Habari Mpya
-
15
June
2022UNUNUZI WA INJINI NA BEHEWA ZA ABIRIA NA MIZIGO KWA MATUMIZI YA RELI YA KISASA - SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC limetoa ufafanuzi juu ya ununuzi wa injini na behewa za abiria na mizigo kwa matumizi ya reli ya kisasa - SGR kwenye mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika katika ukumbi wa mikutano TRC jijini Dar es Salaam Juni 15, 2022. Soma zaidi
-
07
June
2022WANANCHI AMBAO HAWAKUWEPO KATIKA UTHAMINI WA AWALI WANAENDELEA KULIPWA FIDIA
Zoezi la malipo ya fidia kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR limefanyika kwa wananchi wa mkoa wa Morogoro na Dodoma Soma zaidi
-
29
May
2022WANANCHI WILAYA YA MASWA - SIMIYU WAJIVUNIA MRADI WA SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la kutwaa ardhi katika kijiji cha Mwabagalu na Nyabubinza wilayani Maswa mkoa wa Simiyu Soma zaidi
-
28
May
2022TRC YALIPA FIDIA WALIOPISHA NJIA YA UMEME SGR DODOMA NA SINGIDA
Shirika la Reli Tanzania limefanya malipo ya fidia katika kipande cha pili cha mradi wa reli ya Kisasa SGR Soma zaidi
-
21
May
2022SGR KUWA CHACHU YA MAENDELEO VIJIJINI
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la kutwaa ardhi katika maeneo mbalimbali kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi
-
17
May
2022TRC YAENDELEA NA KAMPENI YA UELEWA KUHUSU MAJARIBIO YA MIFUMO YA UMEME KATIKA RELI YA KISASA
Timu ya mawasiliano kutoka Shirika la Reli Tanzania – TRC limeendelea na kampeni ya uelewa kuhusu majaribio ya mifumo ya umeme katika reli ya kisasa mkoani Morogoro Mei 17, 2022. Soma zaidi