Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​MKURUGENZI MKUU TRC AFUNGUA WIKI YA SHIRIKA LA RELI TANZANIA LEO KWA KUFANYA MKUTANO NA WAANDISHI HABARI
    12
    December
    2019

    ​MKURUGENZI MKUU TRC AFUNGUA WIKI YA SHIRIKA LA RELI TANZANIA LEO KWA KUFANYA MKUTANO NA WAANDISHI HABARI

    . Soma zaidi

  • JESHI LA POLISI KIKOSI CHA RELI WAFANYA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA
    10
    December
    2019

    JESHI LA POLISI KIKOSI CHA RELI WAFANYA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA

    ​Makao makuu ya polisi kikosi cha reli wamefanya maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia hasa kwa watoto hivi karibuni , maadhimisho hayo yanayofanyika kila mwishoni mwa mwaka kuanzia Tarehe 25 Novemba hadi 10 Disemba . Soma zaidi

  • ​TRC YAANZA KUTOA HUDUMA YA TRENI ZA ABIRIA KATI YA DAR ES SALAAM NA MOSHI
    07
    December
    2019

    ​TRC YAANZA KUTOA HUDUMA YA TRENI ZA ABIRIA KATI YA DAR ES SALAAM NA MOSHI

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC laanza kutoa huduma ya usafiri wa treni za abiria iliyokuwa imesimama kwa zaidi ya miaka 25 kati ya Dar es Salaam na Moshi, safari hiyo imeanza rasmi katika stesheni ya Kamata jijini Dar es Salaam hivi karibjni Desemba, 2019. Soma zaidi

  • TRENI YA DELUXE YAWASILI MOSHI MKOANI KILIMANJARO IKITOKEA DAR ES SALAAM
    02
    December
    2019

    TRENI YA DELUXE YAWASILI MOSHI MKOANI KILIMANJARO IKITOKEA DAR ES SALAAM

    Treni ya abiria ya Deluxe yawasili Moshi mkoani Kilimanjaro kwa mara ya kwanza ikitokea Dar es Salaam kwa lengo la kufanya majaribio ya njia ili kuhakikisha usalama wa abiria na mali zao Soma zaidi

  • ​VIONGOZI WA JUMUIYA YA WAZAZI CCM WATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA KIPANDE CHA DAR ES SALAAM – MOROGORO
    29
    November
    2019

    ​VIONGOZI WA JUMUIYA YA WAZAZI CCM WATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA KIPANDE CHA DAR ES SALAAM – MOROGORO

    Viongozi wa Jumuiya ya Wazazi Chama cha Mapinduzi Taifa wakiongozwa na Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Dkt. Edmund Mndolwa wametembelea Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro eneo la Vingunguti hadi Stesheni jijini Dar es Salaam Novemba 28, 2019. Soma zaidi

  • SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA ILI KUPISHA UJENZI WA NGUZO ZA UMEME WA SGR
    14
    November
    2019

    SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA ILI KUPISHA UJENZI WA NGUZO ZA UMEME WA SGR

    Shirika la Reli Tanzania laendelea na zoezi la ulipaji fidia ili kupisha ujenzi wa Miundombinu ya kusafirisha umeme katika mradi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi