Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​MRADI WA UBORESHAJI WA RELI YA KATI – TIRP DAR ES SALAAM ISAKA WAFIKIA 40%
    16
    September
    2019

    ​MRADI WA UBORESHAJI WA RELI YA KATI – TIRP DAR ES SALAAM ISAKA WAFIKIA 40%

    Mradi wa Uboreshaji wa Reli ya Kati – TIRP Dar es Salaam – Isaka wafikia 40% tangu kuanza utekelezaji wake mwezi Juni 2018. Mradi huo unahusisha uboreshaji wa miundombinu ya reli Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI WILAYA YA BAHI MKOA WA DODOMA
    12
    September
    2019

    ​TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI WILAYA YA BAHI MKOA WA DODOMA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC laendelea na zoezi la Kuhamasisha Kuhamisha makaburi katika Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma Soma zaidi

  • TRC NA DIT ZATILIANA SAINI MAKUBALIANO YA KUKUZA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KATIKA HUDUMA ZA USAFIRI WA RELI
    11
    September
    2019

    TRC NA DIT ZATILIANA SAINI MAKUBALIANO YA KUKUZA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KATIKA HUDUMA ZA USAFIRI WA RELI

    Shirika la Reli Tanzania – TRC limetiliana saini mkataba na Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam – DIT kwa lengo la kushirikiana katika kutoa mafunzo, kufanya utafiti, na kuendeleza matumizi ya teknolojia katika huduma za usafiri wa reli, Soma zaidi

  • RAIS MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WATEMBELEA BANDA LA TRC
    06
    September
    2019

    RAIS MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WATEMBELEA BANDA LA TRC

    ​Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli na Rais Kaguta Museveni wa Uganda wafungua kongamano la kwanza la Biashara kati ya Tanzania na Uganda Soma zaidi

  • UCHORONGAJI MILIMA KWA AJILI YA UJENZI WA MAHANDAKI YATAKAZOPITISHA RELI YA KISASA YAENDELEA KWA KASI
    30
    August
    2019

    UCHORONGAJI MILIMA KWA AJILI YA UJENZI WA MAHANDAKI YATAKAZOPITISHA RELI YA KISASA YAENDELEA KWA KASI

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC laendelea na usimamizi wa Mradi mkubwa wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR Kilosa mkoani Morogoro, ambapo kazi kubwa katika eneo hilo ni uchorongaji Milima kwa ajili ya ujenzi wa mahandaki ‘tunnels Soma zaidi

  •  SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC LAENDELEA NA ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI KIPANDE CHA MOROGORO - MAKUTUPORA
    24
    August
    2019

    SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC LAENDELEA NA ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI KIPANDE CHA MOROGORO - MAKUTUPORA

    . Soma zaidi