Habari Mpya
-
29
November
2019VIONGOZI WA JUMUIYA YA WAZAZI CCM WATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA KIPANDE CHA DAR ES SALAAM – MOROGORO
Viongozi wa Jumuiya ya Wazazi Chama cha Mapinduzi Taifa wakiongozwa na Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Dkt. Edmund Mndolwa wametembelea Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro eneo la Vingunguti hadi Stesheni jijini Dar es Salaam Novemba 28, 2019. Soma zaidi
-
14
November
2019SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA ILI KUPISHA UJENZI WA NGUZO ZA UMEME WA SGR
Shirika la Reli Tanzania laendelea na zoezi la ulipaji fidia ili kupisha ujenzi wa Miundombinu ya kusafirisha umeme katika mradi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi
-
09
November
2019MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA NCHI NORDIC NA AFRIKA WATEMBELEA MRADI WA SGR
Mawaziri wa Mambo ya nje kutoka nchi za Nordic na Afrika watembelea Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro Soma zaidi
-
24
October
2019KIPANDE CHA PILI MOROGORO-MAKUTOPORA UJENZI WA SGR WAZIDI KUNOGA.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Elias John Kwandikwa amezindua utandikaji wa Reli ya kisasa kipande cha Pili Morogoro - Makutopora hivi karibuni Oktoba 2019. Soma zaidi
-
19
October
2019SHIRIKA LA RELI TANZANIA NA CLOUDS MEDIA GROUP WAADHIMISHA MIAKA 20 YA MWL. NYERERE
Shirika la Reli Tanzania – TRC pamoja na ‘Clouds Media Group’ (CMG) waadhimisha miaka 20 ya kifo cha Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere kwa kufanya safari ya kihistoria kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma Soma zaidi
-
15
October
2019TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA ILI KUPISHA UJENZI WA RELI YA KISASA MOROGORO – MATUKUPORA
Shirika la Reli Tanzania – TRC laendelea na zoezi la ulipaji wa fidia kwa wananchi wa mkoa wa Morogoro kwa lengo la kupisha ujenzi wa reli ya kisasa – SGR awamu ya Pili Morogoro – Matukupora, Soma zaidi