Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • MKURUGENZI MKUU TRC AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA KUJADILI MRADI WA SGR ISAKA - KIGALI
    08
    October
    2021

    MKURUGENZI MKUU TRC AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA KUJADILI MRADI WA SGR ISAKA - KIGALI

    ​Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania – TRC Masanja Kadogosa akutana na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania Meja Jenerali Charles Karamba Soma zaidi

  • BEHEWA MPYA 44 ZATUA BANDARI YA DAR ES SALAAM, ZAPOKELEWA NA WAZIRI MBARAWA
    06
    October
    2021

    BEHEWA MPYA 44 ZATUA BANDARI YA DAR ES SALAAM, ZAPOKELEWA NA WAZIRI MBARAWA

    Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amepokea Behewa mpya 44 za mizigo za Shirika la Reli Tanzania – TRC zilizonunuliwa kupitia Mradi wa Uboreshaji wa Reli ya Kati – TIRP, bandarini jijini Dar es SalaamOktoba 06, 2021. Soma zaidi

  • FIDIA ZA MAENEO YA NYONGEZA ZAZIDI KUWANUFAISHA WANANCHI MOROGORO NA DODOMA
    15
    September
    2021

    FIDIA ZA MAENEO YA NYONGEZA ZAZIDI KUWANUFAISHA WANANCHI MOROGORO NA DODOMA

    Shirika la Reli Tanzania – TRC limeendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi ambao maeneo yao yametwaliwa ili kupisha shughuli za Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR Soma zaidi

  • MRADI WA SGR WAPAMBA MOTO, TRENI YATEMBEA KUTOKA PUGU HADI KILOSA
    13
    September
    2021

    MRADI WA SGR WAPAMBA MOTO, TRENI YATEMBEA KUTOKA PUGU HADI KILOSA

    Kipande cha reli kutoka Pugu Dar es Salaam hadi Kilosa mkoani Morogoro chakamilika ambapo Waziri Mkuu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amembelea kipande hiko cha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi

  • TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI
    10
    September
    2021

    TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI

    Shirika la Reli Tanzania - TRC hivi karibuni limeendelea na zoezi la ulipaji fidia kama kifuta machozi kwa ndugu wa marehemu sita katika mtaa wa Kifuru kata ya Kinyerezi Manispaa ya Ilala Jijini Dar Es Salaam Soma zaidi

  • KATIBU MKUU UTUMISHI ATEMBELEA MRADI WA SGR, WATUMISHI ZAIDI YA 1000 KUAJIRIWA
    05
    September
    2021

    KATIBU MKUU UTUMISHI ATEMBELEA MRADI WA SGR, WATUMISHI ZAIDI YA 1000 KUAJIRIWA

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Utumishi Dkt. Laurean Ndumbaro pamoja na Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wametembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha Morogoro – Makutupora Septemba 04, 2021. Soma zaidi