Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​WAFANYAKAZI TRC WASHIRIKI MAFUNZO MAALUMU YA AJIRA NA MAZINGIRA YA KAZI KATIKA UTEKELEZAJI MIRADI
    26
    February
    2022

    ​WAFANYAKAZI TRC WASHIRIKI MAFUNZO MAALUMU YA AJIRA NA MAZINGIRA YA KAZI KATIKA UTEKELEZAJI MIRADI

    ​Wafanyakazi wa Idara mbalimbali kutoka Shirika la Reli Tanzania - TRC hivi karibuni wameshiriki semina ya mafunzo ya uelewa kuhusu utekelezaji wa Sheria na Sera Soma zaidi

  • ​MKATABA WA UNUNUZI WA BEHEWA 1430 ZA MIZIGO ZA RELI YA KISASA – SGR WASAINIWA
    08
    February
    2022

    ​MKATABA WA UNUNUZI WA BEHEWA 1430 ZA MIZIGO ZA RELI YA KISASA – SGR WASAINIWA

    ​Shirika la Reli Tanzania – TRC limesaini mkataba na kampuni ya CRRC International kutoka nchini China kwaajili ya ununuzi wa Behewa 1430 za mizigo zitakazotumika katika reli ya kisasa – SGR, hafla ya utiaji saini imefanyika katika ukumbi wa mikutano makao makuu TRC Februari 08, 2022. Soma zaidi

  • ​MKURUGENZI MKUU TRC ATOA NENO LA SHUKURANI, AONESHA JARIDA LA RELI NA MATUKIO 2021
    26
    January
    2022

    ​MKURUGENZI MKUU TRC ATOA NENO LA SHUKURANI, AONESHA JARIDA LA RELI NA MATUKIO 2021

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania – TRC Masanja Kadogosa amekutana na waandishi wa habari na kutoa neno la shukurani kwa niaba ya Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Wafanyakazi wa TRC Soma zaidi

  • ​TRC YAANDAA SEMINA YA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA.
    26
    January
    2022

    ​TRC YAANDAA SEMINA YA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA.

    ​Kitengo cha Masuala ya Jamii Shirika la Reli Tanzania - TRC kimefanya warsha ya kupinga ukatili wa jinsia kwa wafanyakazi, wateja na wadau wa TRC katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa kushirikiana na wataalamu wa masuala ya kijinsia wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA NA MALIPO YA FIDIA DODOMA NA SINGIDA
    23
    January
    2022

    ​TRC YAENDELEA NA MALIPO YA FIDIA DODOMA NA SINGIDA

    Shirika la Reli Tanzania -TRC limeendelea na ulipaji wa fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo kupisha mradi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha pili cha Mradi wa Reli ya Kisasa Soma zaidi

  • RAIS SAMIA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MKATABA WA UJENZI WA RELI YA KISASA MAKUTUPORA - TABORA
    28
    December
    2021

    RAIS SAMIA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MKATABA WA UJENZI WA RELI YA KISASA MAKUTUPORA - TABORA

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGRkipande cha Tatu Makutupora – Tabora chenyeurefu wa kilomita 368 katika hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam Disemba 28 , 2021. Soma zaidi