Habari Mpya
-
12
March
2020*WAFANYAKAZI WA SHIRIKA LA RELI WAPATA MAFUNZO JUU YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA CORONA.
Wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania wapata mafunzo juu ya kujikinga na ugonjwa hatari la korona katika semina elekezi ya ugonjwa huo wa Virusi vya Corona ambao kwa sasa umekua tishio duniani kote iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano TRC hivi karibuni machi, 2020. Soma zaidi
-
09
March
2020BENKI YA DUNIA YARIDHISHWA NA KASI YA UKARABATI WA RELI YA KATI DAR – ISAKA
Wafadhili wa ukarabati wa reli ya kati Benki ya Dunia wameridhishwa na ukarabati wa reli ya kati – TIRP katika ziara waliyoifanya kuanzia Dar es Salaam hadi Tabora - Isaka, hivi karibuni Machi, 2020. Soma zaidi
-
07
March
2020TRC YASHIRIKI BONANZA LA MICHEZO PAMOJA NA SEKTA NYINGINE ZA UCHUKUZI
Shirika la Reli Tanzania - TRC lashiriki Bonanza la michezo la taasisi za Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Sekta ya uchukuzi lililofanyika katika uwanja wa TCC Club Chang’ombe jijini Dar es Salaam Machi 7, 2020. Soma zaidi
-
04
March
2020UKARABATI WA RELI YA KATI WAFIKIA 76%, BENKI YA DUNIA YAFANYA ZIARA KUONA MAENDELEO YA MRADI
Benki ya Dunia imeanza ziara ya ukaguzi wa maendeleo ya mradi wa ukarabati wa reli ya kati - TIRP kuanzia Dar es Salaam Kuelekea Isaka - Tabora, hivi karibuni, Machi 2020. Soma zaidi
-
-
03
March
2020MAKATIBU WAKUU WA WIZARA TOFAUTI TANZANIA WATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA KIPANDE CHA DODOMA - MOROGORO