Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA FIDIA MKOANI MWANZA NA SHINYANGA KUPISHA UJENZI WA KAMBI ZA SGR
    18
    May
    2021

    TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA FIDIA MKOANI MWANZA NA SHINYANGA KUPISHA UJENZI WA KAMBI ZA SGR

    Shirika la Reli Tanzania – TRC laendelea na zoezi la ulipaji fidia ili kupisha ujenzi wa kambi za Mradi wa reli ya Kisasa – SGR katika maeneo ya Fela, Bukwimba, Malampaka mkoani Mwanza na Didia mkoani Shinyanga Mei 17, 2021. Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA NA UTATUAJI WA CHANGAMOTO KWA JAMII INAYOISHI KARIBU NA ENEO LA MRADI WA SGR
    10
    May
    2021

    ​TRC YAENDELEA NA UTATUAJI WA CHANGAMOTO KWA JAMII INAYOISHI KARIBU NA ENEO LA MRADI WA SGR

    Shirika la Reli Tanzania – TRC kupitia Wataalam wake kutoka vitengo mbalimbali kwa kushirikiana na Serikali ya Mkoa mpaka ngazi ya Vijiji wameendesha zoezi la kufanya tathimini za athari na changamoto zilizojitokeza kwa wananchi walio katika maeneo ambayo ujenzi wa reli ya kisasa –SGR unaendelea, Soma zaidi

  • WAFANYAKAZI TRC WAADHIMISHA SIKU YA WAFANYAKAZI MEI MOSI
    02
    May
    2021

    WAFANYAKAZI TRC WAADHIMISHA SIKU YA WAFANYAKAZI MEI MOSI

    Wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania – TRC washiriki Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi iliyoadhimishwa kitaifa katika viwanja vya CCM Kirumba jijini Mwanza Mei 01, 2021. Soma zaidi

  • TEKNOLOJIA KATIKA MRADI WA SGR ZAWAVUTIA WAJUMBE WA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA WADAU WA USAFIRISHAJI
    30
    April
    2021

    TEKNOLOJIA KATIKA MRADI WA SGR ZAWAVUTIA WAJUMBE WA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA WADAU WA USAFIRISHAJI

    Wajumbe wa kongamano la kimataifa la wadau wa miundombinu ya usafirishaji kutoka nchi mbalimbali duniani Soma zaidi

  • WAZIRI MKUU ATOA HEKO KWA TRC: AJIONEA KAZI NZURI ILIYOFANYIKA MRADI WA SGR
    22
    April
    2021

    WAZIRI MKUU ATOA HEKO KWA TRC: AJIONEA KAZI NZURI ILIYOFANYIKA MRADI WA SGR

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ametembelea mradi wa ujenzi Reli ya Kisasa (SGR) kukagua jengo la Stesheni na ujenzi wa Daraja linalounganisha Stesheni hiyo Soma zaidi

  • NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA SGR
    10
    April
    2021

    NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA SGR

    Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. Mwita Waitara aridhishwa na maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR Morogoro – Makutupora ambao ujenzi wake umefikia 57.5%, Aprili 10, 2021. Soma zaidi