Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​MHE. KASEKENYA; WAZAWA ZAIDI YA 1000 KUPEWA KIPAUMBELE CHA AJIRA MRADI WA SGR
    23
    December
    2021

    ​MHE. KASEKENYA; WAZAWA ZAIDI YA 1000 KUPEWA KIPAUMBELE CHA AJIRA MRADI WA SGR

    ​Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Mhandisi Godfrey Kasekenya amefanya ziara ya kutembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha kwanza kutoka Morogoro hadi Dar es Salaam Disemba 22, 2021. Soma zaidi

  • ​KATIBU MKUU KIONGOZI ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA DAR – MORO
    21
    December
    2021

    ​KATIBU MKUU KIONGOZI ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA DAR – MORO

    Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Hussein Kattanga atembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro ikiwa ni ziara ya kikazi kuona maendeleo ya mradi wa SGR, Disemba 20, 2021. Soma zaidi

  • ​CHUO CHA TEKNOLOJIA YA RELI NCHINI CHAFANYA MAHAFALI YA KWANZA
    18
    December
    2021

    ​CHUO CHA TEKNOLOJIA YA RELI NCHINI CHAFANYA MAHAFALI YA KWANZA

    Chuo cha Teknolojia ya Reli Tanzania – TIRTEC chafanya mahafali ya kwanza kwa wahitimu wa ngazi ya Astashahada na Stashahada kwa wahitimu wa taaluma mbalimbali, mahafali hayo yamefanyika katika viwanja vya chuo cha reli mkoani Tabora, Disemba 18, 2021. Soma zaidi

  • ​WAKAZI 500 KUPISHA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA UMEME MRADI WA SGR- KILOSA
    08
    December
    2021

    ​WAKAZI 500 KUPISHA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA UMEME MRADI WA SGR- KILOSA

    Shirika la Reli Tanzania- TRC linaendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi ili kupisha ujenzi wa miundombinu ya umeme ya mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha pili Morogoro- Makutupora Soma zaidi

  • ​WANANCHI WAJIVUNIA MRADI WA SGR MWANZA - ISAKA
    01
    December
    2021

    ​WANANCHI WAJIVUNIA MRADI WA SGR MWANZA - ISAKA

    Shirika la Reli Tanzania- TRC linaendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi ambao maeneo yao yametwaliwa kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha tano Mwanza - Isaka ambapo wananchi wameonesha kujivunia uwepo wa mradi wa SGR Soma zaidi

  • ​WAKAZI TAKRIBANI 700 KULIPWA FIDIA WILAYANI KILOSA
    01
    December
    2021

    ​WAKAZI TAKRIBANI 700 KULIPWA FIDIA WILAYANI KILOSA

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendesha zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi takribani mia saba (700) katika wilaya ya Kilosa mkoa wa Morogoro ambao ardhi zao zilitwaliwa kupisha ujenzi wa reli ya kisasa -SGR Novemba 2021. Soma zaidi