Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​MKURUGENZI MTENDAJI BENKI YA DUNIA AFRIKA AIPONGEZA TANZANIA KWA KUJENGA RELI YA KISASA KWA FEDHA ZAKE ZA NDANI
    23
    August
    2019

    ​MKURUGENZI MTENDAJI BENKI YA DUNIA AFRIKA AIPONGEZA TANZANIA KWA KUJENGA RELI YA KISASA KWA FEDHA ZAKE ZA NDANI

    Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika Bi. Anne Kabagambe amefanya ziara fupi kuona Mradi mkubwa wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro Agosti 22, 2019. Soma zaidi

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI Dk. HASSAN ABBASI AIPONGEZA TRC KWA KUTANGAZA VYEMA MIRADI NA HUDUMA ZITOLEWAZO NA TRC.
    22
    August
    2019

    MSEMAJI MKUU WA SERIKALI Dk. HASSAN ABBASI AIPONGEZA TRC KWA KUTANGAZA VYEMA MIRADI NA HUDUMA ZITOLEWAZO NA TRC.

    Msemaji Mkuu wa Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Dkt. Hassan Abbasi ametembelea ofisi ya makao makuu Shirika la Reli Tanzania - TRC kwa lengo la kutoa elimu kuhusu muongozo na Mkakati wa Mawasiliano ya Shirika Soma zaidi

  • MABALOZI WA TANZANIA KUTOKA NCHI 42 DUNIANI WAFURAHISHWA NA KASI YA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA – SGR
    15
    August
    2019

    MABALOZI WA TANZANIA KUTOKA NCHI 42 DUNIANI WAFURAHISHWA NA KASI YA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA – SGR

    Shirika la reli Tanzania - TRC lapokea Ugeni wa mabalozi wa Tanzania takribani 42 kutoka nchi mbalimbali Duniani wametembelea Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro Agosti 15, 2019. Soma zaidi

  • TRC KUCHOCHEA UKUAJI UCHUMI WA NCHI ZA JUMUIYA YA MAENDELEO YA KUSINI MWA AFRIKA - SADC
    15
    August
    2019

    TRC KUCHOCHEA UKUAJI UCHUMI WA NCHI ZA JUMUIYA YA MAENDELEO YA KUSINI MWA AFRIKA - SADC

    Shirika la Reli Tanzania – TRC limeonekana kuwa chachu ya kukuza uchumi kwa kuendeleza sekta ya miundombinu ya reli nchini katika maadhimisho ya maoneshoya 4 ya wiki ya viwanda ya jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa Afrika - SADC Soma zaidi

  • SHIRIKA LA RELI TANZANIA – TRC LASHIRIKI MAONESHO YA NNE YA (SADC)
    08
    August
    2019

    SHIRIKA LA RELI TANZANIA – TRC LASHIRIKI MAONESHO YA NNE YA (SADC)

    . Soma zaidi

  • BURUNDI YAFURAHIA MRADI WA RELI YA SGR NA BANDARI KAVU KWALA - RUVU
    24
    July
    2019

    BURUNDI YAFURAHIA MRADI WA RELI YA SGR NA BANDARI KAVU KWALA - RUVU

    ​Serikali ya Burundi imeufurahia mradi mkubwa wa reli ya SGR unaoendelea kufanyika nchini pamoja na ujio wa bandari kavu iliyopo eneo la kwala , ambapo nchi jirani ikiwemo Burundi, Rwanda, Uganda, Congo, Malawi, Zambia zitanufaika na usafirishaji wa mizigo . Soma zaidi