Habari Mpya
-
09
April
2021WANAJESHI KUTOKA NCHI ZA AFRIKA WATEMBELEA MRADI WA SGR
Wanajeshi kutoka nchi mbalimbali za Afrika walio katika mafunzo ya kubadilisha ujuzi watembelea mradi wa Ujenzi wa Reli ya kisasa (SGR) tarehe 9/04/2021. Soma zaidi
-
09
April
2021WASHINDI WA UANDISHI WA INSHA WATEMBELEA MRADI WA SGR DAR ES SALAAM – MOROGORO
Washindi wa Shindano la uandishi wa Insha za Masoko lililoandaliwa na Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) watembelea Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR kuanzia Dar es Salaam hadi Morogoro Aprili 09, 2021. Soma zaidi
-
14
March
2021KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YAKAMILISHA ZIARA YAKE KUKAGUA MRADI WA SGR NA KARAKANA
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu yakamilisha ziara ya siku mbili kukagua Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa Dar es Salaam - Makutupora Soma zaidi
-
13
March
2021TRC YAENDELEA KUTOA FURSA YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANANCHI WA MPWAPWA MKOANI DODOMA
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea kutoa fursa ya mafunzo ya ujasiriamali kwa wananchi waliotwaliwa na ardhi na kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi
-
09
March
2021WAFANYAKAZI WANAWAKE WA TRC WASHIRIKI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
Wafanyakazi Wanawake wa Shirika La Reli Tanzania washiriki siku ya Wanawake Duniani inayoadhimishwa kimataifa kila mwaka Machi 08. Soma zaidi
-
02
March
2021WANANCHI JIJINI MWANZA WASHUKURU UJIO WA MRADI WA SGR
Wananchi wa kijiji cha Nyamatala kata ya Ukiliguru wilaya ya Misungwi jijini Mwanza wameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ujio wa Mradi wa Reli ya Kisasa – SGR jijini humo kufuatia hatua za awali za maandalizi kwa ajili ya mradi huo kuanza, hivi karibuni Machi 2021. Soma zaidi