Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA KWA WANANCHI MKOANI MOROGORO
    04
    August
    2021

    TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA KWA WANANCHI MKOANI MOROGORO

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea kuwanufaisha wananchi mkoani Morogoro kufuatia zoezi endelevu la ulipaji wa fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo yao kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi

  • MENEJIMENTI YA TRC YAANZA MAFUNZO YA MFUMO WA UPIMAJI WA UTENDAJI KWA WATUMISHI
    03
    August
    2021

    MENEJIMENTI YA TRC YAANZA MAFUNZO YA MFUMO WA UPIMAJI WA UTENDAJI KWA WATUMISHI

    Shirika la Reli Tanzania - TRC laanza kupokea mafunzo ya siku tatu kuhusu mfumo wawazi wa upimajiwa utendaji kazi wa watumishi – OPRAS(Open Performance Appraisal System), mafunzoambayo yanafanyika katika ukumbi wa mikutano wa Bandari jijini Dar es Salaam kuanzia Agosti 2 hadi 4, 2021. Soma zaidi

  • ​MKUU WA MKOA WA MWANZA AWAONYA WATAKAOHUJUMU UJENZI WA SGR MWANZA - ISAKA
    02
    August
    2021

    ​MKUU WA MKOA WA MWANZA AWAONYA WATAKAOHUJUMU UJENZI WA SGR MWANZA - ISAKA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na kampeni ya uelewa kwa jamii kuhusu mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR Mwanza hadi Isaka. Soma zaidi

  • WASANII, MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA WAFIKA MKOANI KIGOMA
    24
    July
    2021

    WASANII, MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA WAFIKA MKOANI KIGOMA

    Mashabiki wa mpira wa miguu wa Simba na Yanga pamoja na Wasanii mbalimbali wa muziki wa kizazi kipya waingia mkoani Kigoma leo Julai 24, 2021 Soma zaidi

  • TRENI ILIYOBEBA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA YAANZA SAFARI KUELEKEA KIGOMA
    23
    July
    2021

    TRENI ILIYOBEBA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA YAANZA SAFARI KUELEKEA KIGOMA

    Treni ya Deluxe iliyobeba Wasanii na Mashabiki wa mpira wa miguu imeanza safari katika Stesheni ya Kamata jijini Dar es Salaam kuelekea Kigoma kwenye mechi kati ya Simba na Yanga inayotarajiwa kuchezwa Julai 25, 2021. Soma zaidi

  • ​TRC, CLOUDS MEDIA GROUP KUSAFIRISHA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA KUELEKEA MKOANI KIGOMA
    19
    July
    2021

    ​TRC, CLOUDS MEDIA GROUP KUSAFIRISHA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA KUELEKEA MKOANI KIGOMA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC kwa kushirikiana na kampuni ya Clouds Media Group wameandaa treni maalumu itakayobeba mashabiki wa mpira wa miguu kuelekea mkoani Kigoma Soma zaidi