Habari Mpya
-
29
May
2022WANANCHI WILAYA YA MASWA - SIMIYU WAJIVUNIA MRADI WA SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la kutwaa ardhi katika kijiji cha Mwabagalu na Nyabubinza wilayani Maswa mkoa wa Simiyu Soma zaidi
-
28
May
2022TRC YALIPA FIDIA WALIOPISHA NJIA YA UMEME SGR DODOMA NA SINGIDA
Shirika la Reli Tanzania limefanya malipo ya fidia katika kipande cha pili cha mradi wa reli ya Kisasa SGR Soma zaidi
-
21
May
2022SGR KUWA CHACHU YA MAENDELEO VIJIJINI
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la kutwaa ardhi katika maeneo mbalimbali kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi
-
17
May
2022TRC YAENDELEA NA KAMPENI YA UELEWA KUHUSU MAJARIBIO YA MIFUMO YA UMEME KATIKA RELI YA KISASA
Timu ya mawasiliano kutoka Shirika la Reli Tanzania – TRC limeendelea na kampeni ya uelewa kuhusu majaribio ya mifumo ya umeme katika reli ya kisasa mkoani Morogoro Mei 17, 2022. Soma zaidi
-
16
May
2022KATIBU MKUU KIONGOZI AFANYA ZIARA KWALA AKAGUA BANDARI KAVU NA KARAKANA YA SGR
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Hussein Kattanga akagua bandari kavu ya kwala pamoja na kituo cha treni za kisasa za mizigo na karakana, Kwala mkoani Pwani Mei 15, 2022. Soma zaidi
-
16
May
2022TRC YAENDELEA KUTWAA ARDHI WILAYA YA KWIMBA - MWANZA
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la kuhamisha makaburi kwa awamu ya tatu kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi