Habari Mpya
-
13
August
2020TRENI YA KWANZA YA MIZIGO YA MAJARIBIO YAWASILI JIJINI ARUSHA BAADA YA ZAIDI YA MIAKA 30
Treni kwanza ya mizigo ya majaribio yawasili katika Stesheni ya Arusha baada ya zaidi ya miaka 30 ikitokea Tanga na kupokekewa na maelfu ya wananchi waliojitokeza katika Stesheni Arusha Agosti 13, 2020. Soma zaidi
-
12
August
2020MKUU WA WILAYA YA ARUMERU,TRC ANA KWA ANA NA WANAMERU KUENDELEZA KAMPENI YA UELEWA KUEPUSHA AJALI NA ULINZI WA RELI.
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mh. Jerry Muro ameambatana na Viongozi kutoka Shirika la Reli Tanzania – TRC kuendeleza kampeni ya uelewa kuhusu ulinzi na usalama wa miundombinu ya reli inayoendelea katika mikoa ya Tanga, Kilimanjaro na Arusha Agosti 2020. Soma zaidi
-
11
August
2020MKUU WA MKOA WA ARUSHA AFUNGUA RASMI KAMPENI YA UELEWA KUEPUSHA AJALI RELINI MKOANI HUMO
-
10
August
2020CHAMA CHA SAIDIA WAZEE TANZANIA (SAWATA) WATEMBELEA MRADI WA SGR.
Chama cha saidia Wazee Tanzania watembelea mradi wa wa ujenzi wa reli ya kisasa -SGR kwa kipande cha kwanza Dar mpaka Ruvu mkoa wa pwani hivi karibuni Agosti 2020. Soma zaidi
-
08
August
2020MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AZINDUA RASMI KAMPENI YA UELEWA KUEPUSHA AJALI KATIKA RELI MKOANI KILIMANJARO
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Dkt. Anna Mgwhira amefungua rasmi kampeni ya uelewa kwa wananchi ili kuepusha ajali katika miundombinu ya reli mkoani Kilimanjaro hivi karibuni Agosti 2020. Soma zaidi
-
07
August
2020WAZIRI MKUU AFURAHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa afurahishwa na maendeleo ya ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam – Ruvu Agosti 7, 2020. Soma zaidi

