Habari Mpya
-
24
October
2019KIPANDE CHA PILI MOROGORO-MAKUTOPORA UJENZI WA SGR WAZIDI KUNOGA.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Elias John Kwandikwa amezindua utandikaji wa Reli ya kisasa kipande cha Pili Morogoro - Makutopora hivi karibuni Oktoba 2019. Soma zaidi
-
19
October
2019SHIRIKA LA RELI TANZANIA NA CLOUDS MEDIA GROUP WAADHIMISHA MIAKA 20 YA MWL. NYERERE
Shirika la Reli Tanzania – TRC pamoja na ‘Clouds Media Group’ (CMG) waadhimisha miaka 20 ya kifo cha Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere kwa kufanya safari ya kihistoria kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma Soma zaidi
-
15
October
2019TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA ILI KUPISHA UJENZI WA RELI YA KISASA MOROGORO – MATUKUPORA
Shirika la Reli Tanzania – TRC laendelea na zoezi la ulipaji wa fidia kwa wananchi wa mkoa wa Morogoro kwa lengo la kupisha ujenzi wa reli ya kisasa – SGR awamu ya Pili Morogoro – Matukupora, Soma zaidi
-
10
October
2019TRC YAHAMASISHA WANANCHI MKOANI DODOMA KUSHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA SHUGHULI ZA MRADI WA SGR
Wakati zoezi la fidia ya Majengo, Mashamba na Viwanja likiendelea ili kupisha Ujenzi wa Reli ya kisasa - SGR Morogoro - Makutupora, Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea kuhamasisha wananchi kushiriki zoezi la Kuhamisha Makaburi linaloendelea mkoani Dodoma hivi karibuni Oktoba 2019. Soma zaidi
-
06
October
2019TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA ILI KUPISHA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA MOROGORO - MAKUTUPORA
Shirika la Reli Tanzania - TRC laendelea na zoezi la ulipaji wa fidia na kifuta machozi ili kupisha ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kwa awamu ya pili Morogoro - Makutupora hivi karibuni Oktoba 2019. Soma zaidi
-
02
October
2019UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR WATOA KIPAUMBELE CHA MAFUNZO KWA WAHANDISI WA KIKE 20
Shirika la Reli Tanzania nchini - TRC latoa nafasi 20 za mafunzo kwa vitendo kwa muda wa miezi miwili katika Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR kwa wahandisi wanawake Soma zaidi