Habari Mpya
-
11
March
2022WAZIRI MBARAWA AIPONGEZA TRC KWA JITIHADA ZA HARAKA KUREJESHA NJIA KIDETE
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa, ametembelea eneo la reli lililosombwa na maji Soma zaidi
-
08
March
2022WANAWAKE TRC WASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania - TRC Ndugu Masanja Kadogosa amejumuika pamoja na wanawake wa TRC kusherehekea siku ya wanawake Duniani katika jengo la Stesheni ya reli ya kisasa – SGR jijini Dar es Salaam, March 8 2022. Soma zaidi
-
07
March
2022KAMATI YA BUNGE YA BAJETI YAIPONGEZA WIZARA YA UCHUKUZI NA TRC
Kamati ya Bunge ya Bajeti ikiongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Daniel Sillo imefanya ziara kukagua mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro kuanzia stesheni ya Dar es Salaam hadi Soga mkoani Pwani Machi 7, 2022. Soma zaidi
-
04
March
2022PROF. MBARAWA AIPONGEZA TRC KWA USIMAMIZI MZURI WA MRADI WA SGR
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa amelipongeza Shirika la Reli Tanzania – TRC kwa usimamizi mzuri wa mradi wa reli ya kisasa – SGR alipofanya ziara katika mradi wa SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro kuanzia Dar es Salaam hadi Kwala mkoani Pwani Machi 3, 2022. Soma zaidi
-
26
February
2022WAFANYAKAZI TRC WASHIRIKI MAFUNZO MAALUMU YA AJIRA NA MAZINGIRA YA KAZI KATIKA UTEKELEZAJI MIRADI
Wafanyakazi wa Idara mbalimbali kutoka Shirika la Reli Tanzania - TRC hivi karibuni wameshiriki semina ya mafunzo ya uelewa kuhusu utekelezaji wa Sheria na Sera Soma zaidi
-
08
February
2022MKATABA WA UNUNUZI WA BEHEWA 1430 ZA MIZIGO ZA RELI YA KISASA – SGR WASAINIWA
Shirika la Reli Tanzania – TRC limesaini mkataba na kampuni ya CRRC International kutoka nchini China kwaajili ya ununuzi wa Behewa 1430 za mizigo zitakazotumika katika reli ya kisasa – SGR, hafla ya utiaji saini imefanyika katika ukumbi wa mikutano makao makuu TRC Februari 08, 2022. Soma zaidi