Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​UNUNUZI WA INJINI NA BEHEWA ZA ABIRIA NA MIZIGO KWA MATUMIZI YA RELI YA KISASA - SGR
    15
    June
    2022

    ​UNUNUZI WA INJINI NA BEHEWA ZA ABIRIA NA MIZIGO KWA MATUMIZI YA RELI YA KISASA - SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limetoa ufafanuzi juu ya ununuzi wa injini na behewa za abiria na mizigo kwa matumizi ya reli ya kisasa - SGR kwenye mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika katika ukumbi wa mikutano TRC jijini Dar es Salaam Juni 15, 2022. Soma zaidi

  • WANANCHI AMBAO HAWAKUWEPO KATIKA UTHAMINI WA AWALI WANAENDELEA KULIPWA FIDIA
    07
    June
    2022

    WANANCHI AMBAO HAWAKUWEPO KATIKA UTHAMINI WA AWALI WANAENDELEA KULIPWA FIDIA

    ​Zoezi la malipo ya fidia kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR limefanyika kwa wananchi wa mkoa wa Morogoro na Dodoma Soma zaidi

  • ​WANANCHI WILAYA YA MASWA - SIMIYU WAJIVUNIA MRADI WA SGR
    29
    May
    2022

    ​WANANCHI WILAYA YA MASWA - SIMIYU WAJIVUNIA MRADI WA SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la kutwaa ardhi katika kijiji cha Mwabagalu na Nyabubinza wilayani Maswa mkoa wa Simiyu Soma zaidi

  • ​TRC YALIPA FIDIA WALIOPISHA NJIA YA UMEME SGR DODOMA NA SINGIDA
    28
    May
    2022

    ​TRC YALIPA FIDIA WALIOPISHA NJIA YA UMEME SGR DODOMA NA SINGIDA

    Shirika la Reli Tanzania limefanya malipo ya fidia katika kipande cha pili cha mradi wa reli ya Kisasa SGR Soma zaidi

  • ​SGR KUWA CHACHU YA MAENDELEO VIJIJINI
    21
    May
    2022

    ​SGR KUWA CHACHU YA MAENDELEO VIJIJINI

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la kutwaa ardhi katika maeneo mbalimbali kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA NA KAMPENI YA UELEWA KUHUSU MAJARIBIO YA MIFUMO YA UMEME KATIKA RELI YA KISASA
    17
    May
    2022

    ​TRC YAENDELEA NA KAMPENI YA UELEWA KUHUSU MAJARIBIO YA MIFUMO YA UMEME KATIKA RELI YA KISASA

    Timu ya mawasiliano kutoka Shirika la Reli Tanzania – TRC limeendelea na kampeni ya uelewa kuhusu majaribio ya mifumo ya umeme katika reli ya kisasa mkoani Morogoro Mei 17, 2022. Soma zaidi