Habari Mpya
-
25
February
2020SHIRIKA LA RELI TANZANIA – TRC LAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA MKOANI MOROGORO
-
25
February
2020TRC YAREJESHA SAFARI ZA TRENI BAADA YA MAFURIKO KUHARIBU MIUNDOMBINU YA RELI.
-
19
February
2020ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA LAKAMILIKA WILAYANI MPWAPWA ILI KUPISHA UJENZI WA RELI YA KISASA
Shirika la Reli Tanzania – TRC limekamilisha zoezi la ulipaji wa fidia kwa wananchi wa wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma ili kupisha ujenzi wa reli ya kisasa ya SGR kipande cha pili kutoka Morogoro, Dodoma hadi Makutupora hivi karibuni Februari, 2020. Soma zaidi
-
17
February
2020WAJUMBE WA BARAZA LA WAFANYAKAZI TRC WATEMBELEA MRADI WA UJENZI YA RELI YA KISASA –SGR KIPANDE CHA DAR – MORO
Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania – TRC watembelea mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro tarehe 17 Februari 2020. Soma zaidi
-
15
February
2020MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA RELI TANZANIA AFUNGUA BARAZA LA PILI LA WAFANYAKAZI
-
13
February
2020SERIKALI YA TANZANIA NA BENKI YA STANDARD CHARTERED ZAWEKEANA SAINI MKOPO WA UJENZI WA RELI YA KISASA – SGR
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Fedha na Mipango yatiliana saini makubaliano ya Mkopo wa Shilingi Trilioni 3.3 za kitanzania kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa reli ya Kisasa – SGR Soma zaidi