Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​MHE. PROF. MBARAWA AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA SGR MAKUTUPORA - TABORA
    13
    April
    2022

    ​MHE. PROF. MBARAWA AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA SGR MAKUTUPORA - TABORA

    Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa aweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha tatu Makutupora - Tabora Aprili 12, 2022. Soma zaidi

  • ​WADAU WA USAFIRISHAJI NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI WATEMBELEA MDARI WA SGR
    02
    April
    2022

    ​WADAU WA USAFIRISHAJI NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI WATEMBELEA MDARI WA SGR

    Wadau wa usafirishaji nchi za Afrika kutoka katika taasisi ya Ushoroba wa Kati wametembelea mradi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha kwanza Soma zaidi

  • ​KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA UJENZI WA SGR MWANZA – ISAKA, WAMPONGEZA RAIS SAMIA
    17
    March
    2022

    ​KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA UJENZI WA SGR MWANZA – ISAKA, WAMPONGEZA RAIS SAMIA

    Kamati ya bunge ya kudumu ya miundombinu imetembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa kipande cha tano cha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Mwanza – Isaka, chenye jumla ya km 341, jijini mwanza. Machi 14, 2022. Soma zaidi

  • ​TRC YALIPA FIDIA KIJIJI CHA ISABILO WILAYANI KWIMBA - MWANZA
    13
    March
    2022

    ​TRC YALIPA FIDIA KIJIJI CHA ISABILO WILAYANI KWIMBA - MWANZA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea na zoezi la ulipaji fidia katika kipande cha tanno cha reli ya kisasa - SGR katika kijiji cha Isabilo Kwimba mkoani Mwanza, Machi 2022. Soma zaidi

  • ​WAZIRI MBARAWA AIPONGEZA TRC KWA JITIHADA ZA HARAKA KUREJESHA NJIA KIDETE
    11
    March
    2022

    ​WAZIRI MBARAWA AIPONGEZA TRC KWA JITIHADA ZA HARAKA KUREJESHA NJIA KIDETE

    Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa, ametembelea eneo la reli lililosombwa na maji Soma zaidi

  • ​WANAWAKE TRC WASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
    08
    March
    2022

    ​WANAWAKE TRC WASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

    Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania - TRC Ndugu Masanja Kadogosa amejumuika pamoja na wanawake wa TRC kusherehekea siku ya wanawake Duniani katika jengo la Stesheni ya reli ya kisasa – SGR jijini Dar es Salaam, March 8 2022. Soma zaidi