Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • WASANII, MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA WAFIKA MKOANI KIGOMA
    24
    July
    2021

    WASANII, MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA WAFIKA MKOANI KIGOMA

    Mashabiki wa mpira wa miguu wa Simba na Yanga pamoja na Wasanii mbalimbali wa muziki wa kizazi kipya waingia mkoani Kigoma leo Julai 24, 2021 Soma zaidi

  • TRENI ILIYOBEBA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA YAANZA SAFARI KUELEKEA KIGOMA
    23
    July
    2021

    TRENI ILIYOBEBA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA YAANZA SAFARI KUELEKEA KIGOMA

    Treni ya Deluxe iliyobeba Wasanii na Mashabiki wa mpira wa miguu imeanza safari katika Stesheni ya Kamata jijini Dar es Salaam kuelekea Kigoma kwenye mechi kati ya Simba na Yanga inayotarajiwa kuchezwa Julai 25, 2021. Soma zaidi

  • ​TRC, CLOUDS MEDIA GROUP KUSAFIRISHA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA KUELEKEA MKOANI KIGOMA
    19
    July
    2021

    ​TRC, CLOUDS MEDIA GROUP KUSAFIRISHA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA KUELEKEA MKOANI KIGOMA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC kwa kushirikiana na kampuni ya Clouds Media Group wameandaa treni maalumu itakayobeba mashabiki wa mpira wa miguu kuelekea mkoani Kigoma Soma zaidi

  • WANANCHI MWANZA WAIPOKEA KAMPENI YA UELEWA KUHUSU MRADI WA UJENZI WA SGR MWANZA - ISAKA
    11
    July
    2021

    WANANCHI MWANZA WAIPOKEA KAMPENI YA UELEWA KUHUSU MRADI WA UJENZI WA SGR MWANZA - ISAKA

    Shirika la Reli Tanzania – TRC linaendelea na kampeni maalum ya utoaji wa elimu juu ya ujenzi wa Reli ya kisasa SGR, Soma zaidi

  • MARAIS WASTAAFU WAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA RELI YA KISASA
    07
    July
    2021

    MARAIS WASTAAFU WAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA RELI YA KISASA

    Marais Watsaafu pamoja na Mawaziri Wakuu Wastaafu wafanya ziara ya siku moja kukagua Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kuanzia Kilosa mkoani Morogoro hadi jijini Dar es Salaam, Julai 06, 2021. Soma zaidi

  • KAMPENI YA UELEWA KWA JAMII KUHUSU MRADI WA UJENZI WA SGR, MWANZA – ISAKA YAPIGA HODI KWIMBA MKOANI MWANZA
    01
    July
    2021

    KAMPENI YA UELEWA KWA JAMII KUHUSU MRADI WA UJENZI WA SGR, MWANZA – ISAKA YAPIGA HODI KWIMBA MKOANI MWANZA

    Shirika la Reli Tanzania – TRC linaendelea na kampeni maalum ya kutoa elimu ya uelewa kuhusu Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa SGR, kipande cha tano, Mwanza – Isaka (Km 341), kwa jamii zinazoishi maeneo ya kanda ya ziwa. Soma zaidi