Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​WAZIRI MBARAWA AIPONGEZA TRC KWA JITIHADA ZA HARAKA KUREJESHA NJIA KIDETE
    11
    March
    2022

    ​WAZIRI MBARAWA AIPONGEZA TRC KWA JITIHADA ZA HARAKA KUREJESHA NJIA KIDETE

    Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa, ametembelea eneo la reli lililosombwa na maji Soma zaidi

  • ​WANAWAKE TRC WASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
    08
    March
    2022

    ​WANAWAKE TRC WASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

    Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania - TRC Ndugu Masanja Kadogosa amejumuika pamoja na wanawake wa TRC kusherehekea siku ya wanawake Duniani katika jengo la Stesheni ya reli ya kisasa – SGR jijini Dar es Salaam, March 8 2022. Soma zaidi

  • ​KAMATI YA BUNGE YA BAJETI YAIPONGEZA WIZARA YA UCHUKUZI NA TRC
    07
    March
    2022

    ​KAMATI YA BUNGE YA BAJETI YAIPONGEZA WIZARA YA UCHUKUZI NA TRC

    Kamati ya Bunge ya Bajeti ikiongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Daniel Sillo imefanya ziara kukagua mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro kuanzia stesheni ya Dar es Salaam hadi Soga mkoani Pwani Machi 7, 2022. Soma zaidi

  • ​PROF. MBARAWA AIPONGEZA TRC KWA USIMAMIZI MZURI WA MRADI WA SGR
    04
    March
    2022

    ​PROF. MBARAWA AIPONGEZA TRC KWA USIMAMIZI MZURI WA MRADI WA SGR

    Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa amelipongeza Shirika la Reli Tanzania – TRC kwa usimamizi mzuri wa mradi wa reli ya kisasa – SGR alipofanya ziara katika mradi wa SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro kuanzia Dar es Salaam hadi Kwala mkoani Pwani Machi 3, 2022. Soma zaidi

  • ​WAFANYAKAZI TRC WASHIRIKI MAFUNZO MAALUMU YA AJIRA NA MAZINGIRA YA KAZI KATIKA UTEKELEZAJI MIRADI
    26
    February
    2022

    ​WAFANYAKAZI TRC WASHIRIKI MAFUNZO MAALUMU YA AJIRA NA MAZINGIRA YA KAZI KATIKA UTEKELEZAJI MIRADI

    ​Wafanyakazi wa Idara mbalimbali kutoka Shirika la Reli Tanzania - TRC hivi karibuni wameshiriki semina ya mafunzo ya uelewa kuhusu utekelezaji wa Sheria na Sera Soma zaidi

  • ​MKATABA WA UNUNUZI WA BEHEWA 1430 ZA MIZIGO ZA RELI YA KISASA – SGR WASAINIWA
    08
    February
    2022

    ​MKATABA WA UNUNUZI WA BEHEWA 1430 ZA MIZIGO ZA RELI YA KISASA – SGR WASAINIWA

    ​Shirika la Reli Tanzania – TRC limesaini mkataba na kampuni ya CRRC International kutoka nchini China kwaajili ya ununuzi wa Behewa 1430 za mizigo zitakazotumika katika reli ya kisasa – SGR, hafla ya utiaji saini imefanyika katika ukumbi wa mikutano makao makuu TRC Februari 08, 2022. Soma zaidi