Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​WANANCHI WILAYA YA MASWA - SIMIYU WAJIVUNIA MRADI WA SGR
    29
    May
    2022

    ​WANANCHI WILAYA YA MASWA - SIMIYU WAJIVUNIA MRADI WA SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la kutwaa ardhi katika kijiji cha Mwabagalu na Nyabubinza wilayani Maswa mkoa wa Simiyu Soma zaidi

  • ​TRC YALIPA FIDIA WALIOPISHA NJIA YA UMEME SGR DODOMA NA SINGIDA
    28
    May
    2022

    ​TRC YALIPA FIDIA WALIOPISHA NJIA YA UMEME SGR DODOMA NA SINGIDA

    Shirika la Reli Tanzania limefanya malipo ya fidia katika kipande cha pili cha mradi wa reli ya Kisasa SGR Soma zaidi

  • ​SGR KUWA CHACHU YA MAENDELEO VIJIJINI
    21
    May
    2022

    ​SGR KUWA CHACHU YA MAENDELEO VIJIJINI

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la kutwaa ardhi katika maeneo mbalimbali kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA NA KAMPENI YA UELEWA KUHUSU MAJARIBIO YA MIFUMO YA UMEME KATIKA RELI YA KISASA
    17
    May
    2022

    ​TRC YAENDELEA NA KAMPENI YA UELEWA KUHUSU MAJARIBIO YA MIFUMO YA UMEME KATIKA RELI YA KISASA

    Timu ya mawasiliano kutoka Shirika la Reli Tanzania – TRC limeendelea na kampeni ya uelewa kuhusu majaribio ya mifumo ya umeme katika reli ya kisasa mkoani Morogoro Mei 17, 2022. Soma zaidi

  • ​KATIBU MKUU KIONGOZI AFANYA ZIARA KWALA AKAGUA BANDARI KAVU NA KARAKANA YA SGR
    16
    May
    2022

    ​KATIBU MKUU KIONGOZI AFANYA ZIARA KWALA AKAGUA BANDARI KAVU NA KARAKANA YA SGR

    Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Hussein Kattanga akagua bandari kavu ya kwala pamoja na kituo cha treni za kisasa za mizigo na karakana, Kwala mkoani Pwani Mei 15, 2022. Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA KUTWAA ARDHI WILAYA YA KWIMBA - MWANZA
    16
    May
    2022

    ​TRC YAENDELEA KUTWAA ARDHI WILAYA YA KWIMBA - MWANZA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la kuhamisha makaburi kwa awamu ya tatu kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi