Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​TRC NA WFP KUSHIRIKIANA KUSAFIRISHA BIDHAA ZA MAZAO YA MATUNDA NA MBOGAMBOGA
    11
    October
    2022

    ​TRC NA WFP KUSHIRIKIANA KUSAFIRISHA BIDHAA ZA MAZAO YA MATUNDA NA MBOGAMBOGA

    Shirika Reli Tanzania – TRC na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani - WFP wamezindua mpango wa makubaliano ya kutoa huduma ya usafirishaji wa bidhaa za mbogamboga na matunda, makao makuu WFP Jijini Dar es Salaam, Oktoba 10, 2022 Soma zaidi

  • ​TRC YAFUNGUA WIKI YA USALAMA WA RELI TANZANIA
    11
    October
    2022

    ​TRC YAFUNGUA WIKI YA USALAMA WA RELI TANZANIA

    Shirika la Reli Tanzania – TRC yafungua wiki ya usalama wa reli ambayo huadhimishwa kila mwaka kuanzia tarehe 10 hadi 13 mwezi Oktoba Soma zaidi

  • ​AWAMU YA PILI YA KAMPENI YA UELEWA KWA JAMII KUHUSU SGR
    10
    October
    2022

    ​AWAMU YA PILI YA KAMPENI YA UELEWA KWA JAMII KUHUSU SGR

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na awamu ya pili ya Kampeni ya Uelewa kwa jamii kuhusu ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR kipande cha Mwanza – Isaka katika mkoa wa Shinyanga na baadaye kuifikia mikoa ya Mwanza na Simiyu, Oktoba 2022. Soma zaidi

  • ​MIAKA 3 MFULULIZO SHULE YA MSINGI ITIGI RELI YAWA KINARA KITAALUMA
    09
    October
    2022

    ​MIAKA 3 MFULULIZO SHULE YA MSINGI ITIGI RELI YAWA KINARA KITAALUMA

    Shule ya Msingi Itigi Reli inayosimamiwa na Shirika la Reli Tanzania – TRC iliyopo wilaya ya Manyoni mkoa wa Singida imefanya mahafali ya 28 Soma zaidi

  • ​TRC YAZINDUA MAFUNZO KWA WATENDAJI WATAKAOSIMAMIA UENDESHAJI WA SGR
    28
    September
    2022

    ​TRC YAZINDUA MAFUNZO KWA WATENDAJI WATAKAOSIMAMIA UENDESHAJI WA SGR

    Shirika la reli Tanzania - TRC limezindua mafunzo kwa vitendo kwa watendaji wa TRC yatakayotolewa na wataalamu kumi na watano (15) kutoka Shirika la Reli la Korea – KORAIL Soma zaidi

  • ​KAMATI ZA BUNGE ZASAFIRI KWA SGR DODOMA HADI DAR ES SALAAM
    27
    September
    2022

    ​KAMATI ZA BUNGE ZASAFIRI KWA SGR DODOMA HADI DAR ES SALAAM

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu na Kamati ya Uwekezaji Mitaji ya Umma zimefanya ziara ya kutembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi