Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​TRC YAENDELEA NA UTOAJI ELIMU KATIKA WIKI YA USALAMA WA RELI
    11
    October
    2022

    ​TRC YAENDELEA NA UTOAJI ELIMU KATIKA WIKI YA USALAMA WA RELI

    ​Shirika la Reli Tanzania linaendelea na kampeni ya uelewa kuhusu ulinzi na usalama wa reli katika maeneo ya ushoroba wa reli jijini Dar es Salaam Oktoba 11, 2022. Soma zaidi

  • ​TRC NA WFP KUSHIRIKIANA KUSAFIRISHA BIDHAA ZA MAZAO YA MATUNDA NA MBOGAMBOGA
    11
    October
    2022

    ​TRC NA WFP KUSHIRIKIANA KUSAFIRISHA BIDHAA ZA MAZAO YA MATUNDA NA MBOGAMBOGA

    Shirika Reli Tanzania – TRC na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani - WFP wamezindua mpango wa makubaliano ya kutoa huduma ya usafirishaji wa bidhaa za mbogamboga na matunda, makao makuu WFP Jijini Dar es Salaam, Oktoba 10, 2022 Soma zaidi

  • ​TRC YAFUNGUA WIKI YA USALAMA WA RELI TANZANIA
    11
    October
    2022

    ​TRC YAFUNGUA WIKI YA USALAMA WA RELI TANZANIA

    Shirika la Reli Tanzania – TRC yafungua wiki ya usalama wa reli ambayo huadhimishwa kila mwaka kuanzia tarehe 10 hadi 13 mwezi Oktoba Soma zaidi

  • ​AWAMU YA PILI YA KAMPENI YA UELEWA KWA JAMII KUHUSU SGR
    10
    October
    2022

    ​AWAMU YA PILI YA KAMPENI YA UELEWA KWA JAMII KUHUSU SGR

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na awamu ya pili ya Kampeni ya Uelewa kwa jamii kuhusu ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR kipande cha Mwanza – Isaka katika mkoa wa Shinyanga na baadaye kuifikia mikoa ya Mwanza na Simiyu, Oktoba 2022. Soma zaidi

  • ​MIAKA 3 MFULULIZO SHULE YA MSINGI ITIGI RELI YAWA KINARA KITAALUMA
    09
    October
    2022

    ​MIAKA 3 MFULULIZO SHULE YA MSINGI ITIGI RELI YAWA KINARA KITAALUMA

    Shule ya Msingi Itigi Reli inayosimamiwa na Shirika la Reli Tanzania – TRC iliyopo wilaya ya Manyoni mkoa wa Singida imefanya mahafali ya 28 Soma zaidi

  • ​TRC YAZINDUA MAFUNZO KWA WATENDAJI WATAKAOSIMAMIA UENDESHAJI WA SGR
    28
    September
    2022

    ​TRC YAZINDUA MAFUNZO KWA WATENDAJI WATAKAOSIMAMIA UENDESHAJI WA SGR

    Shirika la reli Tanzania - TRC limezindua mafunzo kwa vitendo kwa watendaji wa TRC yatakayotolewa na wataalamu kumi na watano (15) kutoka Shirika la Reli la Korea – KORAIL Soma zaidi