Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • KATIBU MKUU UTUMISHI ATEMBELEA MRADI WA SGR, WATUMISHI ZAIDI YA 1000 KUAJIRIWA
    05
    September
    2021

    KATIBU MKUU UTUMISHI ATEMBELEA MRADI WA SGR, WATUMISHI ZAIDI YA 1000 KUAJIRIWA

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Utumishi Dkt. Laurean Ndumbaro pamoja na Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wametembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha Morogoro – Makutupora Septemba 04, 2021. Soma zaidi

  • MRADI WA SGR MAKUTUPORA – TABORA, TABORA – ISAKA KUANZA HIVI KARIBUNI
    05
    September
    2021

    MRADI WA SGR MAKUTUPORA – TABORA, TABORA – ISAKA KUANZA HIVI KARIBUNI

    Shirika la Reli Tanzania – TRC linatarajia kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Reli ya kisasa - SGR kipande cha Makutupora – Tabora (KM 371) na Tabora – Isaka (KM 162), hivi karibuni ikiwa ni utekelezaji wa ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan. Soma zaidi

  • RIPOTI ZAFANANA NA UHALISIA; MRADI WA SGR MOROGORO – MAKUTUPORA WAFIKA 70%
    30
    August
    2021

    RIPOTI ZAFANANA NA UHALISIA; MRADI WA SGR MOROGORO – MAKUTUPORA WAFIKA 70%

    Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, sekta ya Uchukuzi Bw. Gabriel Migire ametembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Morogoro – Makutupora katika eneo linalojengwa Mahandaki Kilosa mkoani Morogoro Agosti 29, 2021. Soma zaidi

  • JAMII YA WAFUGAJI MOROGORO VIJIJINI YAPEWA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA VIVUKO KUEPUSHA UHARIBIFU WA MIUNDOMBINU YA SGR
    14
    August
    2021

    JAMII YA WAFUGAJI MOROGORO VIJIJINI YAPEWA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA VIVUKO KUEPUSHA UHARIBIFU WA MIUNDOMBINU YA SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC likiendelea na kampeni ya uelewa kwa jamii kuhusu usalama na ulinzi wa miundombinu ya Reli ya kisasa – SGR Soma zaidi

  • ZAIDI YA KATA 15 ZAPEWA ELIMU YA UELEWA KUHUSU USALAMA NA ULINZI WA MIUNDOMBINU YA RELI YA KISASA - SGR
    05
    August
    2021

    ZAIDI YA KATA 15 ZAPEWA ELIMU YA UELEWA KUHUSU USALAMA NA ULINZI WA MIUNDOMBINU YA RELI YA KISASA - SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea na kampeni ya uelewa kwa jamii kuhusu usalama na ulinzi wa miundombinu ya Reli ya kisasa – SGR katika awamu ya kwanza ya mradi Dar es Salaam mpaka hadi Morogoro Soma zaidi

  • TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA KWA WANANCHI MKOANI MOROGORO
    04
    August
    2021

    TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA KWA WANANCHI MKOANI MOROGORO

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea kuwanufaisha wananchi mkoani Morogoro kufuatia zoezi endelevu la ulipaji wa fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo yao kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi