Habari Mpya
-
13
October
2021WANAFUNZI WA CHUO CHA UKAMANDA NA UNADHIMU - JWTZ WAJIONEA MAENDELEO YA MRADI WA SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC limepokea ugeni kutoka kwa wanafunzi wa ukamanda na unadhimu kutoka chuo cha Jeshi la Wananchi kilichopo Arusha Tanzania kwa lengo la kuwaonesha maendeleo ya mradi wa reli ya kisasa - SGR walipotembelea ofisi za TRC na kujionea jingo la stesheni ya Dar es Salaam Oktoba 13, 2021. Soma zaidi
-
08
October
2021MKURUGENZI MKUU TRC AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA KUJADILI MRADI WA SGR ISAKA - KIGALI
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania – TRC Masanja Kadogosa akutana na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania Meja Jenerali Charles Karamba Soma zaidi
-
06
October
2021BEHEWA MPYA 44 ZATUA BANDARI YA DAR ES SALAAM, ZAPOKELEWA NA WAZIRI MBARAWA
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amepokea Behewa mpya 44 za mizigo za Shirika la Reli Tanzania – TRC zilizonunuliwa kupitia Mradi wa Uboreshaji wa Reli ya Kati – TIRP, bandarini jijini Dar es SalaamOktoba 06, 2021. Soma zaidi
-
15
September
2021FIDIA ZA MAENEO YA NYONGEZA ZAZIDI KUWANUFAISHA WANANCHI MOROGORO NA DODOMA
Shirika la Reli Tanzania – TRC limeendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi ambao maeneo yao yametwaliwa ili kupisha shughuli za Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR Soma zaidi
-
13
September
2021MRADI WA SGR WAPAMBA MOTO, TRENI YATEMBEA KUTOKA PUGU HADI KILOSA
Kipande cha reli kutoka Pugu Dar es Salaam hadi Kilosa mkoani Morogoro chakamilika ambapo Waziri Mkuu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amembelea kipande hiko cha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi
-
10
September
2021TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI
Shirika la Reli Tanzania - TRC hivi karibuni limeendelea na zoezi la ulipaji fidia kama kifuta machozi kwa ndugu wa marehemu sita katika mtaa wa Kifuru kata ya Kinyerezi Manispaa ya Ilala Jijini Dar Es Salaam Soma zaidi