Habari Mpya
-
02
May
2021WAFANYAKAZI TRC WAADHIMISHA SIKU YA WAFANYAKAZI MEI MOSI
Wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania – TRC washiriki Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi iliyoadhimishwa kitaifa katika viwanja vya CCM Kirumba jijini Mwanza Mei 01, 2021. Soma zaidi
-
30
April
2021TEKNOLOJIA KATIKA MRADI WA SGR ZAWAVUTIA WAJUMBE WA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA WADAU WA USAFIRISHAJI
Wajumbe wa kongamano la kimataifa la wadau wa miundombinu ya usafirishaji kutoka nchi mbalimbali duniani Soma zaidi
-
22
April
2021WAZIRI MKUU ATOA HEKO KWA TRC: AJIONEA KAZI NZURI ILIYOFANYIKA MRADI WA SGR
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ametembelea mradi wa ujenzi Reli ya Kisasa (SGR) kukagua jengo la Stesheni na ujenzi wa Daraja linalounganisha Stesheni hiyo Soma zaidi
-
10
April
2021NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA SGR
Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. Mwita Waitara aridhishwa na maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR Morogoro – Makutupora ambao ujenzi wake umefikia 57.5%, Aprili 10, 2021. Soma zaidi
-
09
April
2021WANAJESHI KUTOKA NCHI ZA AFRIKA WATEMBELEA MRADI WA SGR
Wanajeshi kutoka nchi mbalimbali za Afrika walio katika mafunzo ya kubadilisha ujuzi watembelea mradi wa Ujenzi wa Reli ya kisasa (SGR) tarehe 9/04/2021. Soma zaidi
-
09
April
2021WASHINDI WA UANDISHI WA INSHA WATEMBELEA MRADI WA SGR DAR ES SALAAM – MOROGORO
Washindi wa Shindano la uandishi wa Insha za Masoko lililoandaliwa na Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) watembelea Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR kuanzia Dar es Salaam hadi Morogoro Aprili 09, 2021. Soma zaidi