Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • WANANCHI MKOANI SHINYANGA NA MWANZA WAPOKEA HUNDI ZA MALIPO YA FIDIA
    15
    September
    2022

    WANANCHI MKOANI SHINYANGA NA MWANZA WAPOKEA HUNDI ZA MALIPO YA FIDIA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea na zoezi la kukabidhi hundi za malipo ya fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo yao mkoani Shinyanga na Mwanza, Septemba 2022 Soma zaidi

  • ​TRC YATWAA ARDHI SHINYANGA MANISPAA KUENDELEZA UJENZI WA SGR KIPANDE CHA TANO ISAKA - MWANZA
    15
    September
    2022

    ​TRC YATWAA ARDHI SHINYANGA MANISPAA KUENDELEZA UJENZI WA SGR KIPANDE CHA TANO ISAKA - MWANZA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea kutwaa ardhi katika manispaa ya Shinyanga kupisha mradi wa reli ya kisasa katika kipande cha Tano ambacho ni Isaka - Mwanza, Septemba 2022. Soma zaidi

  • ​TRC, TANAPA KUSHIRIKIANA KUKUZA UTALII WA NDANI
    10
    September
    2022

    ​TRC, TANAPA KUSHIRIKIANA KUKUZA UTALII WA NDANI

    Shirika la Reli Tanzania - TRC yashirikiana na Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania - TANAPA kukuza utalii wa ndani baada ya kutembelea kituo cha stesheni ya Mvave Soma zaidi

  • ​WAKUFUNZI KUTOKA KORAIL WAFANYA ZIARA KATIKA MRADI WA SGR DAR - MORO
    10
    September
    2022

    ​WAKUFUNZI KUTOKA KORAIL WAFANYA ZIARA KATIKA MRADI WA SGR DAR - MORO

    Wafanyakazi zaidi ya 30 wa Shirika la Reli Tanzania - TRC wakiambatana na wataalamu 15 kutoka Shrika la Reli la Korea - KORAIL na wafanya ziara ya siku mbili kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro Septemba 2022. Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA UTWAAJI ARDHI MKOANI SHINYANGA
    05
    September
    2022

    ​TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA UTWAAJI ARDHI MKOANI SHINYANGA

    TRC imefanya zoezi la uhamishaji makaburi katika vijiji vya Didia, Sumbigu, Ishololo, Puni, Nyashimbi, Zobogo, Bunonga na Sumbigu Wilaya ya Shinyanga vijijini Septemba 2022 Soma zaidi

  • ​TCB KUJIONEA FURSA ZILIZOPO KATIKA MRADI WA SGR
    27
    August
    2022

    ​TCB KUJIONEA FURSA ZILIZOPO KATIKA MRADI WA SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea kufanya ziara na menejimenti kutoka benki ya TCB kutembelea mradi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha kwanza Dar es Salaam - Morogoro Soma zaidi