Habari Mpya
-
11
July
2021WANANCHI MWANZA WAIPOKEA KAMPENI YA UELEWA KUHUSU MRADI WA UJENZI WA SGR MWANZA - ISAKA
Shirika la Reli Tanzania – TRC linaendelea na kampeni maalum ya utoaji wa elimu juu ya ujenzi wa Reli ya kisasa SGR, Soma zaidi
-
07
July
2021MARAIS WASTAAFU WAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA RELI YA KISASA
Marais Watsaafu pamoja na Mawaziri Wakuu Wastaafu wafanya ziara ya siku moja kukagua Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kuanzia Kilosa mkoani Morogoro hadi jijini Dar es Salaam, Julai 06, 2021. Soma zaidi
-
01
July
2021KAMPENI YA UELEWA KWA JAMII KUHUSU MRADI WA UJENZI WA SGR, MWANZA – ISAKA YAPIGA HODI KWIMBA MKOANI MWANZA
Shirika la Reli Tanzania – TRC linaendelea na kampeni maalum ya kutoa elimu ya uelewa kuhusu Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa SGR, kipande cha tano, Mwanza – Isaka (Km 341), kwa jamii zinazoishi maeneo ya kanda ya ziwa. Soma zaidi
-
28
June
2021TRC YASHIRIKI KONGAMANO LA SIKU 100 ZA MHE. RAIS SAMIA
Shirika la Reli Tanzania – TRC laadhimisha siku 100 za Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Soma zaidi
-
26
June
2021VIONGOZI MBALIMBALI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WASIFU MRADI WA SGR
Viongozi mbalimbali kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki waisifu nchi ya Tanzania pamoja na Shirika la Reli Tanzania - TRC kwa utekelezaji wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR walipotembelea mradi kuanzia stesheni ya Dar es Salaam hadi Pugu, Juni 25, 2021. Soma zaidi
-
22
May
2021TRC INAENDELEA NA MALIPO YA KIFUTA MACHOZI KATIKA WILAYA YA KILOSA MKOANI MOROGORO
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la ulipaji wa kifuta machozi kwa wananchi ambao makaburi ya ndugu zao yalihamishwa kwa lengo la kupisha ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR Soma zaidi