Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​WAKAZI TAKRIBANI 700 KULIPWA FIDIA WILAYANI KILOSA
    01
    December
    2021

    ​WAKAZI TAKRIBANI 700 KULIPWA FIDIA WILAYANI KILOSA

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendesha zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi takribani mia saba (700) katika wilaya ya Kilosa mkoa wa Morogoro ambao ardhi zao zilitwaliwa kupisha ujenzi wa reli ya kisasa -SGR Novemba 2021. Soma zaidi

  • RAIS MUSEVENI ATEMBELEA JENGO LA STESHENI YA SGR LA TANZANITE JIJINI DAR ES SLAAM
    28
    November
    2021

    RAIS MUSEVENI ATEMBELEA JENGO LA STESHENI YA SGR LA TANZANITE JIJINI DAR ES SLAAM

    ​Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni amefanya ziara kutembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR katika Stesheni ya SGR jijini, Novemba 28, 2021. Soma zaidi

  • ​HUNDI 799 KULIPWA KWA WANANCHI KUPISHA UJENZI WA SGR MWANZA- ISAKA
    22
    November
    2021

    ​HUNDI 799 KULIPWA KWA WANANCHI KUPISHA UJENZI WA SGR MWANZA- ISAKA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limeanza zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi ili kuanza ujenzi wa njia kuu ya reli ya kisasa kipande cha tano Mwanza - Isaka lililofanyika katika maeneo ya Nyashimba , Sekebugolo na Muhida mkoa wa Shinyanga na Simiyu hivi karibuni Novemba , 2021 Soma zaidi

  • ​WANANCHI BAHI MKOANI DODOMA WALIPWA FIDIA KUPISHA MRADI WA SGR
    21
    November
    2021

    ​WANANCHI BAHI MKOANI DODOMA WALIPWA FIDIA KUPISHA MRADI WA SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo yao kupisha ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa katika Kijiji cha Bahi Sokoni na Bahi Makulu Soma zaidi

  • TRC YAPOKEA VICHWA VIPYA VITATU VYA TRENI ZA RELI YA MGR
    17
    November
    2021

    TRC YAPOKEA VICHWA VIPYA VITATU VYA TRENI ZA RELI YA MGR

    Shirika la Reli Tanzania – TRC limepokea vichwa vitatu vya treni za reli ya MGR, vichwa hivyo vimenunuliwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Mradi wa Uboreshaji wa Reli ya Kati - TIRP, hafla fupi ya upokeaji imefanyika katika bandari ya Dar es Salaam Novemba 17, 2021. Soma zaidi

  • ​BODI YA SHIVYAWATA YARIDHISHWA SGR ILIVYOZINGATIA MAHITAJI YA WATU WENYE ULEMAVU
    31
    October
    2021

    ​BODI YA SHIVYAWATA YARIDHISHWA SGR ILIVYOZINGATIA MAHITAJI YA WATU WENYE ULEMAVU

    Bodi ya Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) imetembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha kwanza Dar es Salaam - Morogoro Soma zaidi