Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • TRC YASHIRIKI KONGAMANO LA SIKU 100 ZA MHE. RAIS SAMIA
    28
    June
    2021

    TRC YASHIRIKI KONGAMANO LA SIKU 100 ZA MHE. RAIS SAMIA

    Shirika la Reli Tanzania – TRC laadhimisha siku 100 za Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Soma zaidi

  • VIONGOZI MBALIMBALI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WASIFU MRADI WA SGR
    26
    June
    2021

    VIONGOZI MBALIMBALI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WASIFU MRADI WA SGR

    Viongozi mbalimbali kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki waisifu nchi ya Tanzania pamoja na Shirika la Reli Tanzania - TRC kwa utekelezaji wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR walipotembelea mradi kuanzia stesheni ya Dar es Salaam hadi Pugu, Juni 25, 2021. Soma zaidi

  • TRC INAENDELEA NA MALIPO YA KIFUTA MACHOZI KATIKA WILAYA YA KILOSA MKOANI MOROGORO
    22
    May
    2021

    TRC INAENDELEA NA MALIPO YA KIFUTA MACHOZI KATIKA WILAYA YA KILOSA MKOANI MOROGORO

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la ulipaji wa kifuta machozi kwa wananchi ambao makaburi ya ndugu zao yalihamishwa kwa lengo la kupisha ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR Soma zaidi

  • TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA FIDIA MKOANI MWANZA NA SHINYANGA KUPISHA UJENZI WA KAMBI ZA SGR
    18
    May
    2021

    TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA FIDIA MKOANI MWANZA NA SHINYANGA KUPISHA UJENZI WA KAMBI ZA SGR

    Shirika la Reli Tanzania – TRC laendelea na zoezi la ulipaji fidia ili kupisha ujenzi wa kambi za Mradi wa reli ya Kisasa – SGR katika maeneo ya Fela, Bukwimba, Malampaka mkoani Mwanza na Didia mkoani Shinyanga Mei 17, 2021. Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA NA UTATUAJI WA CHANGAMOTO KWA JAMII INAYOISHI KARIBU NA ENEO LA MRADI WA SGR
    10
    May
    2021

    ​TRC YAENDELEA NA UTATUAJI WA CHANGAMOTO KWA JAMII INAYOISHI KARIBU NA ENEO LA MRADI WA SGR

    Shirika la Reli Tanzania – TRC kupitia Wataalam wake kutoka vitengo mbalimbali kwa kushirikiana na Serikali ya Mkoa mpaka ngazi ya Vijiji wameendesha zoezi la kufanya tathimini za athari na changamoto zilizojitokeza kwa wananchi walio katika maeneo ambayo ujenzi wa reli ya kisasa –SGR unaendelea, Soma zaidi

  • WAFANYAKAZI TRC WAADHIMISHA SIKU YA WAFANYAKAZI MEI MOSI
    02
    May
    2021

    WAFANYAKAZI TRC WAADHIMISHA SIKU YA WAFANYAKAZI MEI MOSI

    Wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania – TRC washiriki Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi iliyoadhimishwa kitaifa katika viwanja vya CCM Kirumba jijini Mwanza Mei 01, 2021. Soma zaidi