Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​RAIS MAGUFULI ALIPONGEZA SHIRIKA LA RELI KWA USIMAMIZI MZURI WA MRADI WA SGR
    28
    June
    2020

    ​RAIS MAGUFULI ALIPONGEZA SHIRIKA LA RELI KWA USIMAMIZI MZURI WA MRADI WA SGR

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amelipongeza Shirika la Reli Tanzania – TRC kwa usimamizi mzuri wa ­Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR baada ya kuridhishwa na kasi ya maendeleo ya mradi huo kipande cha Dar es Salaam – Morogoro, Juni 28, 2020. Soma zaidi

  • ​WANANCHI WA KATA YA IHUMWA WAENDELEA KULIPWA FIDIA ILI KUPISHA UJENZI WA RELI YA KISASA
    16
    June
    2020

    ​WANANCHI WA KATA YA IHUMWA WAENDELEA KULIPWA FIDIA ILI KUPISHA UJENZI WA RELI YA KISASA

    Shirika la reli Tanzania -TRC laendelea na ulipaji wa fidia kwa wananchi 164 wa Kata ya Ihumwa jijini Dodoma hivi karibuni Soma zaidi

  • ​WANANCHI MKOANI TABORA WAPONGEZA JITIHADA ZA UBORESHAJI WA RELI YA KATI
    16
    June
    2020

    ​WANANCHI MKOANI TABORA WAPONGEZA JITIHADA ZA UBORESHAJI WA RELI YA KATI

    Wananchi mkoani Tabora wamepongeza jitihada za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Shirika la Reli Tanzania - TRC kwa kuboresha miundombinu ya reli mkoani Tabora kupitia mradi wa uboreshaji wa reli ya kati - TIRP, hivi karibuni Juni 2020. Soma zaidi

  • ​WAZAWA ZAIDI YA 1000 WANUFAISHWA NA MRADI WA UBORESHAJI WA RELI YA KATI
    12
    June
    2020

    ​WAZAWA ZAIDI YA 1000 WANUFAISHWA NA MRADI WA UBORESHAJI WA RELI YA KATI

    Mradi wa uboreshaji wa Reli ya Kati wawanufaisha vijana zaidi ya 1000 wanaofanya kazi katika mradi huo unaohusisha ukarabati wa reli kuanzia Dar es Salaa – Isaka. Soma zaidi

  • MRADI WA UBORESHAJI WA RELI YA KATI – TIRP DAR ES SALAAM - ISAKA WAFIKA 85%
    09
    June
    2020

    MRADI WA UBORESHAJI WA RELI YA KATI – TIRP DAR ES SALAAM - ISAKA WAFIKA 85%

    Mradi wa Uboreshaji wa Reli ya Kati – TIRP unaogharimu Dola za Kimarekani Milioni 300 upo mbioni kukamilika baada ya mradi huo kufika 85% baada ya kazi kubwa iliyofanyika kati ya Dar es Salaam – Isaka umbali wa Kilometa 970 tangu ulipoanza rasmi utekelezaji wake mwezi Juni 2018. Soma zaidi

  • KADOGOSA: TUTAREJESHA SAFARI ZA TRENI KATI YA TANGA, KILIMANJARO NA ARUSHA NDANI YA MUDA MFUPI
    31
    May
    2020

    KADOGOSA: TUTAREJESHA SAFARI ZA TRENI KATI YA TANGA, KILIMANJARO NA ARUSHA NDANI YA MUDA MFUPI

    Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Reli Tanzania - TRC Ndg. Masanja Kungu Kadogosa ametembelea kipande cha reli kati ya stesheni za Buiko na Hedaru mkoani Kilimanjaro Soma zaidi