Habari Mpya
-
15
October
2019TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA ILI KUPISHA UJENZI WA RELI YA KISASA MOROGORO – MATUKUPORA
Shirika la Reli Tanzania – TRC laendelea na zoezi la ulipaji wa fidia kwa wananchi wa mkoa wa Morogoro kwa lengo la kupisha ujenzi wa reli ya kisasa – SGR awamu ya Pili Morogoro – Matukupora, Soma zaidi
-
10
October
2019TRC YAHAMASISHA WANANCHI MKOANI DODOMA KUSHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA SHUGHULI ZA MRADI WA SGR
Wakati zoezi la fidia ya Majengo, Mashamba na Viwanja likiendelea ili kupisha Ujenzi wa Reli ya kisasa - SGR Morogoro - Makutupora, Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea kuhamasisha wananchi kushiriki zoezi la Kuhamisha Makaburi linaloendelea mkoani Dodoma hivi karibuni Oktoba 2019. Soma zaidi
-
06
October
2019TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA ILI KUPISHA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA MOROGORO - MAKUTUPORA
Shirika la Reli Tanzania - TRC laendelea na zoezi la ulipaji wa fidia na kifuta machozi ili kupisha ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kwa awamu ya pili Morogoro - Makutupora hivi karibuni Oktoba 2019. Soma zaidi
-
02
October
2019UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR WATOA KIPAUMBELE CHA MAFUNZO KWA WAHANDISI WA KIKE 20
Shirika la Reli Tanzania nchini - TRC latoa nafasi 20 za mafunzo kwa vitendo kwa muda wa miezi miwili katika Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR kwa wahandisi wanawake Soma zaidi
-
01
October
2019JESHI LA POLISI TANZANIA LAENDELEA NA MIKAKATI YA KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA KATIKA MRADI WA SGR
Makamishna pamoja na Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi Tanzania wafanya ziara katika Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR kipande cha Dar es Salaam - Morogoro hivi karibuni Septemba 2019. Soma zaidi
-
23
September
2019SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC LAENDELEA NA ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI KIPANDE CHA MOROGORO- MAKUTUPORA
SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC LAENDELEA NA ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI KIPANDE CHA MOROGORO- MAKUTUPORA SINGIDA ILI KUPISHA MRADI WA SGR Soma zaidi