Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​SAFARI ZA TRENI ZA ABIRIA KATI YA DAR ES SALAAM NA ARUSHA ZAREJEA RASMI
    03
    October
    2020

    ​SAFARI ZA TRENI ZA ABIRIA KATI YA DAR ES SALAAM NA ARUSHA ZAREJEA RASMI

    ​Treni ya kwanza ya abiria wasili katika Stesheni ya Arusha jijini humo baada ya zaidi ya miaka 30 na kupokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Kenani Kihongosi kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha pamoja na maelfu ya wakazi wa jijini humo Oktoba 03, 2020. Soma zaidi

  • MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM ARUHUSU TRENI KWANZA YA ABIRIA DAR ES SALAAM KUELEKEA ARUSHA
    02
    October
    2020

    MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM ARUHUSU TRENI KWANZA YA ABIRIA DAR ES SALAAM KUELEKEA ARUSHA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limeanza kutoa huduma ya usafiri wa treni za abiria iliyokuwa imesimama kwa zaidi ya miaka 30 kati ya Dar es Salaam na Arusha, safari hiyo imeanza rasmi katika stesheni ya Kamata jijini Dar es Salaam hivi Oktoba 02, 2020. Soma zaidi

  • VIONGOZI WA JUU WA WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO WAKIONGOZWA NA DKT. ABBAS WATEMBELEA MRADI WA SGR
    26
    September
    2020

    VIONGOZI WA JUU WA WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO WAKIONGOZWA NA DKT. ABBAS WATEMBELEA MRADI WA SGR

    Viongozi wa juu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wakiongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya hiyo Dkt. Hassan Abbas wametembelea Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR kipande cha Morogoro – Makutupora kuona maendeleo ya mradi huo, Septemba 25, 2020. Soma zaidi

  • MKURUGENZI MKUU TRC ASHIRIKI MAHAFALI YA 27 YA SHULE YA MSINGI ITIGI RELI
    25
    September
    2020

    MKURUGENZI MKUU TRC ASHIRIKI MAHAFALI YA 27 YA SHULE YA MSINGI ITIGI RELI

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika a Reli Tanzania Ndugu Masanja Kungu Kadogosa ashiriki katika sherehe ya mahafali ya 27 ya Shule ya Msingi ya Itigi Reli mkoani Singida hivi karibuni Septemba 2020. Soma zaidi

  • ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA KUPISHA UJENZI WA RELI YA KISASA SGR MORGORO – MAKUTUPORA LAZIDI KUPAMBA MOTO JIJINI DODOMA
    14
    September
    2020

    ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA KUPISHA UJENZI WA RELI YA KISASA SGR MORGORO – MAKUTUPORA LAZIDI KUPAMBA MOTO JIJINI DODOMA

    Shirika la Reli Tanzania TRC linaendelea na zoezi la ulipaji wa fidia jijini Dodoma kwa wananchi ambao maeneo yao yametwaliwa na mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa SGR kipande cha Morogoro Makutupora,hivi karibuni septemba 2020. Soma zaidi

  • WANANCHI NA WAZEE WA MAGINDU WILAYA YA KIBAHA MKOANI PWANI WAMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KULIPA FIDIA ZAO
    07
    September
    2020

    WANANCHI NA WAZEE WA MAGINDU WILAYA YA KIBAHA MKOANI PWANI WAMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KULIPA FIDIA ZAO

    ​Wananchi wa Magindu Wilaya ya Kibaha mkoani pwani wamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli kwa kulipa Fidia zao hivi karibuni Septemba 2020. Soma zaidi