Habari Mpya
-
26
February
2022WAFANYAKAZI TRC WASHIRIKI MAFUNZO MAALUMU YA AJIRA NA MAZINGIRA YA KAZI KATIKA UTEKELEZAJI MIRADI
Wafanyakazi wa Idara mbalimbali kutoka Shirika la Reli Tanzania - TRC hivi karibuni wameshiriki semina ya mafunzo ya uelewa kuhusu utekelezaji wa Sheria na Sera Soma zaidi
-
08
February
2022MKATABA WA UNUNUZI WA BEHEWA 1430 ZA MIZIGO ZA RELI YA KISASA – SGR WASAINIWA
Shirika la Reli Tanzania – TRC limesaini mkataba na kampuni ya CRRC International kutoka nchini China kwaajili ya ununuzi wa Behewa 1430 za mizigo zitakazotumika katika reli ya kisasa – SGR, hafla ya utiaji saini imefanyika katika ukumbi wa mikutano makao makuu TRC Februari 08, 2022. Soma zaidi
-
26
January
2022MKURUGENZI MKUU TRC ATOA NENO LA SHUKURANI, AONESHA JARIDA LA RELI NA MATUKIO 2021
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania – TRC Masanja Kadogosa amekutana na waandishi wa habari na kutoa neno la shukurani kwa niaba ya Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Wafanyakazi wa TRC Soma zaidi
-
26
January
2022TRC YAANDAA SEMINA YA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA.
Kitengo cha Masuala ya Jamii Shirika la Reli Tanzania - TRC kimefanya warsha ya kupinga ukatili wa jinsia kwa wafanyakazi, wateja na wadau wa TRC katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa kushirikiana na wataalamu wa masuala ya kijinsia wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Soma zaidi
-
23
January
2022TRC YAENDELEA NA MALIPO YA FIDIA DODOMA NA SINGIDA
Shirika la Reli Tanzania -TRC limeendelea na ulipaji wa fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo kupisha mradi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha pili cha Mradi wa Reli ya Kisasa Soma zaidi
-
28
December
2021RAIS SAMIA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MKATABA WA UJENZI WA RELI YA KISASA MAKUTUPORA - TABORA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGRkipande cha Tatu Makutupora – Tabora chenyeurefu wa kilomita 368 katika hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam Disemba 28 , 2021. Soma zaidi