Habari Mpya
-
30
August
2021RIPOTI ZAFANANA NA UHALISIA; MRADI WA SGR MOROGORO – MAKUTUPORA WAFIKA 70%
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, sekta ya Uchukuzi Bw. Gabriel Migire ametembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Morogoro – Makutupora katika eneo linalojengwa Mahandaki Kilosa mkoani Morogoro Agosti 29, 2021. Soma zaidi
-
14
August
2021JAMII YA WAFUGAJI MOROGORO VIJIJINI YAPEWA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA VIVUKO KUEPUSHA UHARIBIFU WA MIUNDOMBINU YA SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC likiendelea na kampeni ya uelewa kwa jamii kuhusu usalama na ulinzi wa miundombinu ya Reli ya kisasa – SGR Soma zaidi
-
05
August
2021ZAIDI YA KATA 15 ZAPEWA ELIMU YA UELEWA KUHUSU USALAMA NA ULINZI WA MIUNDOMBINU YA RELI YA KISASA - SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea na kampeni ya uelewa kwa jamii kuhusu usalama na ulinzi wa miundombinu ya Reli ya kisasa – SGR katika awamu ya kwanza ya mradi Dar es Salaam mpaka hadi Morogoro Soma zaidi
-
04
August
2021TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA KWA WANANCHI MKOANI MOROGORO
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea kuwanufaisha wananchi mkoani Morogoro kufuatia zoezi endelevu la ulipaji wa fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo yao kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi
-
03
August
2021MENEJIMENTI YA TRC YAANZA MAFUNZO YA MFUMO WA UPIMAJI WA UTENDAJI KWA WATUMISHI
Shirika la Reli Tanzania - TRC laanza kupokea mafunzo ya siku tatu kuhusu mfumo wawazi wa upimajiwa utendaji kazi wa watumishi – OPRAS(Open Performance Appraisal System), mafunzoambayo yanafanyika katika ukumbi wa mikutano wa Bandari jijini Dar es Salaam kuanzia Agosti 2 hadi 4, 2021. Soma zaidi
-
02
August
2021MKUU WA MKOA WA MWANZA AWAONYA WATAKAOHUJUMU UJENZI WA SGR MWANZA - ISAKA
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na kampeni ya uelewa kwa jamii kuhusu mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR Mwanza hadi Isaka. Soma zaidi