Habari Mpya
-
04
August
2021TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA KWA WANANCHI MKOANI MOROGORO
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea kuwanufaisha wananchi mkoani Morogoro kufuatia zoezi endelevu la ulipaji wa fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo yao kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi
-
03
August
2021MENEJIMENTI YA TRC YAANZA MAFUNZO YA MFUMO WA UPIMAJI WA UTENDAJI KWA WATUMISHI
Shirika la Reli Tanzania - TRC laanza kupokea mafunzo ya siku tatu kuhusu mfumo wawazi wa upimajiwa utendaji kazi wa watumishi – OPRAS(Open Performance Appraisal System), mafunzoambayo yanafanyika katika ukumbi wa mikutano wa Bandari jijini Dar es Salaam kuanzia Agosti 2 hadi 4, 2021. Soma zaidi
-
02
August
2021MKUU WA MKOA WA MWANZA AWAONYA WATAKAOHUJUMU UJENZI WA SGR MWANZA - ISAKA
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na kampeni ya uelewa kwa jamii kuhusu mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR Mwanza hadi Isaka. Soma zaidi
-
24
July
2021WASANII, MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA WAFIKA MKOANI KIGOMA
Mashabiki wa mpira wa miguu wa Simba na Yanga pamoja na Wasanii mbalimbali wa muziki wa kizazi kipya waingia mkoani Kigoma leo Julai 24, 2021 Soma zaidi
-
23
July
2021TRENI ILIYOBEBA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA YAANZA SAFARI KUELEKEA KIGOMA
Treni ya Deluxe iliyobeba Wasanii na Mashabiki wa mpira wa miguu imeanza safari katika Stesheni ya Kamata jijini Dar es Salaam kuelekea Kigoma kwenye mechi kati ya Simba na Yanga inayotarajiwa kuchezwa Julai 25, 2021. Soma zaidi
-
19
July
2021TRC, CLOUDS MEDIA GROUP KUSAFIRISHA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA KUELEKEA MKOANI KIGOMA
Shirika la Reli Tanzania - TRC kwa kushirikiana na kampuni ya Clouds Media Group wameandaa treni maalumu itakayobeba mashabiki wa mpira wa miguu kuelekea mkoani Kigoma Soma zaidi