Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA UTWAAJI ARDHI MKOANI SHINYANGA
    05
    September
    2022

    ​TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA UTWAAJI ARDHI MKOANI SHINYANGA

    TRC imefanya zoezi la uhamishaji makaburi katika vijiji vya Didia, Sumbigu, Ishololo, Puni, Nyashimbi, Zobogo, Bunonga na Sumbigu Wilaya ya Shinyanga vijijini Septemba 2022 Soma zaidi

  • ​TCB KUJIONEA FURSA ZILIZOPO KATIKA MRADI WA SGR
    27
    August
    2022

    ​TCB KUJIONEA FURSA ZILIZOPO KATIKA MRADI WA SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea kufanya ziara na menejimenti kutoka benki ya TCB kutembelea mradi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha kwanza Dar es Salaam - Morogoro Soma zaidi

  • ​WANANCHI WALIOPISHA UJENZI WA SGR MWANZA – ISAKA WAENDELEA KULIPWA STAHIKI ZAO
    25
    August
    2022

    ​WANANCHI WALIOPISHA UJENZI WA SGR MWANZA – ISAKA WAENDELEA KULIPWA STAHIKI ZAO

    Zoezi la malipo ya fidia kupisha mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR linaendelea kufanyika kwa wananchi wa mkoa wa Mwanza na Shinyanga Soma zaidi

  • ​BENKI YA TCB YARIDHISHWA MAENDELEO YA MRADI WA SGR
    24
    August
    2022

    ​BENKI YA TCB YARIDHISHWA MAENDELEO YA MRADI WA SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limepokea ugeni wa menejimenti kutoka benki ya TCB na kutembelea mradi wa Reli ya Kisasa – SGR Soma zaidi

  • ​TRC KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA ZAMBIA KUPITIA USAFIRISHAJI WA NJIA YA RELI
    02
    August
    2022

    ​TRC KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA ZAMBIA KUPITIA USAFIRISHAJI WA NJIA YA RELI

    Rais wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Hakainde Hichilema amefanya ziara nchini Tanzania na kupata fursa ya kutembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha kwanza Soma zaidi

  • ​WAZIRI WA UCHUKUZI ZAMBIA ATEMBELEA MRADI WA SGR
    20
    July
    2022

    ​WAZIRI WA UCHUKUZI ZAMBIA ATEMBELEA MRADI WA SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limepokea ugeni wa Waziri wa Uchukuzi kutoka nchini Zambia na kutembelea mradi wa reli ya kisasa - SGR kutoka Dar es Salam hadi Kwala mkoani pwani hivi karibuni Julai, 2022 Soma zaidi