Habari Mpya
-
26
November
2022WAFANYAKAZI 14 WA TRC KWENDA KOREA KUSINI KWA MAFUNZO YA SGR KWA VITENDO
Shirika la reli Tanzani - TRC kupeleka wafanyakazi kumi na wanne (14) nchini Korea Kusini kwaajili ya mafunzo kwa vitendo kuhusu uendeshaji wa reli ya kisasa – SGR, Novemba 2022. Soma zaidi
-
25
November
2022TRC YAPOKEA BEHEWA 14 MPYA ZA SGR KWAAJILI YA ABIRIA
Shirika la Reli Tanzania – TRC limepokea behewa 14 mpya za reli ya kisasa - SGR zilizonunuliwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwaajili ya uendeshaji wa reli ya kisasa nchini Soma zaidi
-
24
November
2022WAZIRI MKUU MAJALIWA ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA RELI YA KISASA MOROGORO – MAKUTUPORA
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amekagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR Morogoro – Makutupora katika jengo la stesheni kuu ya SGR jijini Dodoma, Novemba 24, 2022. Soma zaidi
-
19
November
2022WANANCHI WAENDELEA KUUNGA MKONO UJENZI WA MRADI WA SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea kufanya zoezi la utwaaji ardhi kwa wananchi ili kupisha ujenzi wa njia ya umeme katika ujenzi mradi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi
-
15
November
2022WANANCHI WALIPWA FIDIA KUPISHA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA UMEME SGR MKOANI MOROGORO
Shirika la Reli Tanzania limelipa fidia kwa wananchi wa kijiji cha Lukobe Juu mkoani Morogoro katika kipande cha pili Morogoro - Makutupora, Novemba 2022. Soma zaidi
-
10
November
2022WAZIRI WA MIUNDOMBINU WA JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA KONGO ATEMBELEA MRADI WA SGR
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Tanzania Prof. Makame Mbarawa akiongozana na Waziri wa Miundombinu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - DRC Alexis Gusaro pamoja na viongozi wengine kutoka DRC Soma zaidi

