Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO MHANDISI ISACK KAMWELWE AFUNGUA RASMI KAZI YA UUNGAJI RELI YA KISASA - SGR.
    15
    April
    2019

    WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO MHANDISI ISACK KAMWELWE AFUNGUA RASMI KAZI YA UUNGAJI RELI YA KISASA - SGR.

    Waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe afungua rasmi kazi ya kuunganisha Reli ya kisasa - SGR nje kidogo ya kambi ya SGR ya Soga Kibaha hivi karibuni 2019. Soma zaidi

  • TRC KUENDELEA KUTOA ELIMU YA USALAMA KATIKA UENDESHAJI WA SHUGULI ZA RELI KWA WAFANYAKAZI WA RELI.
    06
    April
    2019

    TRC KUENDELEA KUTOA ELIMU YA USALAMA KATIKA UENDESHAJI WA SHUGULI ZA RELI KWA WAFANYAKAZI WA RELI.

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania TRC afungua mkutano wa mafunzo ya usalama katika uendeshaji wa shughuli za reli Kwa wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania Soma zaidi

  • BODI YA WAKURUGENZI NEMC YARIDHISHWA NA HATUA ZA UHIFADHI WA MAZINGIRA KATIK MRADI WA SGR
    06
    April
    2019

    BODI YA WAKURUGENZI NEMC YARIDHISHWA NA HATUA ZA UHIFADHI WA MAZINGIRA KATIK MRADI WA SGR

    Bodi ya Wakurugenzi ya Baraza la Usimamizi wa Mazingira – NEMC yafanya ziara katika Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa Dar es Salaam – Singida Makutupora Soma zaidi

  • WAWAKILISHI WA WAJUMBE WA KAMATI YA MADENI YA KITAIFA WAFANYA ZIARA KATIKA MRADI WA SGR
    01
    April
    2019

    WAWAKILISHI WA WAJUMBE WA KAMATI YA MADENI YA KITAIFA WAFANYA ZIARA KATIKA MRADI WA SGR

    Wawakilishi wa Wajumbe wa Kamati ya Kitaifa ya Madeni watembelea kambi za Mradi wa Ujenzi wa Reli ya KIsasa – SGR za Ilala na Soga kipande cha Dar - Moro kwa lengo la kuona maendeleo ya Mradi Aprili 1, 2019. Soma zaidi

  • ​SEKRETARIETI YA BARAZA LA USALAMA LA TAIFA YAIPONGEZA TRC KWA KASI YA UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR
    29
    March
    2019

    ​SEKRETARIETI YA BARAZA LA USALAMA LA TAIFA YAIPONGEZA TRC KWA KASI YA UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR

    Sekretarieti ya Baraza la Usalama la Taifa yafanya ziara kukagua maendeleo ya mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR Dar es Salaam - Makutupora Machi 2019. Soma zaidi

  • WAZIRI MKUU MSTAAFU KENYA RAILA ODINGA AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA UAMUZI WA UJENZI WA RELI YA KISASA – SGR.
    21
    March
    2019

    WAZIRI MKUU MSTAAFU KENYA RAILA ODINGA AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA UAMUZI WA UJENZI WA RELI YA KISASA – SGR.

    Waziri mkuu mstaafu wa Kenya Mhe. Raila Odinga atembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro. Soma zaidi