Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • TRC YAREJESHA SAFARI ZA TRENI BAADA YA MAFURIKO KUHARIBU MIUNDOMBINU YA RELI.
    25
    February
    2020

    TRC YAREJESHA SAFARI ZA TRENI BAADA YA MAFURIKO KUHARIBU MIUNDOMBINU YA RELI.

    . Soma zaidi

  • ​ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA LAKAMILIKA WILAYANI MPWAPWA ILI KUPISHA UJENZI WA RELI YA KISASA
    19
    February
    2020

    ​ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA LAKAMILIKA WILAYANI MPWAPWA ILI KUPISHA UJENZI WA RELI YA KISASA

    Shirika la Reli Tanzania – TRC limekamilisha zoezi la ulipaji wa fidia kwa wananchi wa wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma ili kupisha ujenzi wa reli ya kisasa ya SGR kipande cha pili kutoka Morogoro, Dodoma hadi Makutupora hivi karibuni Februari, 2020. Soma zaidi

  • ​WAJUMBE WA BARAZA LA WAFANYAKAZI TRC WATEMBELEA MRADI WA UJENZI YA RELI YA KISASA –SGR KIPANDE CHA DAR – MORO
    17
    February
    2020

    ​WAJUMBE WA BARAZA LA WAFANYAKAZI TRC WATEMBELEA MRADI WA UJENZI YA RELI YA KISASA –SGR KIPANDE CHA DAR – MORO

    Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania – TRC watembelea mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro tarehe 17 Februari 2020. Soma zaidi

  • MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA RELI TANZANIA AFUNGUA BARAZA LA PILI LA WAFANYAKAZI
    15
    February
    2020

    MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA RELI TANZANIA AFUNGUA BARAZA LA PILI LA WAFANYAKAZI

    . Soma zaidi

  • ​SERIKALI YA TANZANIA NA BENKI YA STANDARD CHARTERED ZAWEKEANA SAINI MKOPO WA UJENZI WA RELI YA KISASA – SGR
    13
    February
    2020

    ​SERIKALI YA TANZANIA NA BENKI YA STANDARD CHARTERED ZAWEKEANA SAINI MKOPO WA UJENZI WA RELI YA KISASA – SGR

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Fedha na Mipango yatiliana saini makubaliano ya Mkopo wa Shilingi Trilioni 3.3 za kitanzania kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa reli ya Kisasa – SGR Soma zaidi

  • TRC YAENDELEZA KAMPENI YA UELEWA KUHUSU USALAMA WA MIUNDOMBINU YA RELI NDANI YA TRENI ZA MJINI JIJINI DAR
    08
    February
    2020

    TRC YAENDELEZA KAMPENI YA UELEWA KUHUSU USALAMA WA MIUNDOMBINU YA RELI NDANI YA TRENI ZA MJINI JIJINI DAR

    ​Shirika la Reli Tanzania – TRC linaendelea na kampeni ya uelewa kuzuia ajali na hujuma dhidi ya miundombinu ya reli kwa kutoa elimu kuhusu mambo ya kuzingatia katika maeneo ya miundombinu ya reli kwa abiria wa treni za mijini Dar es Salaam iliyofanyika katika treni inayoelekea Ubungo na Pugu Soma zaidi