Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​​ZAIDI YA KAYA 35 KULIPWA FIDIA MASWA MKOANI SHINYANGA
    28
    October
    2021

    ​​ZAIDI YA KAYA 35 KULIPWA FIDIA MASWA MKOANI SHINYANGA

    ​Shirika la Reli Tanzania- TRC linaendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa kaya zaidi ya 35 ambazo maeneo yao yalitwaliwa awali ili kupisha ujenzi wa reli ya kisasa kipande cha tano Mwanza - Isaka , linalofanyika katika kata ya Seke Bugolo na kata ya Malampaka wilayani Maswa hivi karibuni Oktoba, 2021. Soma zaidi

  • ​TRC YAFANYA KIKAO CHA MWISHO CHA BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI
    27
    October
    2021

    ​TRC YAFANYA KIKAO CHA MWISHO CHA BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limefanya kikao cha mwisho cha Baraza Kuu la Wafanyakazi kwa lengo la kutathimini mambo yaliyofanyika katika shirika ili kuzidi kuboresha ufanisi wa kazi Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA UTOAJI ELIMU NA UHAMASISHAJI KWA UMMA KUPISHA MRADI WA UJENZI WA SGR MWANZA - ISAKA
    26
    October
    2021

    ​TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA UTOAJI ELIMU NA UHAMASISHAJI KWA UMMA KUPISHA MRADI WA UJENZI WA SGR MWANZA - ISAKA

    ​Shirika la Reli Tanzania linaendelea na zoezi la utoaji elimu, kuhamasisha umma na uhamishaji wa makaburi ili kupisha ujenzi wa Reli ya Kisasa katika vvijiji sita (6) Soma zaidi

  • RAIS WA BURUNDI APANDA TRENI YA MAJARIBIO YA SGR KUTOKA PUGU HADI KWALA MKOANI PWANI
    24
    October
    2021

    RAIS WA BURUNDI APANDA TRENI YA MAJARIBIO YA SGR KUTOKA PUGU HADI KWALA MKOANI PWANI

    ​Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye atembelea mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR kipande cha Dar Es Salaam – Morogoro kwa kutumia treni ya uhandisi kutoka stesheni ya SGR Pugu hadi Kwala mkoani Pwani hivi karibuni 23 Oktoba, 2021. Soma zaidi

  • MAKABURI TAKRIBAN 228 WILAYANI MASWA MKOA WA SIMIYU KUPISHA UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR
    21
    October
    2021

    MAKABURI TAKRIBAN 228 WILAYANI MASWA MKOA WA SIMIYU KUPISHA UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR

    Shirika La Reli Tanzania - TRC limendelea na zoezi la uhamasishaji wananchi kuhusu zoezi la uhamishaji makaburi ili kupisha ujenzi wa reli ya kisasa - SGR wilayani Maswa mkoa wa Simiyu hivi karibuni Oktoba, 10, 2021. Soma zaidi

  • ​WANAFUNZI WA CHUO CHA UKAMANDA NA UNADHIMU - JWTZ WAJIONEA MAENDELEO YA MRADI WA SGR
    13
    October
    2021

    ​WANAFUNZI WA CHUO CHA UKAMANDA NA UNADHIMU - JWTZ WAJIONEA MAENDELEO YA MRADI WA SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limepokea ugeni kutoka kwa wanafunzi wa ukamanda na unadhimu kutoka chuo cha Jeshi la Wananchi kilichopo Arusha Tanzania kwa lengo la kuwaonesha maendeleo ya mradi wa reli ya kisasa - SGR walipotembelea ofisi za TRC na kujionea jingo la stesheni ya Dar es Salaam Oktoba 13, 2021. Soma zaidi