Habari Mpya
-
26
October
2021TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA UTOAJI ELIMU NA UHAMASISHAJI KWA UMMA KUPISHA MRADI WA UJENZI WA SGR MWANZA - ISAKA
Shirika la Reli Tanzania linaendelea na zoezi la utoaji elimu, kuhamasisha umma na uhamishaji wa makaburi ili kupisha ujenzi wa Reli ya Kisasa katika vvijiji sita (6) Soma zaidi
-
24
October
2021RAIS WA BURUNDI APANDA TRENI YA MAJARIBIO YA SGR KUTOKA PUGU HADI KWALA MKOANI PWANI
Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye atembelea mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR kipande cha Dar Es Salaam – Morogoro kwa kutumia treni ya uhandisi kutoka stesheni ya SGR Pugu hadi Kwala mkoani Pwani hivi karibuni 23 Oktoba, 2021. Soma zaidi
-
21
October
2021MAKABURI TAKRIBAN 228 WILAYANI MASWA MKOA WA SIMIYU KUPISHA UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR
Shirika La Reli Tanzania - TRC limendelea na zoezi la uhamasishaji wananchi kuhusu zoezi la uhamishaji makaburi ili kupisha ujenzi wa reli ya kisasa - SGR wilayani Maswa mkoa wa Simiyu hivi karibuni Oktoba, 10, 2021. Soma zaidi
-
13
October
2021WANAFUNZI WA CHUO CHA UKAMANDA NA UNADHIMU - JWTZ WAJIONEA MAENDELEO YA MRADI WA SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC limepokea ugeni kutoka kwa wanafunzi wa ukamanda na unadhimu kutoka chuo cha Jeshi la Wananchi kilichopo Arusha Tanzania kwa lengo la kuwaonesha maendeleo ya mradi wa reli ya kisasa - SGR walipotembelea ofisi za TRC na kujionea jingo la stesheni ya Dar es Salaam Oktoba 13, 2021. Soma zaidi
-
08
October
2021MKURUGENZI MKUU TRC AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA KUJADILI MRADI WA SGR ISAKA - KIGALI
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania – TRC Masanja Kadogosa akutana na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania Meja Jenerali Charles Karamba Soma zaidi
-
06
October
2021BEHEWA MPYA 44 ZATUA BANDARI YA DAR ES SALAAM, ZAPOKELEWA NA WAZIRI MBARAWA
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amepokea Behewa mpya 44 za mizigo za Shirika la Reli Tanzania – TRC zilizonunuliwa kupitia Mradi wa Uboreshaji wa Reli ya Kati – TIRP, bandarini jijini Dar es SalaamOktoba 06, 2021. Soma zaidi