Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • RAIS MAGUFULI AZINDUA HUDUMA ZA USAFIRI WA TRENI KATI YA DAR ES SALAAM, TANGA NA ARUSHA
    24
    October
    2020

    RAIS MAGUFULI AZINDUA HUDUMA ZA USAFIRI WA TRENI KATI YA DAR ES SALAAM, TANGA NA ARUSHA

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli azindua rasmi huduma za usafiri wa treni kati ya Dar es Salaam, Tanga na Arusha, katika Stesheni ya Arusha Oktoba 24, 2020. Soma zaidi

  • ​WASANII, WAANDISHI WA HABARI WATEMBELEA MRADI WA RELI YA KISASA DAR - RUVU
    16
    October
    2020

    ​WASANII, WAANDISHI WA HABARI WATEMBELEA MRADI WA RELI YA KISASA DAR - RUVU

    Wasanii wa tasnia mbalimbali pamoja na waandishi wa habari wamepata fursa ya kutembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa kutoka Dar es Salaam hadi Ruvu mkoani Pwani. Soma zaidi

  • WAZIRI KAMWELWE AZINDUA KICHWA CHA TRENI, VINGINE SITA KUKAMILIKA HIVI KARIBUNI
    11
    October
    2020

    WAZIRI KAMWELWE AZINDUA KICHWA CHA TRENI, VINGINE SITA KUKAMILIKA HIVI KARIBUNI

    Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe amezindua kichwa kimoja cha treni kati ya vichwa saba vilivyofanyiwa ukarabati katika Karakana ya Morogoro, hafla hiyo imefanyika katika Stesheni ya Dodoma Oktoba 11, 2020. Soma zaidi

  • SHULE YA MSINGI ITIGI RELI YAHAMASISHA SHULE NYINGINE KUTEMBELEA MRADI WA SGR ILI KUJIFUNZA ZAIDI
    10
    October
    2020

    SHULE YA MSINGI ITIGI RELI YAHAMASISHA SHULE NYINGINE KUTEMBELEA MRADI WA SGR ILI KUJIFUNZA ZAIDI

    Walimu na Wahitimu wa Elimu ya Msingi katika Shule ya Itigi Reli watembelea Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR kipande cha Morogoro – Makutupora ambapo mbali na kuona mradi huo wametoa rai kwa shule nyingine kutembelea mradi huo ili kujifunza zaidi, Oktoba 10, 2020. Soma zaidi

  • RAIS WA MALAWI AIPONGEZA SERIKALI YA TANZANIA KWA UJENZI WA RELI YA KISASA – SGR
    08
    October
    2020

    RAIS WA MALAWI AIPONGEZA SERIKALI YA TANZANIA KWA UJENZI WA RELI YA KISASA – SGR

    Rais wa Jamhuri ya Malawi Mhe. Lazarus Chakwera atembelea mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR kipande cha Dar Es Salaam – Morogoro katika eneo la Ilala jijini Dar es Salaam, ziara hiyo imefanyika tarehe 08 Oktoba, 2020. Soma zaidi

  • MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AONGOZA VIONGOZI WA DINI KUTEMBELEA STESHENI YA SGR
    05
    October
    2020

    MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AONGOZA VIONGOZI WA DINI KUTEMBELEA STESHENI YA SGR

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Abubakar Kunenge akiambatana na viongozi wa Dini wa mkoa wa Dar es Salaam wametembelea jengo la Stesheni ya reli ya kisasa – SGR lililopo Jijini Dar es Salaam Oktoba 5, 2020. Soma zaidi