Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • WAZIRI MKUU MSTAAFU KENYA RAILA ODINGA AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA UAMUZI WA UJENZI WA RELI YA KISASA – SGR.
    21
    March
    2019

    WAZIRI MKUU MSTAAFU KENYA RAILA ODINGA AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA UAMUZI WA UJENZI WA RELI YA KISASA – SGR.

    Waziri mkuu mstaafu wa Kenya Mhe. Raila Odinga atembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro. Soma zaidi

  • ​WAZIRI MKUU AWAHIMIZA MAWAZIRI NA WAKUU WA TAASISI KUTOA VIPAUMBELE KWA VITENGO VYA HABARI
    19
    March
    2019

    ​WAZIRI MKUU AWAHIMIZA MAWAZIRI NA WAKUU WA TAASISI KUTOA VIPAUMBELE KWA VITENGO VYA HABARI

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa afungua kikao kazi cha 15 cha Maafisa Mawasiliano wa serikali. Soma zaidi

  • JESHI LA POLISI LAHAMASIKA KUIMARISHA HALI YA USALAMA KATIKA MAENEO YALIYOPITIWA NA MRADI WA SGR
    28
    February
    2019

    JESHI LA POLISI LAHAMASIKA KUIMARISHA HALI YA USALAMA KATIKA MAENEO YALIYOPITIWA NA MRADI WA SGR

    Mkuu wa Jeshi la Polisi Kamanda Simon Sirro atembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR Dar es Salaam hadi Kilosa kuona hali ya usalama wa mali na wafanyakazi katika mradi wa SGR hivi karibuni Februari 2019. Soma zaidi

  • TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA
    18
    February
    2019

    TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA

    Shirika la Reli Tanzania laendelea kulipa fidia ya ardhi kwa wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam ambao maeneo yao yamepitiwa na Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR awamu ya kwanza Dar es Salaam – Morogoro Soma zaidi

  • WASANII, WANAMICHEZO, WASHEREHESHAJI WAFURAHISHWA NA MRADI WA SGR
    18
    February
    2019

    WASANII, WANAMICHEZO, WASHEREHESHAJI WAFURAHISHWA NA MRADI WA SGR

    Wasanii, Wanamichezo, Wanahabari na Washereheshaji wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda watembelea Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa kipande cha Dar es Salaam – Morogoro kwa lengo la kuona maendeleo ya Mradi pamoja na kujifunza kuhusu mradi wa SGR mapema mwezi Februari 2019. Soma zaidi

  • WAZIRI KAMWELWE AZINDUA UWEKAJI RELI YA KISASA
    23
    November
    2018

    WAZIRI KAMWELWE AZINDUA UWEKAJI RELI YA KISASA

    . Soma zaidi