Habari Mpya
-
13
December
2020WAKUU WA MIKOA, KAGERA NA MTWARA WATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA
Mkuu wa mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti wakiambatana na baadhi ya vijana kutoka mikoa hiyo wametembelea jengo la Stesheni ya Reli ya Kisasa lililopo jijini Dar es Salaam, Disemba 13, 2020. Soma zaidi
-
05
December
2020SHIRIKA LA RELI TANZANIA -TRC LACHANGIA UKARABATI WA BARABARA MOROGORO VIJIJINI
Shirika la Reli Tanzania – TRC limetoa mchango wa ukarabati wa barabara Morogoro Vijijini katika tarafa ya Ngerengere hivi karibuni Disemba, 2020 ikiwa ni sehemu ya kuleta maendeleo katika jamii zilizopo jirani na mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR. Soma zaidi
-
03
December
2020MKURUGENZI MKUU TRC AMESHIRIKI MKUTANO WA WAHASIBU NA WAKAGUZI WA HESABU TANZANIA
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la reli Tanzania - TRC Ndugu Masanja Kungu Kadogosa ameshiriki katika mkutano mkuu wa Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu za Serikali na kuwasilisha taarifa ya maendeleo ya mradi wa ujenzi wa reli kisasa - SGR Soma zaidi
-
02
December
2020WAFANYAKAZI WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO WATEMBELEA SGR
Wafanyakazi kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wametembelea kuona maendeleo ya ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kutoka Dodoma mpaka Morogoro, hivi karibuni Novemba, 2020. Soma zaidi
-
19
November
2020WAZIRI MKUU; TRENI ZA RELI YA KISASA KUANZA KUTOA HUDUMA MAPEMA 2021
Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amesema kuwa serikali inatarajia kukamilisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro na kuanza kutoa huduma mapema mwaka 2021 Soma zaidi
-
16
November
2020SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC LAENDELEA NA ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI.
Shirika la Reli Tanzania - TRC laendelea na zoezi la kuhamisha makaburi katika Wilaya ya Kilosa Mkoa wa Morogoro katika kijiji cha Munisagara ili kupisha Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR.Kazi ya kuhamisha Makaburi haya Umefanyika rasmi hivi karibuni Novemba 2020 Soma zaidi