Habari Mpya
-
19
July
2022WANANCHI WA SHINYANGA WALIPWA FIDIA KUPISHA UJENZI WA RELI YA KISASA KIPANDE CHA ISAKA HADI MWANZA
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea kulipa fidia kwa wananchi waliyofanyiwa uthamini wa ardhi na mali zao kupisha ujenzi wa miundombinu ya reli ya kisasa - SGR kutoka Isaka hadi Mwanza, Julai 2022. Soma zaidi
-
12
July
2022TRC, CCTTFA WASAINI MKATABA WA UKARABATI WA BEHEWA 20 ZA MIZIGO
Shirika la Reli Tanzania - TRC limefanya hafla fupi ya utiaji saini mkataba wa ukarabati wa behewa 20 za mizigo wakishirikiana na Taasisi ya Ushoroba wa Kati Soma zaidi
-
05
July
2022RAIS SAMIA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI WA MIKATABA MIWILI KATIKA SEKTA YA RELI NCHINI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini wa mikataba miwili ambayo ni mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Tabora – Isaka Soma zaidi
-
18
June
2022TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA FIDIA KUPISHA MRADI WA SGR MWANZA NA SHINYANGA
Shirika la Reli Tanzania – TRC limeendelea na zoezi la malipo ya fidia kwa wanachi waliotwaliwa maeneo yao kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa mkoani Shinyanga na Mwanza, hivi karibuni Juni 2022. Soma zaidi
-
15
June
2022UNUNUZI WA INJINI NA BEHEWA ZA ABIRIA NA MIZIGO KWA MATUMIZI YA RELI YA KISASA - SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC limetoa ufafanuzi juu ya ununuzi wa injini na behewa za abiria na mizigo kwa matumizi ya reli ya kisasa - SGR kwenye mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika katika ukumbi wa mikutano TRC jijini Dar es Salaam Juni 15, 2022. Soma zaidi
-
07
June
2022WANANCHI AMBAO HAWAKUWEPO KATIKA UTHAMINI WA AWALI WANAENDELEA KULIPWA FIDIA
Zoezi la malipo ya fidia kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR limefanyika kwa wananchi wa mkoa wa Morogoro na Dodoma Soma zaidi