Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​TRC YASHIRIKI BONANZA LA MICHEZO PAMOJA NA SEKTA NYINGINE ZA UCHUKUZI
    07
    March
    2020

    ​TRC YASHIRIKI BONANZA LA MICHEZO PAMOJA NA SEKTA NYINGINE ZA UCHUKUZI

    Shirika la Reli Tanzania - TRC lashiriki Bonanza la michezo la taasisi za Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Sekta ya uchukuzi lililofanyika katika uwanja wa TCC Club Chang’ombe jijini Dar es Salaam Machi 7, 2020. Soma zaidi

  • UKARABATI WA RELI YA KATI WAFIKIA 76%, BENKI YA DUNIA YAFANYA ZIARA KUONA MAENDELEO YA MRADI
    04
    March
    2020

    UKARABATI WA RELI YA KATI WAFIKIA 76%, BENKI YA DUNIA YAFANYA ZIARA KUONA MAENDELEO YA MRADI

    Benki ya Dunia imeanza ziara ya ukaguzi wa maendeleo ya mradi wa ukarabati wa reli ya kati - TIRP kuanzia Dar es Salaam Kuelekea Isaka - Tabora, hivi karibuni, Machi 2020. Soma zaidi

  • MAKATIBU WAKUU NA NAIBU WAKAMILISHA ZIARA YAO SGR
    03
    March
    2020

    MAKATIBU WAKUU NA NAIBU WAKAMILISHA ZIARA YAO SGR

    . Soma zaidi

  • MAKATIBU WAKUU WA WIZARA TOFAUTI TANZANIA WATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA KIPANDE CHA DODOMA - MOROGORO
    03
    March
    2020

    MAKATIBU WAKUU WA WIZARA TOFAUTI TANZANIA WATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA KIPANDE CHA DODOMA - MOROGORO

    . Soma zaidi

  • ​WAZIRI KAMWELWE AFANYA UKAGUZI WA NJIA YA RELI MOSHI - ARUSHA
    27
    February
    2020

    ​WAZIRI KAMWELWE AFANYA UKAGUZI WA NJIA YA RELI MOSHI - ARUSHA

    Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe afanya ukaguzi wa njia katika mradi wa ukarabati wa reli Moshi - Arusha Februari 27, 2020. Soma zaidi

  • SHIRIKA LA RELI TANZANIA – TRC LAREJESHA HUDUMA YA USAFIRI WA TRENI ZA MIZIGO
    27
    February
    2020

    SHIRIKA LA RELI TANZANIA – TRC LAREJESHA HUDUMA YA USAFIRI WA TRENI ZA MIZIGO

    . Soma zaidi