Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • WANANCHI WA MITAA YA AZIMIO, KIHONDA KASKAZINI NA YESPA WASHUKURU SERIKALI YA AWAMU YA TANO KWA KULIPA FIDIA ZAO.
    19
    August
    2020

    WANANCHI WA MITAA YA AZIMIO, KIHONDA KASKAZINI NA YESPA WASHUKURU SERIKALI YA AWAMU YA TANO KWA KULIPA FIDIA ZAO.

    Wananchi wa Mitaa ya Azimio, Kihonda kaskazini na Yespa vya kata ya Kihonda Mkoni Morogoro Waanza kulipwa fidia zao Agosti 19,2020. Soma zaidi

  • ​SHIRIKA LA RELI LAENDELEA NA KAMPENI YA ELIMU YA UELEWA KUHUSU USALAMA NA ULINZI WA MIUNDOMBINU YA RELI
    15
    August
    2020

    ​SHIRIKA LA RELI LAENDELEA NA KAMPENI YA ELIMU YA UELEWA KUHUSU USALAMA NA ULINZI WA MIUNDOMBINU YA RELI

    Katika muendelezo wa Kampeni ya Uelewa kuhusu namna ya kudhibiti ajali katika reli kwa kuzingatia alama za usalama katika miundombinu ya reli Shirika limeendelea na zoezi hilo kwa kufanya mikutano na wananchi Soma zaidi

  • ​SHIRIKA LA RELI TANZANIA NA CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI WASHIRIKIANA KITAALUMA
    14
    August
    2020

    ​SHIRIKA LA RELI TANZANIA NA CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI WASHIRIKIANA KITAALUMA

    ​Shirika la Reli Tanzania – TRC na Baraza la Uongozi Chuo cha Taifa cha Usafirishaji – NIT wamefanya mazungumzo huku lengo likiwa kuimalisha uhusiano baina yao sambamba na kuona changamoto ya rasilimali watu katika taaluma ya reli. Soma zaidi

  • ​TRENI YA KWANZA YA MIZIGO YA MAJARIBIO YAWASILI JIJINI ARUSHA BAADA YA ZAIDI YA MIAKA 30
    13
    August
    2020

    ​TRENI YA KWANZA YA MIZIGO YA MAJARIBIO YAWASILI JIJINI ARUSHA BAADA YA ZAIDI YA MIAKA 30

    Treni kwanza ya mizigo ya majaribio yawasili katika Stesheni ya Arusha baada ya zaidi ya miaka 30 ikitokea Tanga na kupokekewa na maelfu ya wananchi waliojitokeza katika Stesheni Arusha Agosti 13, 2020. Soma zaidi

  • ​MKUU WA WILAYA YA ARUMERU,TRC ANA KWA ANA NA WANAMERU KUENDELEZA KAMPENI YA UELEWA KUEPUSHA AJALI NA ULINZI WA RELI.
    12
    August
    2020

    ​MKUU WA WILAYA YA ARUMERU,TRC ANA KWA ANA NA WANAMERU KUENDELEZA KAMPENI YA UELEWA KUEPUSHA AJALI NA ULINZI WA RELI.

    Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mh. Jerry Muro ameambatana na Viongozi kutoka Shirika la Reli Tanzania – TRC kuendeleza kampeni ya uelewa kuhusu ulinzi na usalama wa miundombinu ya reli inayoendelea katika mikoa ya Tanga, Kilimanjaro na Arusha Agosti 2020. Soma zaidi

  • MKUU WA MKOA WA ARUSHA AFUNGUA RASMI KAMPENI YA UELEWA KUEPUSHA AJALI RELINI MKOANI HUMO
    11
    August
    2020

    MKUU WA MKOA WA ARUSHA AFUNGUA RASMI KAMPENI YA UELEWA KUEPUSHA AJALI RELINI MKOANI HUMO

    . Soma zaidi