Habari Mpya
-
14
February
2023WASHIRIKI KOZI FUPI YA UTEKELEZAJI WA SERA NA MIPANGO WATEMBELEA SGR
.Washiriki wa kozi fupi ya utekelezaji wa sera na mipango kwa viongozi kutoka chuo cha Taifa cha Ulinzi wametembelea Shirika la Reli Tanzania Soma zaidi
-
31
January
2023KATIBU MKUU CCM: SGR MWAROBAINI WA ADHA YA MTO MKONDOA
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo ametembelea Stesheni ya Reli ya kisasa, Kilosa mkoani Morogoro iliyopo katika kipande cha pili cha mradi wa ujenzi wa Reli ya kisasa SGR, Morogoro – Makutupora, Januari 30,2023. Soma zaidi
-
26
January
2023BODI YA WAKURUGENZI WA SHIRIKA LA RELI YA UGANDA YATEMBELEA TRC
Shirika la Reli Tanzania limetembelewa na Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Reli Uganda (URC) jijini Dar es Salaam Soma zaidi
-
19
January
2023DKT. MPANGO AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA SGR TABORA - ISAKA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa reli ya kisasa – SGR Soma zaidi
-
06
January
2023TRC YAENDELEA KUTWAA ARDHI KUPISHA UJENZI WA SGR NYAMAGANA MAGHARIBI - MWANZA
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi kupisha ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha tano Isaka - Mwanza linalofanyika katika mtaa wa Nyamagana Magharibi jijini Mwanza hivi karibuni Januari, 2023. Soma zaidi
-
30
December
2022HEKO TRC KUSIMAMIA VYEMA MRADI WA KIMKAKATI WA SGR; WANANCHI MWANZA
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi kupisha ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha tano Isaka - Mwanza linalofanyika mtaa wa Mkuyuni Sokoni wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza Disemba, 2022. Soma zaidi