Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​MAENEO ZAIDI YA ISHIRINI NA NANE YANUFAIKA NA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI
    02
    March
    2021

    ​MAENEO ZAIDI YA ISHIRINI NA NANE YANUFAIKA NA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI

    Shirika la Reli Tanzania – TRC limewanufaisha wananchi wa maeneo zaidi ya ishirini na nane kwa kutoa elimu ya mafunzo ya ujasiriamali na kujikwamua kiuchumi kwa wananchi waliotwaliwa na ardhi na kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha kwanza Dar es Salaam – Morogoro, Februari 2021, hivi karibuni. Soma zaidi

  • ​WANANCHI WAHAMASIKA, WAJITOKEZA KUPATA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI
    25
    February
    2021

    ​WANANCHI WAHAMASIKA, WAJITOKEZA KUPATA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea kuwapa hamasa wananchi waliotwaliwa ardhi na kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha kwanza Dar es Salaam- Morogoro Soma zaidi

  • ​TRC YATOA MAFUNZO KWA WANANCHI JUU YA KUJIKWAMUA KIUCHUMI
    19
    February
    2021

    ​TRC YATOA MAFUNZO KWA WANANCHI JUU YA KUJIKWAMUA KIUCHUMI

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC limetoa mafunzo kwa wananchi ambao maeneo yao yametwaliwa na mradi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha kwanza Dar es Salaam - Morogoro Soma zaidi

  • SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC LIMEKABIDHI BEHEWA 40 KWA SHIRIKA LA MPANGO WA CHAKULA DUNIANI - WFP
    18
    February
    2021

    SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC LIMEKABIDHI BEHEWA 40 KWA SHIRIKA LA MPANGO WA CHAKULA DUNIANI - WFP

    TRC limekabidhi behewa 40 za mizigo kwa Shirika la mpango wa chakula duniani - WFP katika hafla fupi iliyofanyika katika kituo cha mizigo Ilala jijini Dar es Salaam Februari 17, 2021. Soma zaidi

  • ​SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAIBUKA KIDEDEA KWA KUPATA TUZO YA KURASA BORA YA SERIKALI MTANDAONI
    17
    February
    2021

    ​SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAIBUKA KIDEDEA KWA KUPATA TUZO YA KURASA BORA YA SERIKALI MTANDAONI

    ​Shirika la Reli Tanzania laibuka kidedea kwa kupata tuzo ya kurasa bora ya serikali mtandaoni iliyopokelewa kwenye hafla fupi iliyoandaliwa na uongozi waShirika la Reli Tanzania - TRC katika ukumbi wa Akemi Februari 16, 2021. Soma zaidi

  • SERIKALI YAZIDI KUTOA HAMASA YA KULETA MAENDELEO YA NCHI KWA WANANCHI MKOANI MOROGORO
    07
    February
    2021

    SERIKALI YAZIDI KUTOA HAMASA YA KULETA MAENDELEO YA NCHI KWA WANANCHI MKOANI MOROGORO

    Serikali inazidi kutoa hamasa ya kuleta maendeleo ya nchi kwa wananchi wa mkoa wa Morogoro baada ya kuendeleza zoezi la ulipaji wa fidia katika maeneo mbalimbali yaliyobaki Soma zaidi