Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR WATOA KIPAUMBELE CHA MAFUNZO KWA WAHANDISI WA KIKE 20
    02
    October
    2019

    UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR WATOA KIPAUMBELE CHA MAFUNZO KWA WAHANDISI WA KIKE 20

    Shirika la Reli Tanzania nchini - TRC latoa nafasi 20 za mafunzo kwa vitendo kwa muda wa miezi miwili katika Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR kwa wahandisi wanawake Soma zaidi

  • JESHI LA POLISI TANZANIA LAENDELEA NA MIKAKATI YA KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA KATIKA MRADI WA SGR
    01
    October
    2019

    JESHI LA POLISI TANZANIA LAENDELEA NA MIKAKATI YA KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA KATIKA MRADI WA SGR

    Makamishna pamoja na Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi Tanzania wafanya ziara katika Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR kipande cha Dar es Salaam - Morogoro hivi karibuni Septemba 2019. Soma zaidi

  • SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC LAENDELEA NA ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI KIPANDE CHA MOROGORO- MAKUTUPORA
    23
    September
    2019

    SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC LAENDELEA NA ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI KIPANDE CHA MOROGORO- MAKUTUPORA

    SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC LAENDELEA NA ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI KIPANDE CHA MOROGORO- MAKUTUPORA SINGIDA ILI KUPISHA MRADI WA SGR Soma zaidi

  • SHIRIKA LA RELI TANZANIA – TRC KUBEBA MAONO YA MAENDELEO YA UCHUMI WA NCHI ZA SADC:
    20
    September
    2019

    SHIRIKA LA RELI TANZANIA – TRC KUBEBA MAONO YA MAENDELEO YA UCHUMI WA NCHI ZA SADC:

    Banda la Shirika la Reli Tanzania -TRC limepata bahati kutembelea na mgenirasmi Mh. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Kassim wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Mawaziri wa Sekta ya Tehama, Habari, Uchukuzi na Hali ya Hewa wa nchi16 za Jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa Africa – SADC, Soma zaidi

  • UJENZI WA MAHANDAKI YATAKAYOPITISHA RELI YA KISASA – SGR KATIKA MILIMA YA KILOSA WAZIDI KUNOGA
    20
    September
    2019

    UJENZI WA MAHANDAKI YATAKAYOPITISHA RELI YA KISASA – SGR KATIKA MILIMA YA KILOSA WAZIDI KUNOGA

    Maendeleo ya ujenzi wa reli ya kisasa kwa kipande cha awamu ya pili Morogoro-Makutopora Singida wazidi kunoga umefikia zaidi ya 15% Soma zaidi

  • BANDARI KAVU YA ISAKA KUONGEZEWA UWEZO KUPITIA MRADI WA UBORESHAJI WA RELI YA KATI DAR - ISAKA
    18
    September
    2019

    BANDARI KAVU YA ISAKA KUONGEZEWA UWEZO KUPITIA MRADI WA UBORESHAJI WA RELI YA KATI DAR - ISAKA

    Mradi wa Uboreshaji reli ya kati Dar - Isaka umepelekea kuongeza uwezo wa kupokea, kuhifadhi na kupakua mizigo Bandari Kavu ya Isak Soma zaidi