Habari Mpya
-
08
February
2020TRC YAENDELEZA KAMPENI YA UELEWA KUHUSU USALAMA WA MIUNDOMBINU YA RELI NDANI YA TRENI ZA MJINI JIJINI DAR
Shirika la Reli Tanzania – TRC linaendelea na kampeni ya uelewa kuzuia ajali na hujuma dhidi ya miundombinu ya reli kwa kutoa elimu kuhusu mambo ya kuzingatia katika maeneo ya miundombinu ya reli kwa abiria wa treni za mijini Dar es Salaam iliyofanyika katika treni inayoelekea Ubungo na Pugu Soma zaidi
-
05
February
2020SHIRIKA LA RELI LASITISHA HUDUMA YA USAFIRI WA TRENI KWA RELI YA KATI
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania – TRC Ndugu Masanja Kungu Kadogosa ametangaza kusitisha huduma za usafiri wa treni za abiria na mizigo kwa reli ya kati kutokana na uharibifu wa njia ya reli uliosababishwa na mafuriko Soma zaidi
-
03
February
2020SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAFANYA KAMPENI YA UELEWA NDANI YA TRENI YA DELUXE KUTOKA DAR ES SALAAM MPAKA MOSHI
-
02
February
2020TANZANIA, BURUNDI NA JAMHURI YA DEMOKRASIA YA KONGO KUJENGA RELI YA KISASA PAMOJA
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Tanzania Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe na Waziri wa Uchukuzi wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo Mhe. Didier Mazenga Mukanzu watembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR Soma zaidi
-
31
January
2020SHIRIKA LA RELI TANZANIA – TRC LAZINDUA CHAPISHO LA GAZETI LA RELI NA MATUKIO
-
28
January
2020SHIRIKA LA RELI LAENDELEA NA KAMPENI ZA UELEWA KUHUSU MATUMIZI SAHIHI YA ALAMA ZA USALAMA WA RELI