Habari Mpya
-
18
May
2021TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA FIDIA MKOANI MWANZA NA SHINYANGA KUPISHA UJENZI WA KAMBI ZA SGR
Shirika la Reli Tanzania – TRC laendelea na zoezi la ulipaji fidia ili kupisha ujenzi wa kambi za Mradi wa reli ya Kisasa – SGR katika maeneo ya Fela, Bukwimba, Malampaka mkoani Mwanza na Didia mkoani Shinyanga Mei 17, 2021. Soma zaidi
-
10
May
2021TRC YAENDELEA NA UTATUAJI WA CHANGAMOTO KWA JAMII INAYOISHI KARIBU NA ENEO LA MRADI WA SGR
Shirika la Reli Tanzania – TRC kupitia Wataalam wake kutoka vitengo mbalimbali kwa kushirikiana na Serikali ya Mkoa mpaka ngazi ya Vijiji wameendesha zoezi la kufanya tathimini za athari na changamoto zilizojitokeza kwa wananchi walio katika maeneo ambayo ujenzi wa reli ya kisasa –SGR unaendelea, Soma zaidi
-
02
May
2021WAFANYAKAZI TRC WAADHIMISHA SIKU YA WAFANYAKAZI MEI MOSI
Wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania – TRC washiriki Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi iliyoadhimishwa kitaifa katika viwanja vya CCM Kirumba jijini Mwanza Mei 01, 2021. Soma zaidi
-
30
April
2021TEKNOLOJIA KATIKA MRADI WA SGR ZAWAVUTIA WAJUMBE WA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA WADAU WA USAFIRISHAJI
Wajumbe wa kongamano la kimataifa la wadau wa miundombinu ya usafirishaji kutoka nchi mbalimbali duniani Soma zaidi
-
22
April
2021WAZIRI MKUU ATOA HEKO KWA TRC: AJIONEA KAZI NZURI ILIYOFANYIKA MRADI WA SGR
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ametembelea mradi wa ujenzi Reli ya Kisasa (SGR) kukagua jengo la Stesheni na ujenzi wa Daraja linalounganisha Stesheni hiyo Soma zaidi
-
10
April
2021NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA SGR
Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. Mwita Waitara aridhishwa na maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR Morogoro – Makutupora ambao ujenzi wake umefikia 57.5%, Aprili 10, 2021. Soma zaidi