Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • WANANCHI MKOANI MOROGORO WASISITIZWA KUTUMIA FEDHA ZA FIDIA KWA KIUSAHIHI
    04
    September
    2020

    WANANCHI MKOANI MOROGORO WASISITIZWA KUTUMIA FEDHA ZA FIDIA KWA KIUSAHIHI

    Wananchi wa Kata za Pangawe, Yespa, Mtego wa Simba, Kihonda Kaskazini, Lukobe na Kingolwira mkoani Morogoro walipwa fidia zao ili kupisha Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR mkoani humo, hivi karibuni Septemba,2020 Soma zaidi

  • ​WANANCHI KATA YA NGETA, RUVU MINAZI MIKINDA WAISHUKURU TRC KWA ULIPAJI WA FIDIA
    01
    September
    2020

    ​WANANCHI KATA YA NGETA, RUVU MINAZI MIKINDA WAISHUKURU TRC KWA ULIPAJI WA FIDIA

    Wananchi wa kata ya Ngeta na Ruvu Minazi Mikinda waishukuru Shirika la Reli Tanzania - TRC kwa kulipwa fidia za makazi na ardhi mkoani Pwani Agosti 31, 2020. Soma zaidi

  • SERIKALI YAWAPA HAMASA WANAKIJIJI KINONKO KUFANYA MAENDELEO
    30
    August
    2020

    SERIKALI YAWAPA HAMASA WANAKIJIJI KINONKO KUFANYA MAENDELEO

    Serikali imetoa hamasa kubwa kwa wananchi katika kijiji cha Kinonko katika kujikita kufanya maendeleo baada ya zoezi la ulipaji wa fidia linalofanywa na Shirika la Reli Tanzania ili kupisha ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha Dar es Salaam - Morogoro, Agosti 2020 hivi karibuni. Soma zaidi

  • TRENI YA KWANZA YA ABIRIA YAWASILI JIJINI ARUSHA BAADA YA ZAIDI YA MIAKA 30
    25
    August
    2020

    TRENI YA KWANZA YA ABIRIA YAWASILI JIJINI ARUSHA BAADA YA ZAIDI YA MIAKA 30

    Treni ya kwanza ya abiria ya majaribio yawasili jijini Arusha ikitokea Dar es Salaam na Moshi na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Idd Hassan kimanta, Soma zaidi

  • SHANGWE: WANAKIJIJI PANGAWE NA MIKESE MKOANI MOROGORO, WALIPWA FIDIA KUPISHA UJENZI WA RELI YA KISASA
    21
    August
    2020

    SHANGWE: WANAKIJIJI PANGAWE NA MIKESE MKOANI MOROGORO, WALIPWA FIDIA KUPISHA UJENZI WA RELI YA KISASA

    Shirika la Reli Tanzania linaendelea na zoezi la ulipaji wa fidia kwa awamu katika maeneo ya Morogoro vijijini ili kupisha ujenzi wa Reli ya kisasa - SGR kipande cha Dar es Salaam - Morogoro, Agosti hivi karibuni 2020. Soma zaidi

  • SHIRIKA LA RELI TANZANIA LIMEENDELEA KUFANYA UELIMISHAJI KWA JAMII KUHUSU UHAMISHAJI MAKABURI
    21
    August
    2020

    SHIRIKA LA RELI TANZANIA LIMEENDELEA KUFANYA UELIMISHAJI KWA JAMII KUHUSU UHAMISHAJI MAKABURI

    Shirika la Reli Tanzania – TRC limeendelea kufanya mazungumzo na viongozi wa Serikali kwa ngazi ya wilaya, Vijiji na Kata pamoja na wananchi walengwa. Soma zaidi