Habari Mpya
-
23
January
2022TRC YAENDELEA NA MALIPO YA FIDIA DODOMA NA SINGIDA
Shirika la Reli Tanzania -TRC limeendelea na ulipaji wa fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo kupisha mradi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha pili cha Mradi wa Reli ya Kisasa Soma zaidi
-
28
December
2021RAIS SAMIA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MKATABA WA UJENZI WA RELI YA KISASA MAKUTUPORA - TABORA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGRkipande cha Tatu Makutupora – Tabora chenyeurefu wa kilomita 368 katika hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam Disemba 28 , 2021. Soma zaidi
-
24
December
2021ZAIDI YA ABIRIA 1,500 WATUMIA USAFIRI WA TRENI KUTOKA DAR- ARUSHA
Shirika la Reli Tanzania linaendelea na huduma za usafiri wa treni katika mikoa ya Kaskazini kutoka Dar es Salaam, Moshi hadi Arusha ambapo zaidi ya abiria 1,500 wameondoka na treni ya Deluxe yenye behewa 20 jijini Dar es Salaam kuelekea Arusha, Disemba 24, 2021. Soma zaidi
-
23
December
2021MHE. KASEKENYA; WAZAWA ZAIDI YA 1000 KUPEWA KIPAUMBELE CHA AJIRA MRADI WA SGR
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Mhandisi Godfrey Kasekenya amefanya ziara ya kutembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha kwanza kutoka Morogoro hadi Dar es Salaam Disemba 22, 2021. Soma zaidi
-
21
December
2021KATIBU MKUU KIONGOZI ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA DAR – MORO
Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Hussein Kattanga atembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro ikiwa ni ziara ya kikazi kuona maendeleo ya mradi wa SGR, Disemba 20, 2021. Soma zaidi
-
18
December
2021CHUO CHA TEKNOLOJIA YA RELI NCHINI CHAFANYA MAHAFALI YA KWANZA
Chuo cha Teknolojia ya Reli Tanzania – TIRTEC chafanya mahafali ya kwanza kwa wahitimu wa ngazi ya Astashahada na Stashahada kwa wahitimu wa taaluma mbalimbali, mahafali hayo yamefanyika katika viwanja vya chuo cha reli mkoani Tabora, Disemba 18, 2021. Soma zaidi