22
    April
    2020

    SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA MKOANI DODOMA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaeendelea na zoezi la ulipaji fidia jijini Dodoma kwa wananchi wote waliopitiwa na njia ya mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa kwa awamu ya pili Morogoro - Makutupora Soma zaidi