Habari Mpya
-
07
March
2020TRC YASHIRIKI BONANZA LA MICHEZO PAMOJA NA SEKTA NYINGINE ZA UCHUKUZI
Shirika la Reli Tanzania - TRC lashiriki Bonanza la michezo la taasisi za Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Sekta ya uchukuzi lililofanyika katika uwanja wa TCC Club Chang’ombe jijini Dar es Salaam Machi 7, 2020. Soma zaidi
-
04
March
2020UKARABATI WA RELI YA KATI WAFIKIA 76%, BENKI YA DUNIA YAFANYA ZIARA KUONA MAENDELEO YA MRADI
Benki ya Dunia imeanza ziara ya ukaguzi wa maendeleo ya mradi wa ukarabati wa reli ya kati - TIRP kuanzia Dar es Salaam Kuelekea Isaka - Tabora, hivi karibuni, Machi 2020. Soma zaidi
-
-
03
March
2020MAKATIBU WAKUU WA WIZARA TOFAUTI TANZANIA WATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA KIPANDE CHA DODOMA - MOROGORO
-
27
February
2020WAZIRI KAMWELWE AFANYA UKAGUZI WA NJIA YA RELI MOSHI - ARUSHA
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe afanya ukaguzi wa njia katika mradi wa ukarabati wa reli Moshi - Arusha Februari 27, 2020. Soma zaidi
-
27
February
2020SHIRIKA LA RELI TANZANIA – TRC LAREJESHA HUDUMA YA USAFIRI WA TRENI ZA MIZIGO