Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​WAZIRI WA VIWANDA NA UWEKEZAJI SUDAN KUSINI ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR.
    13
    June
    2019

    ​WAZIRI WA VIWANDA NA UWEKEZAJI SUDAN KUSINI ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR.

    .Waziri wa Viwanda na Uwekezaji Sudan Kusini Ndugu Paul Mayomu atembelea Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa-SGR kipande cha Daresalaam - Morogoro, Ziara hiyo imefanyika hivi karibuniJune , 2019. Soma zaidi

  • MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA KUPANDISHA THAMANI YA ARDHI
    19
    May
    2019

    MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA KUPANDISHA THAMANI YA ARDHI

    4Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Wiliam Lukuvi afanya ziara katika Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa Soga Kibaha mkoani Pwani hivi karibuni Mwezi 2019. Soma zaidi

  • WAZIRI JAFO AONGOZA ZIARA YA VIONGOZI KUONA MRADI WA SGR.
    19
    May
    2019

    WAZIRI JAFO AONGOZA ZIARA YA VIONGOZI KUONA MRADI WA SGR.

    Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Seleman Jafo aongoza wakuu wa mikoa, makatibu tawala wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa halmashauri, Majiji na makatibu tawala wa wilaya katika ziara kuona maendeleo ya mradi wa SGR Soma zaidi

  • ZIJUE FAIDA ZA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA – SGR KIPINDI CHA UJENZI NA MARA BAADA YA UJENZI KUKAMILIKA
    14
    May
    2019

    ZIJUE FAIDA ZA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA – SGR KIPINDI CHA UJENZI NA MARA BAADA YA UJENZI KUKAMILIKA

    Shirika la reli Tanzania - TRC laendelea kutoa mafunzo maalum ya usimamizi na uendeshaji wa mifumo ya reli ya kisasa - SGR kwa wafanyakazi Mei 13, 2019. Soma zaidi

  • BODI YA WAKURUGENZI TCRA WAFURAHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA SGR
    18
    April
    2019

    BODI YA WAKURUGENZI TCRA WAFURAHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA SGR

    Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania – TCRA yafanya ziara katika mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam- Morogoro hivi karibuni Aprili 2019. Soma zaidi

  • NAIBU WAZIRI MHE. ATASHASTA NDITIYE AFUNGUA BARAZA JIPYA LA WAFANYAKAZI LA SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC
    17
    April
    2019

    NAIBU WAZIRI MHE. ATASHASTA NDITIYE AFUNGUA BARAZA JIPYA LA WAFANYAKAZI LA SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC

    Naibu waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mhe, Mhandisi Atashasta Nditiye afungua rasmi Baraza jipya la wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania - TRC katika ukumbi wa Bandari jijini Dar es Salaam hivi karibuni Aprili 2019. Soma zaidi