Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​KAMATI ZA BUNGE ZASAFIRI KWA SGR DODOMA HADI DAR ES SALAAM
    27
    September
    2022

    ​KAMATI ZA BUNGE ZASAFIRI KWA SGR DODOMA HADI DAR ES SALAAM

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu na Kamati ya Uwekezaji Mitaji ya Umma zimefanya ziara ya kutembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi

  • ​WATAALAMU MAMLAKA ZA HALI YA HEWA BARANI AFRIKA NA ULAYA WAZURU SGR
    16
    September
    2022

    ​WATAALAMU MAMLAKA ZA HALI YA HEWA BARANI AFRIKA NA ULAYA WAZURU SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limepokea wajumbe takribani 150 kutoka Mamlaka za Hali ya Hewa Barani Afrika na Mashirika ya Satelite Barani Ulaya kutembelea ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR Septemba 15, 2022. Soma zaidi

  • WANANCHI MKOANI SHINYANGA NA MWANZA WAPOKEA HUNDI ZA MALIPO YA FIDIA
    15
    September
    2022

    WANANCHI MKOANI SHINYANGA NA MWANZA WAPOKEA HUNDI ZA MALIPO YA FIDIA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea na zoezi la kukabidhi hundi za malipo ya fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo yao mkoani Shinyanga na Mwanza, Septemba 2022 Soma zaidi

  • ​TRC YATWAA ARDHI SHINYANGA MANISPAA KUENDELEZA UJENZI WA SGR KIPANDE CHA TANO ISAKA - MWANZA
    15
    September
    2022

    ​TRC YATWAA ARDHI SHINYANGA MANISPAA KUENDELEZA UJENZI WA SGR KIPANDE CHA TANO ISAKA - MWANZA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea kutwaa ardhi katika manispaa ya Shinyanga kupisha mradi wa reli ya kisasa katika kipande cha Tano ambacho ni Isaka - Mwanza, Septemba 2022. Soma zaidi

  • ​TRC, TANAPA KUSHIRIKIANA KUKUZA UTALII WA NDANI
    10
    September
    2022

    ​TRC, TANAPA KUSHIRIKIANA KUKUZA UTALII WA NDANI

    Shirika la Reli Tanzania - TRC yashirikiana na Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania - TANAPA kukuza utalii wa ndani baada ya kutembelea kituo cha stesheni ya Mvave Soma zaidi

  • ​WAKUFUNZI KUTOKA KORAIL WAFANYA ZIARA KATIKA MRADI WA SGR DAR - MORO
    10
    September
    2022

    ​WAKUFUNZI KUTOKA KORAIL WAFANYA ZIARA KATIKA MRADI WA SGR DAR - MORO

    Wafanyakazi zaidi ya 30 wa Shirika la Reli Tanzania - TRC wakiambatana na wataalamu 15 kutoka Shrika la Reli la Korea - KORAIL na wafanya ziara ya siku mbili kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro Septemba 2022. Soma zaidi