Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • WAZIRI MKUU ATOA HEKO KWA TRC: AJIONEA KAZI NZURI ILIYOFANYIKA MRADI WA SGR
    22
    April
    2021

    WAZIRI MKUU ATOA HEKO KWA TRC: AJIONEA KAZI NZURI ILIYOFANYIKA MRADI WA SGR

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ametembelea mradi wa ujenzi Reli ya Kisasa (SGR) kukagua jengo la Stesheni na ujenzi wa Daraja linalounganisha Stesheni hiyo Soma zaidi

  • NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA SGR
    10
    April
    2021

    NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA SGR

    Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. Mwita Waitara aridhishwa na maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR Morogoro – Makutupora ambao ujenzi wake umefikia 57.5%, Aprili 10, 2021. Soma zaidi

  • WANAJESHI KUTOKA NCHI ZA AFRIKA WATEMBELEA MRADI WA SGR
    09
    April
    2021

    WANAJESHI KUTOKA NCHI ZA AFRIKA WATEMBELEA MRADI WA SGR

    Wanajeshi kutoka nchi mbalimbali za Afrika walio katika mafunzo ya kubadilisha ujuzi watembelea mradi wa Ujenzi wa Reli ya kisasa (SGR) tarehe 9/04/2021. Soma zaidi

  • WASHINDI WA UANDISHI WA INSHA WATEMBELEA MRADI WA SGR DAR ES SALAAM – MOROGORO
    09
    April
    2021

    WASHINDI WA UANDISHI WA INSHA WATEMBELEA MRADI WA SGR DAR ES SALAAM – MOROGORO

    Washindi wa Shindano la uandishi wa Insha za Masoko lililoandaliwa na Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) watembelea Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR kuanzia Dar es Salaam hadi Morogoro Aprili 09, 2021. Soma zaidi

  • KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YAKAMILISHA ZIARA YAKE KUKAGUA MRADI WA SGR NA KARAKANA
    14
    March
    2021

    KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YAKAMILISHA ZIARA YAKE KUKAGUA MRADI WA SGR NA KARAKANA

    Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu yakamilisha ziara ya siku mbili kukagua Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa Dar es Salaam - Makutupora Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA KUTOA FURSA YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANANCHI WA MPWAPWA MKOANI DODOMA
    13
    March
    2021

    ​TRC YAENDELEA KUTOA FURSA YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANANCHI WA MPWAPWA MKOANI DODOMA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea kutoa fursa ya mafunzo ya ujasiriamali kwa wananchi waliotwaliwa na ardhi na kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi