Habari Mpya
-
30
December
2019TRENI YA DELUXE ILIYOBEBA WASANII WA WCB YAWASILI KIGOMA NA KUPOKELEWA NA MAMIA YA WANANCHI
Treni ya Kisasa ya Deluxe ya Shirika la Reli Tanzania - TRC iliyobeba wasanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka kampuni ya Wasafi Classic Baby (WCB) imewasili mkoani Kigoma ikitokea Dar es Salaam hivi karibuni Desemba 2019. Soma zaidi
-
24
December
2019SHIRIKA LA RELI TANZANIA KUFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWA SEKTA BINAFSI
-
23
December
2019SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAKAMILISHA MAADHIMISHO YA WIKI YA TRC
Shirika la Reli Tanzania – TRC lakamilisha Wiki ya TRC ambayo huadhimishwa kila mwaka kwa kutoa elimu na ufafanuzi kuhusu huduma zitolewazo na miradi inayosimamiwa na Shirika kuanzia tarehe 12 - 20 Desemba 2019. Soma zaidi
-
21
December
2019WAZIRI KAMWELWE ARUHUSU TRENI YA ZIADA YA ABIRIA DAR ES SALAAM KUELEKEA MOSHI.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe amepeperusha bendera kuruhusu treni maalumu iliyoandaliwa kutokana na idadi kubwa ya abiria wanaoelekea Moshi kuongezeka katika kipindi cha sikukuu za mwisho wa mwaka. Soma zaidi
-
21
December
2019TUHUMA ZA KUPUNGUZA BEHEWA ZA KIGOMA NA KUPELEKWA NJIA YA KASKAZINI (DAR ES ALAAM - KILIMANJARO)
Kumekuwa na taarifa zinazosambaa katika mitandao ya kijamii zikiwa na ujumbe wenye lengo la kupotosha umma kuhusu kupunguzwa idadi ya mabehewa ya treni zinazofanya safari za reli ya kati kutoka Dar es Salaam - Kigoma na kupelekwa njia ya kaskazini (Dar es salaam - Kilimanjaro). Soma zaidi
-
16
December
2019SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAENDELEA NA KAMPENI YA UELEWA KUHUSU MIRADI INAYOSIMAMIWA NA TRC
Wakati Shirika la Reli Tanzania -TRC linaendelea kuadhimisha Wiki ya TRC kwa kutembelea vyombo vya habari tofauti Nchini Soma zaidi