Habari Mpya
-
23
November
2018TRC YAZINDUA NEMBO MPYA NA BENDERA
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mheshimiwa Mhandisi Atashasta Nditiye azindua rasmi Nembo mpya na Bendera ya TRC katika hafla ya Wiki ya TRC iliyohudhuriwa na Wafanyakazi wa TRC, wadau mbali mbali wa usafiri wa Reli na waandishi wa Habari Makao makuu ya TRC jijini Dar es Salaam Septemba 2018. Soma zaidi
-
-
14
June
2018WAZIRI MBARAWA AZINDUA BODI YA WAKURUGENZI WA SHIRIKA LA RELI TANZANIA
Waziri wa ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa leo Juni 11, 2018 amezindu rasmi bodi ya wakurugenzi ya Shirika la Reli Tanzania. Soma zaidi
-
21
May
2018RAIS MAGUFULI AZINDUA AWAMU YA PILI YA UJENZI WA RELI YA KISASA KUTOKA MORODORO HADI MAKUTUPORA MKOANI DODOMA
Rais Magufuli aweka jiwe la msingi awamu ya pili ya ujenzi wa reli ya kisasa(SGR) yenye urefu wa 426km kutoka Morogoro hadi Makutupora mkoani Dodoma, hatua hiyo itaifanya Tanzania kuwa na treni ya umeme itakayokwenda kwa kasi ya 160 kwa saa kwa treni ya abiria na 120 kwa saa kwa treni ya mizigo. Soma zaidi
-
21
May
2018SHIRIKA LA RELI TANZANIA LASAINI RASMI MKATABA WA UNUNUZI WA INJINI MPYA 11 ZA TRENI
TRC yasaini mkataba na Kampuni ya Progress Rail Locomotives (PRL) ya Marekani inayomiliki vichwa vya treni 11 vilivyoletwa katika Bandari ya Dar es Salaam kwa ajili ya kuvinunua vichwa vyenye namba 9014, 9015, 9016, 9017, 9018, 9019, 9020, 9021, 9022, 9023 na 9024. Soma zaidi
-
09
May
2018WAZIRI MBARAWA ATANGAZA RASMI SHERIA MPYA YA RELI TANZANIA
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Prof Makame Mbarawa ametangaza rasmi kuanza kutumika kwa Sheria mpya ya Reli Na. 10 ya mwaka 2017. Katika tukio hilo lililofanyika mbele ya Katibu Mkuu wa wizara hiyo na Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Reli Prof. John Wajanga Kondoro. Soma zaidi