Habari Mpya
-
30
August
2019UCHORONGAJI MILIMA KWA AJILI YA UJENZI WA MAHANDAKI YATAKAZOPITISHA RELI YA KISASA YAENDELEA KWA KASI
Shirika la Reli Tanzania - TRC laendelea na usimamizi wa Mradi mkubwa wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR Kilosa mkoani Morogoro, ambapo kazi kubwa katika eneo hilo ni uchorongaji Milima kwa ajili ya ujenzi wa mahandaki ‘tunnels Soma zaidi
-
24
August
2019SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC LAENDELEA NA ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI KIPANDE CHA MOROGORO - MAKUTUPORA
-
23
August
2019MKURUGENZI MTENDAJI BENKI YA DUNIA AFRIKA AIPONGEZA TANZANIA KWA KUJENGA RELI YA KISASA KWA FEDHA ZAKE ZA NDANI
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika Bi. Anne Kabagambe amefanya ziara fupi kuona Mradi mkubwa wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro Agosti 22, 2019. Soma zaidi
-
22
August
2019MSEMAJI MKUU WA SERIKALI Dk. HASSAN ABBASI AIPONGEZA TRC KWA KUTANGAZA VYEMA MIRADI NA HUDUMA ZITOLEWAZO NA TRC.
Msemaji Mkuu wa Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Dkt. Hassan Abbasi ametembelea ofisi ya makao makuu Shirika la Reli Tanzania - TRC kwa lengo la kutoa elimu kuhusu muongozo na Mkakati wa Mawasiliano ya Shirika Soma zaidi
-
15
August
2019MABALOZI WA TANZANIA KUTOKA NCHI 42 DUNIANI WAFURAHISHWA NA KASI YA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA – SGR
Shirika la reli Tanzania - TRC lapokea Ugeni wa mabalozi wa Tanzania takribani 42 kutoka nchi mbalimbali Duniani wametembelea Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro Agosti 15, 2019. Soma zaidi
-
15
August
2019TRC KUCHOCHEA UKUAJI UCHUMI WA NCHI ZA JUMUIYA YA MAENDELEO YA KUSINI MWA AFRIKA - SADC
Shirika la Reli Tanzania – TRC limeonekana kuwa chachu ya kukuza uchumi kwa kuendeleza sekta ya miundombinu ya reli nchini katika maadhimisho ya maoneshoya 4 ya wiki ya viwanda ya jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa Afrika - SADC Soma zaidi