Habari Mpya
-
08
November
2022TRC IMESAINI MKATABA WA UNUNUZI WA MASHINE NA MITAMBO YA MATENGENEZO YA NJIA YA SGR
Shirika la Reli Tanzania – TRC na Kampuni ya Sung Shin Rolling Stock Technology (SSRST) kutoka nchini Korea Kusini wamesaini mkataba wa ununuzi wa mashine na mitambo ya matengenezo ya njia ya reli ya kisasa – SGR Soma zaidi
-
03
November
2022WANANCHI WAENDELEA KUTOA MAENEO KUPISHA NJIA YA UMEME MRADI WA SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi ili kupisha njia ya umeme ya ujenzi wa mradi wa Reli ya Kisasa - SGR Soma zaidi
-
28
October
2022TRC YAENDELEA KUTWAA ARDHI KWA WANANCHI KUPISHA NJIA YA UMEME MRADI WA SGR
Shirika la Reli Tanzania linaendelea na zoezi la kuhamasisha wananchi kuhusu utwaaji ardhi ili kupisha ujenzi wa mradi wa Reli ya Kisasa Soma zaidi
-
27
October
2022TRC YAPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA KONGAMANO LA MASHIRIKA YA RELI UKANDA WA SADC
Shirika la Reli Tanzania- TRC limeshiriki kongamano na maonesho ya 11 ya Mashirika ya Reli katika Ukanda wa SADC Soma zaidi
-
24
October
2022KONGO YAVUTIWA NA MAENDELEO YA MRADI WA SGR NCHINI
Shirika la Reli Tanzania – TRC limepokea ugeni wa Rais wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mhe. Felix Tshilombo Tshisekedi kutembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha kwanza Dar es Salaam - Morogoro katika stesheni kuu ya SGR jijini Dar es Salaam Oktoba 24, 2022. Soma zaidi
-
16
October
2022WAZIRI MKUU MAJALIWA AFANYA ZIARA KATIKA MRADI WA SGR MWANZA - ISAKA
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amefanya ziara kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR Mwanza – Isaka Oktoba 16, 2022. Soma zaidi