Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​VIONGOZI WA JUMUIYA YA WAZAZI CCM WATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA KIPANDE CHA DAR ES SALAAM – MOROGORO
    29
    November
    2019

    ​VIONGOZI WA JUMUIYA YA WAZAZI CCM WATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA KIPANDE CHA DAR ES SALAAM – MOROGORO

    Viongozi wa Jumuiya ya Wazazi Chama cha Mapinduzi Taifa wakiongozwa na Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Dkt. Edmund Mndolwa wametembelea Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro eneo la Vingunguti hadi Stesheni jijini Dar es Salaam Novemba 28, 2019. Soma zaidi

  • SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA ILI KUPISHA UJENZI WA NGUZO ZA UMEME WA SGR
    14
    November
    2019

    SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA ILI KUPISHA UJENZI WA NGUZO ZA UMEME WA SGR

    Shirika la Reli Tanzania laendelea na zoezi la ulipaji fidia ili kupisha ujenzi wa Miundombinu ya kusafirisha umeme katika mradi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi

  • ​MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA NCHI NORDIC NA AFRIKA WATEMBELEA MRADI WA SGR
    09
    November
    2019

    ​MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA NCHI NORDIC NA AFRIKA WATEMBELEA MRADI WA SGR

    Mawaziri wa Mambo ya nje kutoka nchi za Nordic na Afrika watembelea Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro Soma zaidi

  • KIPANDE CHA PILI MOROGORO-MAKUTOPORA UJENZI WA SGR WAZIDI KUNOGA.
    24
    October
    2019

    KIPANDE CHA PILI MOROGORO-MAKUTOPORA UJENZI WA SGR WAZIDI KUNOGA.

    Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Elias John Kwandikwa amezindua utandikaji wa Reli ya kisasa kipande cha Pili Morogoro - Makutopora hivi karibuni Oktoba 2019. Soma zaidi

  • SHIRIKA LA RELI TANZANIA NA CLOUDS MEDIA GROUP WAADHIMISHA MIAKA 20 YA MWL. NYERERE
    19
    October
    2019

    SHIRIKA LA RELI TANZANIA NA CLOUDS MEDIA GROUP WAADHIMISHA MIAKA 20 YA MWL. NYERERE

    Shirika la Reli Tanzania – TRC pamoja na ‘Clouds Media Group’ (CMG) waadhimisha miaka 20 ya kifo cha Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere kwa kufanya safari ya kihistoria kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma Soma zaidi

  • TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA ILI KUPISHA UJENZI WA RELI YA KISASA MOROGORO – MATUKUPORA
    15
    October
    2019

    TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA ILI KUPISHA UJENZI WA RELI YA KISASA MOROGORO – MATUKUPORA

    Shirika la Reli Tanzania – TRC laendelea na zoezi la ulipaji wa fidia kwa wananchi wa mkoa wa Morogoro kwa lengo la kupisha ujenzi wa reli ya kisasa – SGR awamu ya Pili Morogoro – Matukupora, Soma zaidi