Habari Mpya
-
30
July
2020TRC YASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO NA WADAU KATIKA KUBORESHA MAISHA YAJAMII ZINAYOISHI PEMBEZONI MWA RELI
Shirika la reli Tanzania – TRC limekutana na kutiliana saini mkataba wa makubaliano na wadau ili kuleta maendeleo katika jamii zinazoishi pembezoni mwa reli na wale ambao ardhi yao imetwaliwa na TRC kwa ajili ya kupisha mradi wa ujenzi wa SGR. Soma zaidi
-
28
July
2020WANANCHI IHUMWA WAISHUKURU SERIKALI NA TRC KWA KUWALIPA FIDIA ILI KUPISHA UJENZI WA SGR
Shirika la Reli Tanzania laendelea na zoezi la ulipaji wa fidia kupisha ujenzi wa reli ya kisasa SGR kipande cha Morogoro - Makutupora,katika kata ya Ihumwa mkoani Dodoma hivi karibuni. Soma zaidi
-
15
July
2020WAFANYABIASHARA, VIJANA PAMOJA NA VIONGOZI WA SERIKALI WA VIJIJI WAJIVUNIA MRADI WA UBORESHAJI WA RELI YA KATI
Shirika la Reli Tanzania limefanya kampeni ya ushirikishwaji wa jamii katika maendeleo ya mradi wa uboreshaji wa reli ya kati kuanzia Kilosa hadi Isaka, Julai 2020 hivi karibuni. Soma zaidi
-
09
July
2020WANAKIJIJI MKADAGE: TUTALINDA MIUNDOMBINU YA RELI
Shirika la Reli Tanzania TRC limendelea na kampeni ya ushirikishwaji wa jamii katika maendeleo ya mradi wa uboreshaji wa reli ya kati kuanzia Kilosa hadi Isaka , Julai 2020 hivi karibuni. Soma zaidi
-
29
June
2020[02:35, 6/30/2020] Sammy offc: RAIS MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA MAHANDAKI YA RELI YA KISASA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa Mahandaki manne ya reli ya kisasa – SGR Kilosa mkoani Morogoro, Juni 29, 2020. Soma zaidi
-
28
June
2020RAIS MAGUFULI ALIPONGEZA SHIRIKA LA RELI KWA USIMAMIZI MZURI WA MRADI WA SGR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amelipongeza Shirika la Reli Tanzania – TRC kwa usimamizi mzuri wa Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR baada ya kuridhishwa na kasi ya maendeleo ya mradi huo kipande cha Dar es Salaam – Morogoro, Juni 28, 2020. Soma zaidi