Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAENDELEA NA MAFUNZO KUHUSU NAMNA YA KUZUIA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA
    19
    March
    2020

    ​SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAENDELEA NA MAFUNZO KUHUSU NAMNA YA KUZUIA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC laendelea na mafunzo kuhusu namna ya kuzuia maambukizi ya virusi vya Corona Soma zaidi

  • ​SHIRIKA LA RELI TANZANIA LASITISHA HAFLA YA KUKABIDHI BEHEWA 40 ZA MIZIGO KUTOKANA NA UGONJWA WA CORONA
    17
    March
    2020

    ​SHIRIKA LA RELI TANZANIA LASITISHA HAFLA YA KUKABIDHI BEHEWA 40 ZA MIZIGO KUTOKANA NA UGONJWA WA CORONA

    Shirika la Reli Tanzania – TRC lasitisha hafla ya kukabidhi Behewa 40 za Mizigo kufuatia agizo la Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Soma zaidi

  • ​*WAFANYAKAZI WA SHIRIKA LA RELI WAPATA MAFUNZO JUU YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA CORONA.
    12
    March
    2020

    ​*WAFANYAKAZI WA SHIRIKA LA RELI WAPATA MAFUNZO JUU YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA CORONA.

    Wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania wapata mafunzo juu ya kujikinga na ugonjwa hatari la korona katika semina elekezi ya ugonjwa huo wa Virusi vya Corona ambao kwa sasa umekua tishio duniani kote iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano TRC hivi karibuni machi, 2020. Soma zaidi

  • BENKI YA DUNIA YARIDHISHWA NA KASI YA UKARABATI WA RELI YA KATI DAR – ISAKA
    09
    March
    2020

    BENKI YA DUNIA YARIDHISHWA NA KASI YA UKARABATI WA RELI YA KATI DAR – ISAKA

    Wafadhili wa ukarabati wa reli ya kati Benki ya Dunia wameridhishwa na ukarabati wa reli ya kati – TIRP katika ziara waliyoifanya kuanzia Dar es Salaam hadi Tabora - Isaka, hivi karibuni Machi, 2020. Soma zaidi

  • ​TRC YASHIRIKI BONANZA LA MICHEZO PAMOJA NA SEKTA NYINGINE ZA UCHUKUZI
    07
    March
    2020

    ​TRC YASHIRIKI BONANZA LA MICHEZO PAMOJA NA SEKTA NYINGINE ZA UCHUKUZI

    Shirika la Reli Tanzania - TRC lashiriki Bonanza la michezo la taasisi za Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Sekta ya uchukuzi lililofanyika katika uwanja wa TCC Club Chang’ombe jijini Dar es Salaam Machi 7, 2020. Soma zaidi

  • UKARABATI WA RELI YA KATI WAFIKIA 76%, BENKI YA DUNIA YAFANYA ZIARA KUONA MAENDELEO YA MRADI
    04
    March
    2020

    UKARABATI WA RELI YA KATI WAFIKIA 76%, BENKI YA DUNIA YAFANYA ZIARA KUONA MAENDELEO YA MRADI

    Benki ya Dunia imeanza ziara ya ukaguzi wa maendeleo ya mradi wa ukarabati wa reli ya kati - TIRP kuanzia Dar es Salaam Kuelekea Isaka - Tabora, hivi karibuni, Machi 2020. Soma zaidi