Habari Mpya
-
06
December
2022WAJUMBE HALMASHAURI KUU CCM WARIDHISHWA MAENDELEO YA MRADI WA SGR
Wenyeviti pamoja na wajumbe kutoka visiwani Zanzibar na Bara wa Halmashauri kuu ya Taifa Chama Cha Mapinduzi - CCM watembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi
-
29
November
2022WAZIRI WA MIUNDOMBINU WA BURUNDI ATEMBELEA MRADI WA SGR
Shirika la Reli Tanzania – TRC limepokea ugeni wa Waziri wa Miundombinu kutoka nchini Burundi Mhe. Dieudonne Dukundane kutembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha kwanza Dar es Salaam – Morogoro katika stesheni kuu ya SGR jijini Dar es Salaam hivi karibuni Novemba, 2022. Soma zaidi
-
26
November
2022WAFANYAKAZI 14 WA TRC KWENDA KOREA KUSINI KWA MAFUNZO YA SGR KWA VITENDO
Shirika la reli Tanzani - TRC kupeleka wafanyakazi kumi na wanne (14) nchini Korea Kusini kwaajili ya mafunzo kwa vitendo kuhusu uendeshaji wa reli ya kisasa – SGR, Novemba 2022. Soma zaidi
-
25
November
2022TRC YAPOKEA BEHEWA 14 MPYA ZA SGR KWAAJILI YA ABIRIA
Shirika la Reli Tanzania – TRC limepokea behewa 14 mpya za reli ya kisasa - SGR zilizonunuliwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwaajili ya uendeshaji wa reli ya kisasa nchini Soma zaidi
-
24
November
2022WAZIRI MKUU MAJALIWA ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA RELI YA KISASA MOROGORO – MAKUTUPORA
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amekagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR Morogoro – Makutupora katika jengo la stesheni kuu ya SGR jijini Dodoma, Novemba 24, 2022. Soma zaidi
-
19
November
2022WANANCHI WAENDELEA KUUNGA MKONO UJENZI WA MRADI WA SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea kufanya zoezi la utwaaji ardhi kwa wananchi ili kupisha ujenzi wa njia ya umeme katika ujenzi mradi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi