Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​KONGO YAVUTIWA NA MAENDELEO YA MRADI WA SGR NCHINI
    24
    October
    2022

    ​KONGO YAVUTIWA NA MAENDELEO YA MRADI WA SGR NCHINI

    Shirika la Reli Tanzania – TRC limepokea ugeni wa Rais wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mhe. Felix Tshilombo Tshisekedi kutembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha kwanza Dar es Salaam - Morogoro katika stesheni kuu ya SGR jijini Dar es Salaam Oktoba 24, 2022. Soma zaidi

  • WAZIRI MKUU MAJALIWA AFANYA ZIARA KATIKA MRADI WA SGR MWANZA - ISAKA
    16
    October
    2022

    WAZIRI MKUU MAJALIWA AFANYA ZIARA KATIKA MRADI WA SGR MWANZA - ISAKA

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amefanya ziara kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR Mwanza – Isaka Oktoba 16, 2022. Soma zaidi

  • ​SGR YAZIDI KUWA CHACHU YA MAENDELEO WILAYANI KILOSA
    15
    October
    2022

    ​SGR YAZIDI KUWA CHACHU YA MAENDELEO WILAYANI KILOSA

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendela kuwapatia malipo ya fidia wananchi wa wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro ili kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa Soma zaidi

  • ​MAKAMANDA, MAAFISA WANAFUNZI JWTZ WATEMBELEA SGR MWANZA – ISAKA KATIKA ZIARA YA KIMAFUNZO
    14
    October
    2022

    ​MAKAMANDA, MAAFISA WANAFUNZI JWTZ WATEMBELEA SGR MWANZA – ISAKA KATIKA ZIARA YA KIMAFUNZO

    Makamanda na maafisa wanafunzi kutoka chuo cha Ukamanda na Unadhimu cha JWT Duluti, Arusha, wakiongozwa na mkuu wa Chuo hicho Brig. Gen. Sylvester Ghuliku Soma zaidi

  • ​TRC YAADHIMISHA KILELE CHA WIKI YA USALAMA WA RELI
    13
    October
    2022

    ​TRC YAADHIMISHA KILELE CHA WIKI YA USALAMA WA RELI

    Shirika la Reli Tanzania – TRC kwa kushirikiana na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, Mamlaka ya Reli Tanzania na Zambia – TAZARA, Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini – LATRA, Soma zaidi

  • W​ANANCHI WATWALIWA MAENEO YAO KWAAJILI YA KUCHIMBA VIFUSI MRADI WA SGR
    12
    October
    2022

    W​ANANCHI WATWALIWA MAENEO YAO KWAAJILI YA KUCHIMBA VIFUSI MRADI WA SGR

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la malipo ya fidia kwa wananchi ili kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha pili Morogoro- Makutupora Soma zaidi