Habari Mpya
-
17
November
2021TRC YAPOKEA VICHWA VIPYA VITATU VYA TRENI ZA RELI YA MGR
Shirika la Reli Tanzania – TRC limepokea vichwa vitatu vya treni za reli ya MGR, vichwa hivyo vimenunuliwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Mradi wa Uboreshaji wa Reli ya Kati - TIRP, hafla fupi ya upokeaji imefanyika katika bandari ya Dar es Salaam Novemba 17, 2021. Soma zaidi
-
31
October
2021BODI YA SHIVYAWATA YARIDHISHWA SGR ILIVYOZINGATIA MAHITAJI YA WATU WENYE ULEMAVU
Bodi ya Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) imetembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha kwanza Dar es Salaam - Morogoro Soma zaidi
-
28
October
2021ZAIDI YA KAYA 35 KULIPWA FIDIA MASWA MKOANI SHINYANGA
Shirika la Reli Tanzania- TRC linaendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa kaya zaidi ya 35 ambazo maeneo yao yalitwaliwa awali ili kupisha ujenzi wa reli ya kisasa kipande cha tano Mwanza - Isaka , linalofanyika katika kata ya Seke Bugolo na kata ya Malampaka wilayani Maswa hivi karibuni Oktoba, 2021. Soma zaidi
-
27
October
2021TRC YAFANYA KIKAO CHA MWISHO CHA BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI
Shirika la Reli Tanzania - TRC limefanya kikao cha mwisho cha Baraza Kuu la Wafanyakazi kwa lengo la kutathimini mambo yaliyofanyika katika shirika ili kuzidi kuboresha ufanisi wa kazi Soma zaidi
-
26
October
2021TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA UTOAJI ELIMU NA UHAMASISHAJI KWA UMMA KUPISHA MRADI WA UJENZI WA SGR MWANZA - ISAKA
Shirika la Reli Tanzania linaendelea na zoezi la utoaji elimu, kuhamasisha umma na uhamishaji wa makaburi ili kupisha ujenzi wa Reli ya Kisasa katika vvijiji sita (6) Soma zaidi
-
24
October
2021RAIS WA BURUNDI APANDA TRENI YA MAJARIBIO YA SGR KUTOKA PUGU HADI KWALA MKOANI PWANI
Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye atembelea mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR kipande cha Dar Es Salaam – Morogoro kwa kutumia treni ya uhandisi kutoka stesheni ya SGR Pugu hadi Kwala mkoani Pwani hivi karibuni 23 Oktoba, 2021. Soma zaidi