Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YAKAMILISHA ZIARA YAKE KUKAGUA MRADI WA SGR NA KARAKANA
    14
    March
    2021

    KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YAKAMILISHA ZIARA YAKE KUKAGUA MRADI WA SGR NA KARAKANA

    Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu yakamilisha ziara ya siku mbili kukagua Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa Dar es Salaam - Makutupora Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA KUTOA FURSA YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANANCHI WA MPWAPWA MKOANI DODOMA
    13
    March
    2021

    ​TRC YAENDELEA KUTOA FURSA YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANANCHI WA MPWAPWA MKOANI DODOMA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea kutoa fursa ya mafunzo ya ujasiriamali kwa wananchi waliotwaliwa na ardhi na kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi

  • WAFANYAKAZI WANAWAKE  WA TRC WASHIRIKI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
    09
    March
    2021

    WAFANYAKAZI WANAWAKE WA TRC WASHIRIKI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

    Wafanyakazi Wanawake wa Shirika La Reli Tanzania washiriki siku ya Wanawake Duniani inayoadhimishwa kimataifa kila mwaka Machi 08. Soma zaidi

  • ​WANANCHI JIJINI MWANZA WASHUKURU UJIO WA MRADI WA SGR
    02
    March
    2021

    ​WANANCHI JIJINI MWANZA WASHUKURU UJIO WA MRADI WA SGR

    ​Wananchi wa kijiji cha Nyamatala kata ya Ukiliguru wilaya ya Misungwi jijini Mwanza wameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ujio wa Mradi wa Reli ya Kisasa – SGR jijini humo kufuatia hatua za awali za maandalizi kwa ajili ya mradi huo kuanza, hivi karibuni Machi 2021. Soma zaidi

  • ​MAENEO ZAIDI YA ISHIRINI NA NANE YANUFAIKA NA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI
    02
    March
    2021

    ​MAENEO ZAIDI YA ISHIRINI NA NANE YANUFAIKA NA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI

    Shirika la Reli Tanzania – TRC limewanufaisha wananchi wa maeneo zaidi ya ishirini na nane kwa kutoa elimu ya mafunzo ya ujasiriamali na kujikwamua kiuchumi kwa wananchi waliotwaliwa na ardhi na kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha kwanza Dar es Salaam – Morogoro, Februari 2021, hivi karibuni. Soma zaidi

  • ​WANANCHI WAHAMASIKA, WAJITOKEZA KUPATA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI
    25
    February
    2021

    ​WANANCHI WAHAMASIKA, WAJITOKEZA KUPATA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea kuwapa hamasa wananchi waliotwaliwa ardhi na kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha kwanza Dar es Salaam- Morogoro Soma zaidi