Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • WAKUU WA MIKOA, KAGERA NA MTWARA WATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA
    13
    December
    2020

    WAKUU WA MIKOA, KAGERA NA MTWARA WATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA

    Mkuu wa mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti wakiambatana na baadhi ya vijana kutoka mikoa hiyo wametembelea jengo la Stesheni ya Reli ya Kisasa lililopo jijini Dar es Salaam, Disemba 13, 2020. Soma zaidi

  • ​SHIRIKA LA RELI TANZANIA -TRC LACHANGIA UKARABATI WA BARABARA MOROGORO VIJIJINI
    05
    December
    2020

    ​SHIRIKA LA RELI TANZANIA -TRC LACHANGIA UKARABATI WA BARABARA MOROGORO VIJIJINI

    Shirika la Reli Tanzania – TRC limetoa mchango wa ukarabati wa barabara Morogoro Vijijini katika tarafa ya Ngerengere hivi karibuni Disemba, 2020 ikiwa ni sehemu ya kuleta maendeleo katika jamii zilizopo jirani na mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR. Soma zaidi

  • MKURUGENZI MKUU TRC AMESHIRIKI MKUTANO WA WAHASIBU NA WAKAGUZI WA HESABU TANZANIA
    03
    December
    2020

    MKURUGENZI MKUU TRC AMESHIRIKI MKUTANO WA WAHASIBU NA WAKAGUZI WA HESABU TANZANIA

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la reli Tanzania - TRC Ndugu Masanja Kungu Kadogosa ameshiriki katika mkutano mkuu wa Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu za Serikali na kuwasilisha taarifa ya maendeleo ya mradi wa ujenzi wa reli kisasa - SGR Soma zaidi

  • WAFANYAKAZI WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO WATEMBELEA SGR
    02
    December
    2020

    WAFANYAKAZI WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO WATEMBELEA SGR

    Wafanyakazi kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wametembelea kuona maendeleo ya ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kutoka Dodoma mpaka Morogoro, hivi karibuni Novemba, 2020. Soma zaidi

  • ​WAZIRI MKUU; TRENI ZA RELI YA KISASA KUANZA KUTOA HUDUMA MAPEMA 2021
    19
    November
    2020

    ​WAZIRI MKUU; TRENI ZA RELI YA KISASA KUANZA KUTOA HUDUMA MAPEMA 2021

    ​Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amesema kuwa serikali inatarajia kukamilisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro na kuanza kutoa huduma mapema mwaka 2021 Soma zaidi

  • SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC LAENDELEA NA ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI.
    16
    November
    2020

    SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC LAENDELEA NA ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI.

    Shirika la Reli Tanzania - TRC laendelea na zoezi la kuhamisha makaburi katika Wilaya ya Kilosa Mkoa wa Morogoro katika kijiji cha Munisagara ili kupisha Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR.Kazi ya kuhamisha Makaburi haya Umefanyika rasmi hivi karibuni Novemba 2020 Soma zaidi