Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • RIPOTI ZAFANANA NA UHALISIA; MRADI WA SGR MOROGORO – MAKUTUPORA WAFIKA 70%
    30
    August
    2021

    RIPOTI ZAFANANA NA UHALISIA; MRADI WA SGR MOROGORO – MAKUTUPORA WAFIKA 70%

    Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, sekta ya Uchukuzi Bw. Gabriel Migire ametembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Morogoro – Makutupora katika eneo linalojengwa Mahandaki Kilosa mkoani Morogoro Agosti 29, 2021. Soma zaidi

  • JAMII YA WAFUGAJI MOROGORO VIJIJINI YAPEWA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA VIVUKO KUEPUSHA UHARIBIFU WA MIUNDOMBINU YA SGR
    14
    August
    2021

    JAMII YA WAFUGAJI MOROGORO VIJIJINI YAPEWA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA VIVUKO KUEPUSHA UHARIBIFU WA MIUNDOMBINU YA SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC likiendelea na kampeni ya uelewa kwa jamii kuhusu usalama na ulinzi wa miundombinu ya Reli ya kisasa – SGR Soma zaidi

  • ZAIDI YA KATA 15 ZAPEWA ELIMU YA UELEWA KUHUSU USALAMA NA ULINZI WA MIUNDOMBINU YA RELI YA KISASA - SGR
    05
    August
    2021

    ZAIDI YA KATA 15 ZAPEWA ELIMU YA UELEWA KUHUSU USALAMA NA ULINZI WA MIUNDOMBINU YA RELI YA KISASA - SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea na kampeni ya uelewa kwa jamii kuhusu usalama na ulinzi wa miundombinu ya Reli ya kisasa – SGR katika awamu ya kwanza ya mradi Dar es Salaam mpaka hadi Morogoro Soma zaidi

  • TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA KWA WANANCHI MKOANI MOROGORO
    04
    August
    2021

    TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA KWA WANANCHI MKOANI MOROGORO

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea kuwanufaisha wananchi mkoani Morogoro kufuatia zoezi endelevu la ulipaji wa fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo yao kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi

  • MENEJIMENTI YA TRC YAANZA MAFUNZO YA MFUMO WA UPIMAJI WA UTENDAJI KWA WATUMISHI
    03
    August
    2021

    MENEJIMENTI YA TRC YAANZA MAFUNZO YA MFUMO WA UPIMAJI WA UTENDAJI KWA WATUMISHI

    Shirika la Reli Tanzania - TRC laanza kupokea mafunzo ya siku tatu kuhusu mfumo wawazi wa upimajiwa utendaji kazi wa watumishi – OPRAS(Open Performance Appraisal System), mafunzoambayo yanafanyika katika ukumbi wa mikutano wa Bandari jijini Dar es Salaam kuanzia Agosti 2 hadi 4, 2021. Soma zaidi

  • ​MKUU WA MKOA WA MWANZA AWAONYA WATAKAOHUJUMU UJENZI WA SGR MWANZA - ISAKA
    02
    August
    2021

    ​MKUU WA MKOA WA MWANZA AWAONYA WATAKAOHUJUMU UJENZI WA SGR MWANZA - ISAKA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na kampeni ya uelewa kwa jamii kuhusu mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR Mwanza hadi Isaka. Soma zaidi