Habari Mpya
-
21
December
2019WAZIRI KAMWELWE ARUHUSU TRENI YA ZIADA YA ABIRIA DAR ES SALAAM KUELEKEA MOSHI.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe amepeperusha bendera kuruhusu treni maalumu iliyoandaliwa kutokana na idadi kubwa ya abiria wanaoelekea Moshi kuongezeka katika kipindi cha sikukuu za mwisho wa mwaka. Soma zaidi
-
21
December
2019TUHUMA ZA KUPUNGUZA BEHEWA ZA KIGOMA NA KUPELEKWA NJIA YA KASKAZINI (DAR ES ALAAM - KILIMANJARO)
Kumekuwa na taarifa zinazosambaa katika mitandao ya kijamii zikiwa na ujumbe wenye lengo la kupotosha umma kuhusu kupunguzwa idadi ya mabehewa ya treni zinazofanya safari za reli ya kati kutoka Dar es Salaam - Kigoma na kupelekwa njia ya kaskazini (Dar es salaam - Kilimanjaro). Soma zaidi
-
16
December
2019SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAENDELEA NA KAMPENI YA UELEWA KUHUSU MIRADI INAYOSIMAMIWA NA TRC
Wakati Shirika la Reli Tanzania -TRC linaendelea kuadhimisha Wiki ya TRC kwa kutembelea vyombo vya habari tofauti Nchini Soma zaidi
-
16
December
2019SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAENDELEA NA KAMPENI YA UELEWA KUHUSU MIRADI INAYOSIMAMIWA NA TRC.
-
13
December
2019KAMPUNI YA WASAFI CLASSIC BABY (WCB) KUSAFIRI NA TRENI YA DELUXE KUELEKEA KIGOMA
Kampuni ya Wasafi (WCB) ambayo pia inasimamia wanamuziki wa kizazi kipya na vyombo vya habari nchini inatarajia kufanya safari kutoka Dar es Salaam kuelekea Kigoma Soma zaidi
-
12
December
2019MKURUGENZI MKUU TRC AFUNGUA WIKI YA SHIRIKA LA RELI TANZANIA LEO KWA KUFANYA MKUTANO NA WAANDISHI HABARI