Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAZINDUA MFUMO WA UKATAJI TIKETI KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI
    04
    April
    2020

    ​SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAZINDUA MFUMO WA UKATAJI TIKETI KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

    Shirika la Reli Tanzania – TRC lazindua rasmi mfumo mpya wa ukataji tiketi kwa njia ya kielekroniki katika hafla fupi iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo ofisi ya Makao Makuu ya Shirika jijini Dar es Salaam Aprili 4, 2020. Soma zaidi

  • ​WATUMISHI WA TRC WALIOFARIKI KATIKA AJALI MKOANI TANGA WAAGWA RASMI
    24
    March
    2020

    ​WATUMISHI WA TRC WALIOFARIKI KATIKA AJALI MKOANI TANGA WAAGWA RASMI

    Miili ya wafanyakazi watano wa Shirika la Reli Tanzania – TRC waliofariki kutokana na ajali ya treni ya uokoaji kugongana na Kiberenge katika eneo lililopo kati ya stesheni ya Mwakinyumbi na Gendagenda mkoani Tanga imeagwa rasmi katika hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam leo Machi 24. 2020 Soma zaidi

  • ​SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAENDELEA NA MAFUNZO KUHUSU NAMNA YA KUZUIA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA
    19
    March
    2020

    ​SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAENDELEA NA MAFUNZO KUHUSU NAMNA YA KUZUIA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC laendelea na mafunzo kuhusu namna ya kuzuia maambukizi ya virusi vya Corona Soma zaidi

  • ​SHIRIKA LA RELI TANZANIA LASITISHA HAFLA YA KUKABIDHI BEHEWA 40 ZA MIZIGO KUTOKANA NA UGONJWA WA CORONA
    17
    March
    2020

    ​SHIRIKA LA RELI TANZANIA LASITISHA HAFLA YA KUKABIDHI BEHEWA 40 ZA MIZIGO KUTOKANA NA UGONJWA WA CORONA

    Shirika la Reli Tanzania – TRC lasitisha hafla ya kukabidhi Behewa 40 za Mizigo kufuatia agizo la Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Soma zaidi

  • ​*WAFANYAKAZI WA SHIRIKA LA RELI WAPATA MAFUNZO JUU YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA CORONA.
    12
    March
    2020

    ​*WAFANYAKAZI WA SHIRIKA LA RELI WAPATA MAFUNZO JUU YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA CORONA.

    Wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania wapata mafunzo juu ya kujikinga na ugonjwa hatari la korona katika semina elekezi ya ugonjwa huo wa Virusi vya Corona ambao kwa sasa umekua tishio duniani kote iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano TRC hivi karibuni machi, 2020. Soma zaidi

  • BENKI YA DUNIA YARIDHISHWA NA KASI YA UKARABATI WA RELI YA KATI DAR – ISAKA
    09
    March
    2020

    BENKI YA DUNIA YARIDHISHWA NA KASI YA UKARABATI WA RELI YA KATI DAR – ISAKA

    Wafadhili wa ukarabati wa reli ya kati Benki ya Dunia wameridhishwa na ukarabati wa reli ya kati – TIRP katika ziara waliyoifanya kuanzia Dar es Salaam hadi Tabora - Isaka, hivi karibuni Machi, 2020. Soma zaidi