Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​HUNDI 799 KULIPWA KWA WANANCHI KUPISHA UJENZI WA SGR MWANZA- ISAKA
    22
    November
    2021

    ​HUNDI 799 KULIPWA KWA WANANCHI KUPISHA UJENZI WA SGR MWANZA- ISAKA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limeanza zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi ili kuanza ujenzi wa njia kuu ya reli ya kisasa kipande cha tano Mwanza - Isaka lililofanyika katika maeneo ya Nyashimba , Sekebugolo na Muhida mkoa wa Shinyanga na Simiyu hivi karibuni Novemba , 2021 Soma zaidi

  • ​WANANCHI BAHI MKOANI DODOMA WALIPWA FIDIA KUPISHA MRADI WA SGR
    21
    November
    2021

    ​WANANCHI BAHI MKOANI DODOMA WALIPWA FIDIA KUPISHA MRADI WA SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo yao kupisha ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa katika Kijiji cha Bahi Sokoni na Bahi Makulu Soma zaidi

  • TRC YAPOKEA VICHWA VIPYA VITATU VYA TRENI ZA RELI YA MGR
    17
    November
    2021

    TRC YAPOKEA VICHWA VIPYA VITATU VYA TRENI ZA RELI YA MGR

    Shirika la Reli Tanzania – TRC limepokea vichwa vitatu vya treni za reli ya MGR, vichwa hivyo vimenunuliwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Mradi wa Uboreshaji wa Reli ya Kati - TIRP, hafla fupi ya upokeaji imefanyika katika bandari ya Dar es Salaam Novemba 17, 2021. Soma zaidi

  • ​BODI YA SHIVYAWATA YARIDHISHWA SGR ILIVYOZINGATIA MAHITAJI YA WATU WENYE ULEMAVU
    31
    October
    2021

    ​BODI YA SHIVYAWATA YARIDHISHWA SGR ILIVYOZINGATIA MAHITAJI YA WATU WENYE ULEMAVU

    Bodi ya Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) imetembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha kwanza Dar es Salaam - Morogoro Soma zaidi

  • ​​ZAIDI YA KAYA 35 KULIPWA FIDIA MASWA MKOANI SHINYANGA
    28
    October
    2021

    ​​ZAIDI YA KAYA 35 KULIPWA FIDIA MASWA MKOANI SHINYANGA

    ​Shirika la Reli Tanzania- TRC linaendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa kaya zaidi ya 35 ambazo maeneo yao yalitwaliwa awali ili kupisha ujenzi wa reli ya kisasa kipande cha tano Mwanza - Isaka , linalofanyika katika kata ya Seke Bugolo na kata ya Malampaka wilayani Maswa hivi karibuni Oktoba, 2021. Soma zaidi

  • ​TRC YAFANYA KIKAO CHA MWISHO CHA BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI
    27
    October
    2021

    ​TRC YAFANYA KIKAO CHA MWISHO CHA BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limefanya kikao cha mwisho cha Baraza Kuu la Wafanyakazi kwa lengo la kutathimini mambo yaliyofanyika katika shirika ili kuzidi kuboresha ufanisi wa kazi Soma zaidi