Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • WANANCHI WALIPWA FIDIA KUPISHA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA UMEME SGR MKOANI MOROGORO
    15
    November
    2022

    WANANCHI WALIPWA FIDIA KUPISHA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA UMEME SGR MKOANI MOROGORO

    ​Shirika la Reli Tanzania limelipa fidia kwa wananchi wa kijiji cha Lukobe Juu mkoani Morogoro katika kipande cha pili Morogoro - Makutupora, Novemba 2022. Soma zaidi

  • WAZIRI WA MIUNDOMBINU WA JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA KONGO ATEMBELEA MRADI WA SGR
    10
    November
    2022

    WAZIRI WA MIUNDOMBINU WA JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA KONGO ATEMBELEA MRADI WA SGR

    Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Tanzania Prof. Makame Mbarawa akiongozana na Waziri wa Miundombinu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - DRC Alexis Gusaro pamoja na viongozi wengine kutoka DRC Soma zaidi

  • ​​TRC IMESAINI MKATABA WA UNUNUZI WA MASHINE NA MITAMBO YA MATENGENEZO YA NJIA YA SGR
    08
    November
    2022

    ​​TRC IMESAINI MKATABA WA UNUNUZI WA MASHINE NA MITAMBO YA MATENGENEZO YA NJIA YA SGR

    Shirika la Reli Tanzania – TRC na Kampuni ya Sung Shin Rolling Stock Technology (SSRST) kutoka nchini Korea Kusini wamesaini mkataba wa ununuzi wa mashine na mitambo ya matengenezo ya njia ya reli ya kisasa – SGR Soma zaidi

  • ​WANANCHI WAENDELEA KUTOA MAENEO KUPISHA NJIA YA UMEME MRADI WA SGR
    03
    November
    2022

    ​WANANCHI WAENDELEA KUTOA MAENEO KUPISHA NJIA YA UMEME MRADI WA SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi ili kupisha njia ya umeme ya ujenzi wa mradi wa Reli ya Kisasa - SGR Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA KUTWAA ARDHI KWA WANANCHI KUPISHA NJIA YA UMEME MRADI WA SGR
    28
    October
    2022

    ​TRC YAENDELEA KUTWAA ARDHI KWA WANANCHI KUPISHA NJIA YA UMEME MRADI WA SGR

    Shirika la Reli Tanzania linaendelea na zoezi la kuhamasisha wananchi kuhusu utwaaji ardhi ili kupisha ujenzi wa mradi wa Reli ya Kisasa Soma zaidi

  • ​TRC YAPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA KONGAMANO LA MASHIRIKA YA RELI UKANDA WA SADC
    27
    October
    2022

    ​TRC YAPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA KONGAMANO LA MASHIRIKA YA RELI UKANDA WA SADC

    Shirika la Reli Tanzania- TRC limeshiriki kongamano na maonesho ya 11 ya Mashirika ya Reli katika Ukanda wa SADC Soma zaidi