Habari Mpya
-
22
April
2021WAZIRI MKUU ATOA HEKO KWA TRC: AJIONEA KAZI NZURI ILIYOFANYIKA MRADI WA SGR
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ametembelea mradi wa ujenzi Reli ya Kisasa (SGR) kukagua jengo la Stesheni na ujenzi wa Daraja linalounganisha Stesheni hiyo Soma zaidi
-
10
April
2021NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA SGR
Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. Mwita Waitara aridhishwa na maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR Morogoro – Makutupora ambao ujenzi wake umefikia 57.5%, Aprili 10, 2021. Soma zaidi
-
09
April
2021WANAJESHI KUTOKA NCHI ZA AFRIKA WATEMBELEA MRADI WA SGR
Wanajeshi kutoka nchi mbalimbali za Afrika walio katika mafunzo ya kubadilisha ujuzi watembelea mradi wa Ujenzi wa Reli ya kisasa (SGR) tarehe 9/04/2021. Soma zaidi
-
09
April
2021WASHINDI WA UANDISHI WA INSHA WATEMBELEA MRADI WA SGR DAR ES SALAAM – MOROGORO
Washindi wa Shindano la uandishi wa Insha za Masoko lililoandaliwa na Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) watembelea Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR kuanzia Dar es Salaam hadi Morogoro Aprili 09, 2021. Soma zaidi
-
14
March
2021KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YAKAMILISHA ZIARA YAKE KUKAGUA MRADI WA SGR NA KARAKANA
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu yakamilisha ziara ya siku mbili kukagua Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa Dar es Salaam - Makutupora Soma zaidi
-
13
March
2021TRC YAENDELEA KUTOA FURSA YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANANCHI WA MPWAPWA MKOANI DODOMA
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea kutoa fursa ya mafunzo ya ujasiriamali kwa wananchi waliotwaliwa na ardhi na kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi