Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​KAMATI YA BUNGE YA BAJETI YAIPONGEZA WIZARA YA UCHUKUZI NA TRC
    07
    March
    2022

    ​KAMATI YA BUNGE YA BAJETI YAIPONGEZA WIZARA YA UCHUKUZI NA TRC

    Kamati ya Bunge ya Bajeti ikiongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Daniel Sillo imefanya ziara kukagua mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro kuanzia stesheni ya Dar es Salaam hadi Soga mkoani Pwani Machi 7, 2022. Soma zaidi

  • ​PROF. MBARAWA AIPONGEZA TRC KWA USIMAMIZI MZURI WA MRADI WA SGR
    04
    March
    2022

    ​PROF. MBARAWA AIPONGEZA TRC KWA USIMAMIZI MZURI WA MRADI WA SGR

    Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa amelipongeza Shirika la Reli Tanzania – TRC kwa usimamizi mzuri wa mradi wa reli ya kisasa – SGR alipofanya ziara katika mradi wa SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro kuanzia Dar es Salaam hadi Kwala mkoani Pwani Machi 3, 2022. Soma zaidi

  • ​WAFANYAKAZI TRC WASHIRIKI MAFUNZO MAALUMU YA AJIRA NA MAZINGIRA YA KAZI KATIKA UTEKELEZAJI MIRADI
    26
    February
    2022

    ​WAFANYAKAZI TRC WASHIRIKI MAFUNZO MAALUMU YA AJIRA NA MAZINGIRA YA KAZI KATIKA UTEKELEZAJI MIRADI

    ​Wafanyakazi wa Idara mbalimbali kutoka Shirika la Reli Tanzania - TRC hivi karibuni wameshiriki semina ya mafunzo ya uelewa kuhusu utekelezaji wa Sheria na Sera Soma zaidi

  • ​MKATABA WA UNUNUZI WA BEHEWA 1430 ZA MIZIGO ZA RELI YA KISASA – SGR WASAINIWA
    08
    February
    2022

    ​MKATABA WA UNUNUZI WA BEHEWA 1430 ZA MIZIGO ZA RELI YA KISASA – SGR WASAINIWA

    ​Shirika la Reli Tanzania – TRC limesaini mkataba na kampuni ya CRRC International kutoka nchini China kwaajili ya ununuzi wa Behewa 1430 za mizigo zitakazotumika katika reli ya kisasa – SGR, hafla ya utiaji saini imefanyika katika ukumbi wa mikutano makao makuu TRC Februari 08, 2022. Soma zaidi

  • ​MKURUGENZI MKUU TRC ATOA NENO LA SHUKURANI, AONESHA JARIDA LA RELI NA MATUKIO 2021
    26
    January
    2022

    ​MKURUGENZI MKUU TRC ATOA NENO LA SHUKURANI, AONESHA JARIDA LA RELI NA MATUKIO 2021

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania – TRC Masanja Kadogosa amekutana na waandishi wa habari na kutoa neno la shukurani kwa niaba ya Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Wafanyakazi wa TRC Soma zaidi

  • ​TRC YAANDAA SEMINA YA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA.
    26
    January
    2022

    ​TRC YAANDAA SEMINA YA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA.

    ​Kitengo cha Masuala ya Jamii Shirika la Reli Tanzania - TRC kimefanya warsha ya kupinga ukatili wa jinsia kwa wafanyakazi, wateja na wadau wa TRC katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa kushirikiana na wataalamu wa masuala ya kijinsia wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Soma zaidi