Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • TRC YASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO NA WADAU KATIKA KUBORESHA MAISHA YAJAMII ZINAYOISHI PEMBEZONI MWA RELI
    30
    July
    2020

    TRC YASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO NA WADAU KATIKA KUBORESHA MAISHA YAJAMII ZINAYOISHI PEMBEZONI MWA RELI

    Shirika la reli Tanzania – TRC limekutana na kutiliana saini mkataba wa makubaliano na wadau ili kuleta maendeleo katika jamii zinazoishi pembezoni mwa reli na wale ambao ardhi yao imetwaliwa na TRC kwa ajili ya kupisha mradi wa ujenzi wa SGR. Soma zaidi

  • WANANCHI IHUMWA WAISHUKURU SERIKALI NA TRC KWA KUWALIPA FIDIA ILI KUPISHA UJENZI WA SGR
    28
    July
    2020

    WANANCHI IHUMWA WAISHUKURU SERIKALI NA TRC KWA KUWALIPA FIDIA ILI KUPISHA UJENZI WA SGR

    ​Shirika la Reli Tanzania laendelea na zoezi la ulipaji wa fidia kupisha ujenzi wa reli ya kisasa SGR kipande cha Morogoro - Makutupora,katika kata ya Ihumwa mkoani Dodoma hivi karibuni. Soma zaidi

  • WAFANYABIASHARA, VIJANA PAMOJA NA VIONGOZI WA SERIKALI WA VIJIJI WAJIVUNIA MRADI WA UBORESHAJI WA RELI YA KATI
    15
    July
    2020

    WAFANYABIASHARA, VIJANA PAMOJA NA VIONGOZI WA SERIKALI WA VIJIJI WAJIVUNIA MRADI WA UBORESHAJI WA RELI YA KATI

    Shirika la Reli Tanzania limefanya kampeni ya ushirikishwaji wa jamii katika maendeleo ya mradi wa uboreshaji wa reli ya kati kuanzia Kilosa hadi Isaka, Julai 2020 hivi karibuni. Soma zaidi

  • ​WANAKIJIJI MKADAGE: TUTALINDA MIUNDOMBINU YA RELI
    09
    July
    2020

    ​WANAKIJIJI MKADAGE: TUTALINDA MIUNDOMBINU YA RELI

    Shirika la Reli Tanzania TRC limendelea na kampeni ya ushirikishwaji wa jamii katika maendeleo ya mradi wa uboreshaji wa reli ya kati kuanzia Kilosa hadi Isaka , Julai 2020 hivi karibuni. Soma zaidi

  • [02:35, 6/30/2020] Sammy offc: RAIS MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA MAHANDAKI YA RELI YA KISASA
    29
    June
    2020

    [02:35, 6/30/2020] Sammy offc: RAIS MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA MAHANDAKI YA RELI YA KISASA

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa Mahandaki manne ya reli ya kisasa – SGR Kilosa mkoani Morogoro, Juni 29, 2020. Soma zaidi

  • ​RAIS MAGUFULI ALIPONGEZA SHIRIKA LA RELI KWA USIMAMIZI MZURI WA MRADI WA SGR
    28
    June
    2020

    ​RAIS MAGUFULI ALIPONGEZA SHIRIKA LA RELI KWA USIMAMIZI MZURI WA MRADI WA SGR

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amelipongeza Shirika la Reli Tanzania – TRC kwa usimamizi mzuri wa ­Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR baada ya kuridhishwa na kasi ya maendeleo ya mradi huo kipande cha Dar es Salaam – Morogoro, Juni 28, 2020. Soma zaidi