Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • WANANCHI MWANZA WAIPOKEA KAMPENI YA UELEWA KUHUSU MRADI WA UJENZI WA SGR MWANZA - ISAKA
    11
    July
    2021

    WANANCHI MWANZA WAIPOKEA KAMPENI YA UELEWA KUHUSU MRADI WA UJENZI WA SGR MWANZA - ISAKA

    Shirika la Reli Tanzania – TRC linaendelea na kampeni maalum ya utoaji wa elimu juu ya ujenzi wa Reli ya kisasa SGR, Soma zaidi

  • MARAIS WASTAAFU WAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA RELI YA KISASA
    07
    July
    2021

    MARAIS WASTAAFU WAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA RELI YA KISASA

    Marais Watsaafu pamoja na Mawaziri Wakuu Wastaafu wafanya ziara ya siku moja kukagua Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kuanzia Kilosa mkoani Morogoro hadi jijini Dar es Salaam, Julai 06, 2021. Soma zaidi

  • KAMPENI YA UELEWA KWA JAMII KUHUSU MRADI WA UJENZI WA SGR, MWANZA – ISAKA YAPIGA HODI KWIMBA MKOANI MWANZA
    01
    July
    2021

    KAMPENI YA UELEWA KWA JAMII KUHUSU MRADI WA UJENZI WA SGR, MWANZA – ISAKA YAPIGA HODI KWIMBA MKOANI MWANZA

    Shirika la Reli Tanzania – TRC linaendelea na kampeni maalum ya kutoa elimu ya uelewa kuhusu Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa SGR, kipande cha tano, Mwanza – Isaka (Km 341), kwa jamii zinazoishi maeneo ya kanda ya ziwa. Soma zaidi

  • TRC YASHIRIKI KONGAMANO LA SIKU 100 ZA MHE. RAIS SAMIA
    28
    June
    2021

    TRC YASHIRIKI KONGAMANO LA SIKU 100 ZA MHE. RAIS SAMIA

    Shirika la Reli Tanzania – TRC laadhimisha siku 100 za Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Soma zaidi

  • VIONGOZI MBALIMBALI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WASIFU MRADI WA SGR
    26
    June
    2021

    VIONGOZI MBALIMBALI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WASIFU MRADI WA SGR

    Viongozi mbalimbali kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki waisifu nchi ya Tanzania pamoja na Shirika la Reli Tanzania - TRC kwa utekelezaji wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR walipotembelea mradi kuanzia stesheni ya Dar es Salaam hadi Pugu, Juni 25, 2021. Soma zaidi

  • TRC INAENDELEA NA MALIPO YA KIFUTA MACHOZI KATIKA WILAYA YA KILOSA MKOANI MOROGORO
    22
    May
    2021

    TRC INAENDELEA NA MALIPO YA KIFUTA MACHOZI KATIKA WILAYA YA KILOSA MKOANI MOROGORO

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la ulipaji wa kifuta machozi kwa wananchi ambao makaburi ya ndugu zao yalihamishwa kwa lengo la kupisha ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR Soma zaidi