Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • WASHIRIKI KOZI FUPI YA UTEKELEZAJI WA SERA NA MIPANGO WATEMBELEA SGR
    14
    February
    2023

    WASHIRIKI KOZI FUPI YA UTEKELEZAJI WA SERA NA MIPANGO WATEMBELEA SGR

    .Washiriki wa kozi fupi ya utekelezaji wa sera na mipango kwa viongozi kutoka chuo cha Taifa cha Ulinzi wametembelea Shirika la Reli Tanzania Soma zaidi

  • ​KATIBU MKUU CCM: SGR MWAROBAINI WA ADHA YA MTO MKONDOA
    31
    January
    2023

    ​KATIBU MKUU CCM: SGR MWAROBAINI WA ADHA YA MTO MKONDOA

    Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo ametembelea Stesheni ya Reli ya kisasa, Kilosa mkoani Morogoro iliyopo katika kipande cha pili cha mradi wa ujenzi wa Reli ya kisasa SGR, Morogoro – Makutupora, Januari 30,2023. Soma zaidi

  • ​BODI YA WAKURUGENZI WA SHIRIKA LA RELI YA UGANDA YATEMBELEA TRC
    26
    January
    2023

    ​BODI YA WAKURUGENZI WA SHIRIKA LA RELI YA UGANDA YATEMBELEA TRC

    Shirika la Reli Tanzania limetembelewa na Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Reli Uganda (URC) jijini Dar es Salaam Soma zaidi

  • ​DKT. MPANGO AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA SGR TABORA - ISAKA
    19
    January
    2023

    ​DKT. MPANGO AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA SGR TABORA - ISAKA

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa reli ya kisasa – SGR Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA KUTWAA ARDHI KUPISHA UJENZI WA SGR NYAMAGANA MAGHARIBI - MWANZA
    06
    January
    2023

    ​TRC YAENDELEA KUTWAA ARDHI KUPISHA UJENZI WA SGR NYAMAGANA MAGHARIBI - MWANZA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi kupisha ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha tano Isaka - Mwanza linalofanyika katika mtaa wa Nyamagana Magharibi jijini Mwanza hivi karibuni Januari, 2023. Soma zaidi

  • ​HEKO TRC KUSIMAMIA VYEMA MRADI WA KIMKAKATI WA SGR; WANANCHI MWANZA
    30
    December
    2022

    ​HEKO TRC KUSIMAMIA VYEMA MRADI WA KIMKAKATI WA SGR; WANANCHI MWANZA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi kupisha ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha tano Isaka - Mwanza linalofanyika mtaa wa Mkuyuni Sokoni wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza Disemba, 2022. Soma zaidi