Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • WANANCHI WA DODOMA WASISITIZWA KULINDA MIUNDOMBINU YA SGR
    29
    December
    2022

    WANANCHI WA DODOMA WASISITIZWA KULINDA MIUNDOMBINU YA SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC likiendelea na kampeni ya uelewa kwa jamii kuhusu usalama na ulinzi wa miundombinu ya reli ya kisasa – SGR limekutana na jamii ya wafugaji na wakulima Dodoma vijijini Soma zaidi

  • ​MRADI WA SGR KIPANDE CHA TANO ISAKA – MWANZA, TRC YAENDELEA KUTWAA ARDHI
    24
    December
    2022

    ​MRADI WA SGR KIPANDE CHA TANO ISAKA – MWANZA, TRC YAENDELEA KUTWAA ARDHI

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi kupisha ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha tano Isaka - Mwanza Soma zaidi

  • ​RAIS DKT. SAMIA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MKATABA WA UJENZI WA SGR TABORA - KIGOMA
    22
    December
    2022

    ​RAIS DKT. SAMIA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MKATABA WA UJENZI WA SGR TABORA - KIGOMA

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ashuhudia utiaji saini mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR awamu ya pili, kipande cha kwanza Tabora - Kigoma Ikulu jijini Dar es Salaam, Disemba 20, 2022. Soma zaidi

  • ​MABEHEWA MAPYA YA METER GAUGE YAANZA SAFARI RASMI KUELEKEA KIGOMA
    15
    December
    2022

    ​MABEHEWA MAPYA YA METER GAUGE YAANZA SAFARI RASMI KUELEKEA KIGOMA

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania – TRC Masanja Kadogosa ameruhusu treni ya abiria yenye mabehewa mapya 21 Soma zaidi

  • ​141 WAHITIMU CHUO CHA RELI, TRC YAANIKA MIPANGO UPANUZI WA CHUO
    13
    December
    2022

    ​141 WAHITIMU CHUO CHA RELI, TRC YAANIKA MIPANGO UPANUZI WA CHUO

    Chuo cha Teknolojia ya Reli Tanzania, TIRTEC kimefanya mahafali yake ya pili ambapo jumla ya wahitimu 141 wametunukiwa vyeti, astashahada ya awali na astashahada katika taaluma mbalimbali za sekta ya usafirishaji kwa njia ya reli, Disemba 10, 2022 mkoani Tabora. Soma zaidi

  • WAJUMBE HALMASHAURI KUU CCM WARIDHISHWA MAENDELEO YA MRADI WA SGR
    06
    December
    2022

    WAJUMBE HALMASHAURI KUU CCM WARIDHISHWA MAENDELEO YA MRADI WA SGR

    Wenyeviti pamoja na wajumbe kutoka visiwani Zanzibar na Bara wa Halmashauri kuu ya Taifa Chama Cha Mapinduzi - CCM watembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi