Habari Mpya
-
30
January
2021TRC NA TPSF WAFANYA KONGAMANO LA KWANZA LA WADAU KUJADILI FURSA KATIKA MRADI WA SGR
Shirika la Reli Tanzania – TRC kwa kushrikiana na Taasisi ya Sekta Binafsi Nchini – TPSF wamefanya kongamano la kwanza la wadau wa sekta binafsi kujadili fursa katika mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Mwanza – Isaka katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania jijini Mwanza Januari 30, 2021. Soma zaidi
-
14
December
2020SHIRIKA LA RELI TANZANIA KUTOA FURSA KWA WATEJA WA AIRTEL KUNUNUA TIKETI MTANDAONI
Shirika la Ŕeli Tanzania - TRC limetoa fursa kwa wateja wa kampuni ya mtandao wa simu AIRTEL kwa kuwarahisishia huduma za ukataji tiketi kwa njia ya mtandao katika kipindi cha msimu wa sikukuu za Christmas na Mwaka mpya kwa wateja Soma zaidi
-
13
December
2020WAKUU WA MIKOA, KAGERA NA MTWARA WATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA
Mkuu wa mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti wakiambatana na baadhi ya vijana kutoka mikoa hiyo wametembelea jengo la Stesheni ya Reli ya Kisasa lililopo jijini Dar es Salaam, Disemba 13, 2020. Soma zaidi
-
05
December
2020SHIRIKA LA RELI TANZANIA -TRC LACHANGIA UKARABATI WA BARABARA MOROGORO VIJIJINI
Shirika la Reli Tanzania – TRC limetoa mchango wa ukarabati wa barabara Morogoro Vijijini katika tarafa ya Ngerengere hivi karibuni Disemba, 2020 ikiwa ni sehemu ya kuleta maendeleo katika jamii zilizopo jirani na mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR. Soma zaidi
-
03
December
2020MKURUGENZI MKUU TRC AMESHIRIKI MKUTANO WA WAHASIBU NA WAKAGUZI WA HESABU TANZANIA
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la reli Tanzania - TRC Ndugu Masanja Kungu Kadogosa ameshiriki katika mkutano mkuu wa Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu za Serikali na kuwasilisha taarifa ya maendeleo ya mradi wa ujenzi wa reli kisasa - SGR Soma zaidi
-
02
December
2020WAFANYAKAZI WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO WATEMBELEA SGR
Wafanyakazi kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wametembelea kuona maendeleo ya ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kutoka Dodoma mpaka Morogoro, hivi karibuni Novemba, 2020. Soma zaidi