Habari Mpya
-
01
September
2020WANANCHI KATA YA NGETA, RUVU MINAZI MIKINDA WAISHUKURU TRC KWA ULIPAJI WA FIDIA
Wananchi wa kata ya Ngeta na Ruvu Minazi Mikinda waishukuru Shirika la Reli Tanzania - TRC kwa kulipwa fidia za makazi na ardhi mkoani Pwani Agosti 31, 2020. Soma zaidi
-
30
August
2020SERIKALI YAWAPA HAMASA WANAKIJIJI KINONKO KUFANYA MAENDELEO
Serikali imetoa hamasa kubwa kwa wananchi katika kijiji cha Kinonko katika kujikita kufanya maendeleo baada ya zoezi la ulipaji wa fidia linalofanywa na Shirika la Reli Tanzania ili kupisha ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha Dar es Salaam - Morogoro, Agosti 2020 hivi karibuni. Soma zaidi
-
25
August
2020TRENI YA KWANZA YA ABIRIA YAWASILI JIJINI ARUSHA BAADA YA ZAIDI YA MIAKA 30
Treni ya kwanza ya abiria ya majaribio yawasili jijini Arusha ikitokea Dar es Salaam na Moshi na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Idd Hassan kimanta, Soma zaidi
-
21
August
2020SHANGWE: WANAKIJIJI PANGAWE NA MIKESE MKOANI MOROGORO, WALIPWA FIDIA KUPISHA UJENZI WA RELI YA KISASA
Shirika la Reli Tanzania linaendelea na zoezi la ulipaji wa fidia kwa awamu katika maeneo ya Morogoro vijijini ili kupisha ujenzi wa Reli ya kisasa - SGR kipande cha Dar es Salaam - Morogoro, Agosti hivi karibuni 2020. Soma zaidi
-
21
August
2020SHIRIKA LA RELI TANZANIA LIMEENDELEA KUFANYA UELIMISHAJI KWA JAMII KUHUSU UHAMISHAJI MAKABURI
Shirika la Reli Tanzania – TRC limeendelea kufanya mazungumzo na viongozi wa Serikali kwa ngazi ya wilaya, Vijiji na Kata pamoja na wananchi walengwa. Soma zaidi
-
19
August
2020WANANCHI WA MITAA YA AZIMIO, KIHONDA KASKAZINI NA YESPA WASHUKURU SERIKALI YA AWAMU YA TANO KWA KULIPA FIDIA ZAO.
Wananchi wa Mitaa ya Azimio, Kihonda kaskazini na Yespa vya kata ya Kihonda Mkoni Morogoro Waanza kulipwa fidia zao Agosti 19,2020. Soma zaidi