Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​SERIKALI YA TANZANIA NA BENKI YA STANDARD CHARTERED ZAWEKEANA SAINI MKOPO WA UJENZI WA RELI YA KISASA – SGR
    13
    February
    2020

    ​SERIKALI YA TANZANIA NA BENKI YA STANDARD CHARTERED ZAWEKEANA SAINI MKOPO WA UJENZI WA RELI YA KISASA – SGR

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Fedha na Mipango yatiliana saini makubaliano ya Mkopo wa Shilingi Trilioni 3.3 za kitanzania kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa reli ya Kisasa – SGR Soma zaidi

  • TRC YAENDELEZA KAMPENI YA UELEWA KUHUSU USALAMA WA MIUNDOMBINU YA RELI NDANI YA TRENI ZA MJINI JIJINI DAR
    08
    February
    2020

    TRC YAENDELEZA KAMPENI YA UELEWA KUHUSU USALAMA WA MIUNDOMBINU YA RELI NDANI YA TRENI ZA MJINI JIJINI DAR

    ​Shirika la Reli Tanzania – TRC linaendelea na kampeni ya uelewa kuzuia ajali na hujuma dhidi ya miundombinu ya reli kwa kutoa elimu kuhusu mambo ya kuzingatia katika maeneo ya miundombinu ya reli kwa abiria wa treni za mijini Dar es Salaam iliyofanyika katika treni inayoelekea Ubungo na Pugu Soma zaidi

  • SHIRIKA LA RELI LASITISHA HUDUMA YA USAFIRI WA TRENI KWA RELI YA KATI
    05
    February
    2020

    SHIRIKA LA RELI LASITISHA HUDUMA YA USAFIRI WA TRENI KWA RELI YA KATI

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania – TRC Ndugu Masanja Kungu Kadogosa ametangaza kusitisha huduma za usafiri wa treni za abiria na mizigo kwa reli ya kati kutokana na uharibifu wa njia ya reli uliosababishwa na mafuriko Soma zaidi

  • SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAFANYA KAMPENI YA UELEWA NDANI YA TRENI YA DELUXE KUTOKA DAR ES SALAAM MPAKA MOSHI
    03
    February
    2020

    SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAFANYA KAMPENI YA UELEWA NDANI YA TRENI YA DELUXE KUTOKA DAR ES SALAAM MPAKA MOSHI

    . Soma zaidi

  • ​TANZANIA, BURUNDI NA JAMHURI YA DEMOKRASIA YA KONGO KUJENGA RELI YA KISASA PAMOJA
    02
    February
    2020

    ​TANZANIA, BURUNDI NA JAMHURI YA DEMOKRASIA YA KONGO KUJENGA RELI YA KISASA PAMOJA

    ​Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Tanzania Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe na Waziri wa Uchukuzi wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo Mhe. Didier Mazenga Mukanzu watembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR Soma zaidi

  • SHIRIKA LA RELI TANZANIA – TRC LAZINDUA CHAPISHO LA GAZETI LA RELI NA MATUKIO
    31
    January
    2020

    SHIRIKA LA RELI TANZANIA – TRC LAZINDUA CHAPISHO LA GAZETI LA RELI NA MATUKIO

    . Soma zaidi