Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​VIONGOZI WA CHAMA CHA RPF – INKOTANYI NCHINI RWANDA WATEMBELEA SGR
    02
    July
    2023

    ​VIONGOZI WA CHAMA CHA RPF – INKOTANYI NCHINI RWANDA WATEMBELEA SGR

    Shirika la Reli Tanzania – TRC limetembelewa na viongozi wa Chama Tawala cha Rwanda RPF – Inkotanyi wakiongozwa na Katibu Mkuu Ndugu Wellars Gasamagera, viongozi hawa Soma zaidi

  • ​SGR TANZANIA KUWA KIVUTIO KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA BARANI AFRIKA
    24
    June
    2023

    ​SGR TANZANIA KUWA KIVUTIO KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA BARANI AFRIKA

    Mradi wa ujenzi wa reli yenye kiwango cha kimataifa(SGR),unaoendelea nchini Tanzania kuwa kivutio kwa Nchi mbalimbali barani Afrika Soma zaidi

  • ​MRADI WA SGR UMEKIDHI VIWANGO; BODI KUTOKA PPRA
    23
    June
    2023

    ​MRADI WA SGR UMEKIDHI VIWANGO; BODI KUTOKA PPRA

    . Soma zaidi

  • ​KASI YA UJENZI SGR YAENDA SAMBAMBA NA UTWAAJI ARDHI
    23
    June
    2023

    ​KASI YA UJENZI SGR YAENDA SAMBAMBA NA UTWAAJI ARDHI

    ​Shirika la Reli Tanzania – TRC linaendelea na shughuli za ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa – SGR awamu ya kwanza na ya pili sambamba na utwaaji ardh katika maeneo mbalimbali nchini ili kupisha mradi ikiwemo mkoani Singida na Tabora, Juni 2023. Soma zaidi

  • MAAFISA HABARI, MAWASILIANO NA UHUSIANO KUTOKA ZANZIBAR WATEMBELEA TRC.
    22
    June
    2023

    MAAFISA HABARI, MAWASILIANO NA UHUSIANO KUTOKA ZANZIBAR WATEMBELEA TRC.

    . Soma zaidi

  • ​MABEHEWA SITA YA GHOROFA YA TRENI YA KISASA YAPOKELEWA
    09
    June
    2023

    ​MABEHEWA SITA YA GHOROFA YA TRENI YA KISASA YAPOKELEWA

    Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Atupele Mwakibete apokea mabehewa sita (6) ya ghorofa yatakayotumika katika uendeshaji wa treni ya kisasa ya reli ya kiwango cha kimataifa - SGR, kwenye hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya bandari jijini Dar es Salaam Juni 9, 2023. Soma zaidi