Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • TRC YAPOKEA VICHWA VIPYA VITATU VYA TRENI ZA RELI YA MGR
    17
    November
    2021

    TRC YAPOKEA VICHWA VIPYA VITATU VYA TRENI ZA RELI YA MGR

    Shirika la Reli Tanzania – TRC limepokea vichwa vitatu vya treni za reli ya MGR, vichwa hivyo vimenunuliwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Mradi wa Uboreshaji wa Reli ya Kati - TIRP, hafla fupi ya upokeaji imefanyika katika bandari ya Dar es Salaam Novemba 17, 2021. Soma zaidi

  • ​BODI YA SHIVYAWATA YARIDHISHWA SGR ILIVYOZINGATIA MAHITAJI YA WATU WENYE ULEMAVU
    31
    October
    2021

    ​BODI YA SHIVYAWATA YARIDHISHWA SGR ILIVYOZINGATIA MAHITAJI YA WATU WENYE ULEMAVU

    Bodi ya Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) imetembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha kwanza Dar es Salaam - Morogoro Soma zaidi

  • ​​ZAIDI YA KAYA 35 KULIPWA FIDIA MASWA MKOANI SHINYANGA
    28
    October
    2021

    ​​ZAIDI YA KAYA 35 KULIPWA FIDIA MASWA MKOANI SHINYANGA

    ​Shirika la Reli Tanzania- TRC linaendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa kaya zaidi ya 35 ambazo maeneo yao yalitwaliwa awali ili kupisha ujenzi wa reli ya kisasa kipande cha tano Mwanza - Isaka , linalofanyika katika kata ya Seke Bugolo na kata ya Malampaka wilayani Maswa hivi karibuni Oktoba, 2021. Soma zaidi

  • ​TRC YAFANYA KIKAO CHA MWISHO CHA BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI
    27
    October
    2021

    ​TRC YAFANYA KIKAO CHA MWISHO CHA BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limefanya kikao cha mwisho cha Baraza Kuu la Wafanyakazi kwa lengo la kutathimini mambo yaliyofanyika katika shirika ili kuzidi kuboresha ufanisi wa kazi Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA UTOAJI ELIMU NA UHAMASISHAJI KWA UMMA KUPISHA MRADI WA UJENZI WA SGR MWANZA - ISAKA
    26
    October
    2021

    ​TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA UTOAJI ELIMU NA UHAMASISHAJI KWA UMMA KUPISHA MRADI WA UJENZI WA SGR MWANZA - ISAKA

    ​Shirika la Reli Tanzania linaendelea na zoezi la utoaji elimu, kuhamasisha umma na uhamishaji wa makaburi ili kupisha ujenzi wa Reli ya Kisasa katika vvijiji sita (6) Soma zaidi

  • RAIS WA BURUNDI APANDA TRENI YA MAJARIBIO YA SGR KUTOKA PUGU HADI KWALA MKOANI PWANI
    24
    October
    2021

    RAIS WA BURUNDI APANDA TRENI YA MAJARIBIO YA SGR KUTOKA PUGU HADI KWALA MKOANI PWANI

    ​Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye atembelea mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR kipande cha Dar Es Salaam – Morogoro kwa kutumia treni ya uhandisi kutoka stesheni ya SGR Pugu hadi Kwala mkoani Pwani hivi karibuni 23 Oktoba, 2021. Soma zaidi